MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Maelezo<br />
Protozo ni vimelea vyenye chembe moja ambavyo husababisha magonjwa kwenye ndege na wanyama.<br />
Mazingira ya joto na unyenvuyevu husababisha kuongezeka kwa Protozoa. Maambukizi mengi ni kwa njia ya<br />
kinyesi cha ndege wagonjwa kuchafua maji na chakula, nguo na viatu vya wafanyakazi, pamoja na nzi na wadudu<br />
wengine. Magonjwa muhimu yanayosababishwa na protozoa kwenye kuku nchini Tanzania ni: Kuhara Damu na<br />
Histomonasi.<br />
3.3.1 KUHArA DAMU (coccIDIoSIS)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na Protozoa ambao hushambulia kuku na wanyama wengine. Ugonjwa huathiri<br />
kuku wadogo na wakubwa.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku wagonjwa kuchafua maji na chakula, udongo na maranda.<br />
• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa na vimelea<br />
• Maambukizi yanaweza pia kupitia vifaa na vyombo vya shambani, nguo, wadudu na wanyama.<br />
• Kuhara damu<br />
• Mbawa kushuka<br />
• Kuzubaa na kuacha kutaga<br />
• Kukosa hamu ya kula<br />
• Kupunguza kasi ya ukuaji na uzito<br />
• Kwa kawaida vifo ni vingi<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
41