28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Weka utaratibu wa kuhakikisha wafanyakazi , wageni na ndege hawaingii hovyo kwenye shamba/banda<br />

• Kuku wapatiwe Chanjo katika maji ya kunywa (angalia Ratiba)<br />

3.2.3 MAreKSI (MAreK’S DISeASe)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia zaidi kuku, bata maji na bata mzinga. Kuku wa mayai<br />

ndio wanaoathirika zaidi. Mara nyingi ugonjwa hutokea katika kuku wenye umri kati ya wiki 12 hadi 24, ijapokuwa<br />

hata kuku wakubwa nao hupata ugonjwa.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

• Maambukizi pia kuenea kupitia mfumo wa hewa, kwa vumbi lenye vimelea katika mabanda na vumbi<br />

litokanalo na manyoya.<br />

• Mate ya kuku wagonjwa pia ni njia mojawapo ya maambukizi<br />

• Binadamu, inzi na aina nyingine za ndege pia zinaweza kusambaza maambukizi.<br />

• Uharo mweupe wenye maji maji<br />

• Mboni ya jicho kuwa na rangi ya kijivu<br />

• Upofu kwenye kuku<br />

• Miguu na mabawa hupooza<br />

• Kuku kupindisha kichwa<br />

• Kwa kawaida vifo ni kati ya asilimia 10 na 80.<br />

30 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!