MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
• Weka utaratibu wa kuhakikisha wafanyakazi , wageni na ndege hawaingii hovyo kwenye shamba/banda<br />
• Kuku wapatiwe Chanjo katika maji ya kunywa (angalia Ratiba)<br />
3.2.3 MAreKSI (MAreK’S DISeASe)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia zaidi kuku, bata maji na bata mzinga. Kuku wa mayai<br />
ndio wanaoathirika zaidi. Mara nyingi ugonjwa hutokea katika kuku wenye umri kati ya wiki 12 hadi 24, ijapokuwa<br />
hata kuku wakubwa nao hupata ugonjwa.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Maambukizi pia kuenea kupitia mfumo wa hewa, kwa vumbi lenye vimelea katika mabanda na vumbi<br />
litokanalo na manyoya.<br />
• Mate ya kuku wagonjwa pia ni njia mojawapo ya maambukizi<br />
• Binadamu, inzi na aina nyingine za ndege pia zinaweza kusambaza maambukizi.<br />
• Uharo mweupe wenye maji maji<br />
• Mboni ya jicho kuwa na rangi ya kijivu<br />
• Upofu kwenye kuku<br />
• Miguu na mabawa hupooza<br />
• Kuku kupindisha kichwa<br />
• Kwa kawaida vifo ni kati ya asilimia 10 na 80.<br />
30 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga