28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Maelezo<br />

Hawa ni wadudu wanaoishi kwenye ngozi na manyoya ya kuku, wadudu hawa huleta usumbufu kwa kuku kwa<br />

kuwanyonya damu, kusababisha muwasho, na kuwa wadudu wa kati katika maambukizi ya magonjwa. Wadudu<br />

wanaoshambulia ngozi ni pamoja na viroboto, chawa, utitiri, nzi, mbu na kupe.<br />

3.5.1 WADUDU WA<strong>NA</strong>oSHAMbULIA NgoZI (INSecT INfeSTATIoN)<br />

Maelezo<br />

Hawa ni wadudu aina ya utitiri au viroboto ambavyo hushambulia aina zote za ndege/kuku wenye umri mdogo<br />

na mkubwa.<br />

Dalili<br />

Tiba<br />

• Muwasho wa ngozi<br />

• Ngozi ya kuku kutoka magamba<br />

• Kuku wanajaribu kunyonyoa manyoya ili kupunguza kuwashwa<br />

• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />

• Kuku anaonekana mchovu na hatulii<br />

• Kuharisha<br />

• Kwa kawaida vifo ni vichache<br />

Nyunyizia au pulizia dawa ya kuua wadudu.<br />

Pata ushauri wa daktari.<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

51

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!