MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
3.5 WADUDU WANAoSHAMbULIA NgoZI 50 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga
Maelezo Hawa ni wadudu wanaoishi kwenye ngozi na manyoya ya kuku, wadudu hawa huleta usumbufu kwa kuku kwa kuwanyonya damu, kusababisha muwasho, na kuwa wadudu wa kati katika maambukizi ya magonjwa. Wadudu wanaoshambulia ngozi ni pamoja na viroboto, chawa, utitiri, nzi, mbu na kupe. 3.5.1 WADUDU WANAoSHAMbULIA NgoZI (INSecT INfeSTATIoN) Maelezo Hawa ni wadudu aina ya utitiri au viroboto ambavyo hushambulia aina zote za ndege/kuku wenye umri mdogo na mkubwa. Dalili Tiba • Muwasho wa ngozi • Ngozi ya kuku kutoka magamba • Kuku wanajaribu kunyonyoa manyoya ili kupunguza kuwashwa • Kuku kukonda na kutokukua vizuri • Kuku anaonekana mchovu na hatulii • Kuharisha • Kwa kawaida vifo ni vichache Nyunyizia au pulizia dawa ya kuua wadudu. Pata ushauri wa daktari. Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga 51
- Page 7 and 8: UTANgULIZI Sekta ya ufugaji wa ndeg
- Page 9 and 10: • Hupunguza athari za kiuchumi zi
- Page 11 and 12: Taratibu za Kuzuia Kuenea kwa Magon
- Page 13 and 14: Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadil
- Page 15 and 16: Maelezo: Bakteria ni vimelea ambavy
- Page 17 and 18: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 19 and 20: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 21 and 22: Kuku wakubwa • Kuku wakubwa huony
- Page 23 and 24: Dalili Kuku wanaweza wasionyeshe da
- Page 25 and 26: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 27 and 28: Dalili Ugonjwa huu hushambulia zaid
- Page 29 and 30: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 31 and 32: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 33 and 34: Maelezo Virusi ni vimelea ambavyo h
- Page 35 and 36: Madoa makubwa ya damu kwenye firigi
- Page 37 and 38: Dalili • Chukua Tahadhari: Wageni
- Page 39 and 40: Kuku wenye mboni ya kijivu Kupooza
- Page 41 and 42: 3.2.4 NDUI YA KUKU (foWL Pox) Maele
- Page 43 and 44: Dalili • Tumbo kuvimba • Kuku k
- Page 45 and 46: Uchunguzi wa Mzoga • Uharo wenye
- Page 47 and 48: jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili •
- Page 49 and 50: Maelezo Protozo ni vimelea vyenye c
- Page 51 and 52: 3.3.2 HISToMoNASI (HISToMoNIASIS) M
- Page 53 and 54: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 55 and 56: Maelezo Minyoo huishi katika njia y
- Page 57: Tiba Dawa za Minyoo - kuwekwa kweny
- Page 61 and 62: Kuzuia na Kinga • Banda (kuta, pa
- Page 63 and 64: Maelezo Magonjwa yatokanayo na upun
- Page 65 and 66: Tiba • Tumia Madini stahiki kulin
- Page 67 and 68: Maelezo Kuna spishi nyingi za Fanga
- Page 69 and 70: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 71 and 72: Wakati wa kutayarisha mpango wa kuc
- Page 73 and 74: Mambo muhimu ya kuzingatia: • Hak
- Page 75 and 76: Aina ya chanjo Umri wa Kuchanja Kuk
3.5<br />
WADUDU<br />
WA<strong>NA</strong>oSHAMbULIA<br />
NgoZI<br />
50 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga