28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Uchunguzi wa Mzoga<br />

• Uharo wenye damu.<br />

• Njia ya hewa kuvimba – pua, koromeo, mifuko ya hewa pamoja na utandu wa macho<br />

• Ovari zinakuwa na madoa ya damu na kupungua ukubwa<br />

• Upanga na undu zinakuwa na rangi ya bluu<br />

• Kichwa na shingo kuvimba<br />

• Mzoga unaonekana umekauka<br />

• Misuli imevia<br />

• Madoa ya damu kwenye firigisi na mafindofindo ya tumboni<br />

Upanga na undu wa rangi ya bluu kwenye kuku<br />

mwenye Mafua Makali ya Ndege<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!