28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Maelezo<br />

Minyoo huishi katika njia ya chakula kwenye kuku na wanyama. Minyoo inaweza kuwa na faida kwa mnyama au<br />

inaweza kuleta madhara. Minyoo mingi ya kuku husababisha madhara. Minyoo muhimu katika kuku ni aina ya<br />

Minyoo bapa na Minyooya Duara.<br />

3.4.1 MINYoo bAPA (TAPe WorM INfeSTATIoN)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na Minyoo Bapa ambayo hushambulia kuku, kanga na njiwa. Minyoo huathiri kuku<br />

na ndege wadogo na wakubwa ijapokuwa ndege wadogo wanaathirika zaidi.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

Tiba<br />

• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku, ndege na wadudu wa kati (minyoo ya kwenye udongo,<br />

kombamwiko, na panzi).<br />

• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa na wadudu wa kati wanaoneza<br />

minyoo.<br />

• Minyoo bapa (tegu) huishi tumboni na huweza kuziba utumbo na kusababisha kifo<br />

• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />

• Kuku wanaonyesha ukosefu wa damu – macho na ndimi na sehemu zisizo na manyoya hupauka<br />

• Kuhara damu<br />

• Kwa kawaida vifo huwa vingi<br />

• Dawa za Minyoo – huwekwa kwenye maji au chakula.<br />

• Pata ushauri wa daktari.<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!