MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Uchunguzi wa Mzoga<br />
• Uharo wenye damu.<br />
• Njia ya hewa kuvimba – pua, koromeo, mifuko ya hewa pamoja na utandu wa macho<br />
• Ovari zinakuwa na madoa ya damu na kupungua ukubwa<br />
• Upanga na undu zinakuwa na rangi ya bluu<br />
• Kichwa na shingo kuvimba<br />
• Mzoga unaonekana umekauka<br />
• Misuli imevia<br />
• Madoa ya damu kwenye firigisi na mafindofindo ya tumboni<br />
Upanga na undu wa rangi ya bluu kwenye kuku<br />
mwenye Mafua Makali ya Ndege<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
37