28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kuzuia na Kinga<br />

• Mabanda yajengwe na wavu kuzuia wadudu kuingia.<br />

• Pulizia dawa za kuua wadudu kwenye mabanda<br />

• Kinyesi cha kuku kikusanywe mara kwa mara na kusambazwa juani ili kikauke na kuua lava.<br />

3.4.2 MINYoo <strong>YA</strong> DUArA (NeMAToDe INfeSTATIoN)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na Minyoo ya Duara ambayo hushambulia kuku, kanga, bata na ndege wa porini.<br />

Minyoo huathiri kuku/ndege wadogo na wakubwa ijapokuwa wadogo wanaathirika zaidi.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku/ndege na wadudu wa kati (minyoo ya kwenye udongo na<br />

mchwa).<br />

• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa<br />

• Minyoo ya Duara hushambulia mfuko wa chakula na kuishi tumboni hasa katika utumbo mwembamba<br />

• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />

• Kuku wanaonyesha ukosefu wa damu – macho na ndimi na sehemu zisizo na manyoya kupauka<br />

• Kuhara damu<br />

• Kwa kawaida vifo ni vichache<br />

48 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!