MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
3.2.6 MAfUA MAKALI YA NDege (HIgHLY PATHogeNIc AvIAN INfLUeNZA) Maelezo Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia aina zote za ndege pamoja na binadamu. jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili • Chanzo cha maambukizi ni mayai yaliyoambukizwa, ndege wagonjwa na mashine za kutotolea zilizochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na wenye vimelea. • Maambukizi huenea kupitia maji maji ya kuku wagonjwa, kinyesi, vifaa na nguo za wafanyakazi na maji ya kunywa. • Mayai yaliyoambukizwa yakipasuka katika mashine za kutotolea yanaweza kuambukiza vifaranga na kufanana na maambukizi yanayotoka kizazi kimoja hadi kingine • Vifo vya ghafla • Kelele za kawaida za kuku hazisikiki tena • Kuku hukohoa • Pua kutoa makamasi na macho machozi • Kuvimba kwa uso • Upanga na undu zinakuwa na rangi ya bluu • Uharo (mara nyingi wa rangi ya kijani) • Dalili za kuathirika mfumo wa fahamu, kama vile kupooza • Kuku wengi huambukizwa lakini vifo ni vichache, asilimia 5 hadi 50. 36 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga
Uchunguzi wa Mzoga • Uharo wenye damu. • Njia ya hewa kuvimba – pua, koromeo, mifuko ya hewa pamoja na utandu wa macho • Ovari zinakuwa na madoa ya damu na kupungua ukubwa • Upanga na undu zinakuwa na rangi ya bluu • Kichwa na shingo kuvimba • Mzoga unaonekana umekauka • Misuli imevia • Madoa ya damu kwenye firigisi na mafindofindo ya tumboni Upanga na undu wa rangi ya bluu kwenye kuku mwenye Mafua Makali ya Ndege Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga 37
- Page 1 and 2: Magonjwa Makuu ya kuku, Tiba na kin
- Page 3 and 4: YALIYoMo DIbAjI iii SHUKrANI iv UTA
- Page 5 and 6: DIbAjI Ndege wafugwao wana nafasi k
- Page 7 and 8: UTANgULIZI Sekta ya ufugaji wa ndeg
- Page 9 and 10: • Hupunguza athari za kiuchumi zi
- Page 11 and 12: Taratibu za Kuzuia Kuenea kwa Magon
- Page 13 and 14: Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadil
- Page 15 and 16: Maelezo: Bakteria ni vimelea ambavy
- Page 17 and 18: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 19 and 20: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 21 and 22: Kuku wakubwa • Kuku wakubwa huony
- Page 23 and 24: Dalili Kuku wanaweza wasionyeshe da
- Page 25 and 26: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 27 and 28: Dalili Ugonjwa huu hushambulia zaid
- Page 29 and 30: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 31 and 32: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 33 and 34: Maelezo Virusi ni vimelea ambavyo h
- Page 35 and 36: Madoa makubwa ya damu kwenye firigi
- Page 37 and 38: Dalili • Chukua Tahadhari: Wageni
- Page 39 and 40: Kuku wenye mboni ya kijivu Kupooza
- Page 41 and 42: 3.2.4 NDUI YA KUKU (foWL Pox) Maele
- Page 43: Dalili • Tumbo kuvimba • Kuku k
- Page 47 and 48: jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili •
- Page 49 and 50: Maelezo Protozo ni vimelea vyenye c
- Page 51 and 52: 3.3.2 HISToMoNASI (HISToMoNIASIS) M
- Page 53 and 54: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 55 and 56: Maelezo Minyoo huishi katika njia y
- Page 57 and 58: Tiba Dawa za Minyoo - kuwekwa kweny
- Page 59 and 60: Maelezo Hawa ni wadudu wanaoishi kw
- Page 61 and 62: Kuzuia na Kinga • Banda (kuta, pa
- Page 63 and 64: Maelezo Magonjwa yatokanayo na upun
- Page 65 and 66: Tiba • Tumia Madini stahiki kulin
- Page 67 and 68: Maelezo Kuna spishi nyingi za Fanga
- Page 69 and 70: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 71 and 72: Wakati wa kutayarisha mpango wa kuc
- Page 73 and 74: Mambo muhimu ya kuzingatia: • Hak
- Page 75 and 76: Aina ya chanjo Umri wa Kuchanja Kuk
3.2.6 MAfUA MAKALI <strong>YA</strong> NDege (HIgHLY PATHogeNIc AvIAN INfLUeNZA)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia aina zote za ndege pamoja na binadamu.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Chanzo cha maambukizi ni mayai yaliyoambukizwa, ndege wagonjwa na mashine za kutotolea<br />
zilizochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na wenye vimelea.<br />
• Maambukizi huenea kupitia maji maji ya kuku wagonjwa, kinyesi, vifaa na nguo za wafanyakazi na maji ya<br />
kunywa.<br />
• Mayai yaliyoambukizwa yakipasuka katika mashine za kutotolea yanaweza kuambukiza vifaranga na<br />
kufanana na maambukizi yanayotoka kizazi kimoja hadi kingine<br />
• Vifo vya ghafla<br />
• Kelele za kawaida za kuku hazisikiki tena<br />
• Kuku hukohoa<br />
• Pua kutoa makamasi na macho machozi<br />
• Kuvimba kwa uso<br />
• Upanga na undu zinakuwa na rangi ya bluu<br />
• Uharo (mara nyingi wa rangi ya kijani)<br />
• Dalili za kuathirika mfumo wa fahamu, kama vile kupooza<br />
• Kuku wengi huambukizwa lakini vifo ni vichache, asilimia 5 hadi 50.<br />
36 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga