28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku wagonjwa kuchafua maji na chakula. Mayai yenye vimelea<br />

pia yanaweza kuwa chanzo cha maambukizi.<br />

• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia yai kutoka kuku mwenye ugonjwa kwenda kwa kifaranga (maambukizi<br />

wima)<br />

• Ndege wadogo kupata maambukizi moja kwa moja kutoka kuku wakubwa na kusambaa kwenye kundi<br />

(maambukizi mlalo).<br />

• Kichwa, shingo na misuli kutetemeka<br />

• Kuku hupoteza uwezo wa kutembea<br />

• Kuku wanakalia magoti badala ya kusimama<br />

• Kupooza<br />

• Kuku kulala kifudifudi<br />

• Kuku wengi huambukizwa lakini vifo ni vichache, asilimia 5 hadi 50.<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

• Utandu kwenye ubongo umevia damu<br />

Tiba<br />

• Hakuna tiba maalum<br />

• Pata ushauri wa daktari<br />

Kuzuia na Kinga<br />

• Kuku wagonjwa wachinjwe au kuchomwa moto.<br />

• Weka utaratibu madhubuti wa kupuliza dawa za viuatilifu vinavyofaa kwenye mabanda na vyombo<br />

• Mayai kwa ajili ya kutotoa vifaranga yatoke kwenye kuku wasio na ugonjwa<br />

• vifaranga vya siku moja vipatiwe chanjo dhidi ya ugonjwa<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!