28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Maelezo<br />

Protozo ni vimelea vyenye chembe moja ambavyo husababisha magonjwa kwenye ndege na wanyama.<br />

Mazingira ya joto na unyenvuyevu husababisha kuongezeka kwa Protozoa. Maambukizi mengi ni kwa njia ya<br />

kinyesi cha ndege wagonjwa kuchafua maji na chakula, nguo na viatu vya wafanyakazi, pamoja na nzi na wadudu<br />

wengine. Magonjwa muhimu yanayosababishwa na protozoa kwenye kuku nchini Tanzania ni: Kuhara Damu na<br />

Histomonasi.<br />

3.3.1 KUHArA DAMU (coccIDIoSIS)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na Protozoa ambao hushambulia kuku na wanyama wengine. Ugonjwa huathiri<br />

kuku wadogo na wakubwa.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku wagonjwa kuchafua maji na chakula, udongo na maranda.<br />

• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa na vimelea<br />

• Maambukizi yanaweza pia kupitia vifaa na vyombo vya shambani, nguo, wadudu na wanyama.<br />

• Kuhara damu<br />

• Mbawa kushuka<br />

• Kuzubaa na kuacha kutaga<br />

• Kukosa hamu ya kula<br />

• Kupunguza kasi ya ukuaji na uzito<br />

• Kwa kawaida vifo ni vingi<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

41

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!