MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Tiba • Hakuna tiba ya ugonjwa huu ila kuku wapewe antibiotiki. • Pata ushauri wa daktari. Kuzuia na Kinga • Weka utaratibu wa kuhakikisha wafanyakazi , wageni na ndege hawaingii hovyo kwenye shamba/banda • Angamiza mizoga yote kwa njia stahiki kwa kuchoma moto au kufukia kwenye shimo refu ardhini. • Hakikisha banda la kuku lina hewa ya kutosha na epuka msongamano mkubwa wa kuku. • Fanya usafi wa mara kwa mara kwenye vyombo vya kuwekea maji na chakula, pamoja na mabanda ya kuku. • Zuia uingizaji holela wa kuku wageni wasiochanjwa kwenye shamba/banda. Kuku wanaoingia shambani/ bandani watoke maeneo yasiyokuwa na ugonjwa. • Tenganisha kuku kufuatana na umri • Maeneo yenye ugonjwa yawekwe chini ya karantini na mabanda yapulizwe dawa • Kuku wapewe chanjo tangu vifaranga wa umri wa siku 3, baada ya wiki 3 – 4, na baadaye kila baada ya miezi 3. 3.2.2 gUMboro (INfecTIoUS bUrSAr DISeASe) Maelezo Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia zaidi kuku, bata maji na bata mzinga. Kuku na bata wadogo hadi wiki 12 ndio wanaoathirika zaidi. jinsi Ugonjwa Unavyoenea • Chanzo cha maambukizi ni maji, chakula na vifaa/vyombo vya shambani vilivyochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na wenye vimelea. • Maambukizi pia huenea kupitia mfumo wa hewa, kwa vumbi lenye vimelea katika mabanda. 28 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga
Dalili • Chukua Tahadhari: Wageni, wafanyakazi na magari yanaweza kusambaza ugonjwa kutoka shamba hadi shamba au banda hadi banda. Hii ni pamoja na kuku hai, vifaa/vyombo vya shambani na bidhaa zitokanazo na kuku (mayai, nyama, manyoya na mbolea) wanaosafirishwa kutoka mashamba/mabanda yenye ugonjwa • Uharo mweupe wenye maji maji • Kuku wanadonoana kwenye sehemu ya kupitishia haja, na sehemu hii huvimba • Kuku hulala kifudifudi • Kuku wanashindwa kutembea na wanatetemeka • Vifo vya kuku vinaweza kufikia hadi asilimia 30, na kupungua jinsi wanavyozeeka Uchunguzi wa Mzoga Tiba • Sudi (mkia) ya kuku huvimba mara mbili ya kawaida na kujaa maji. • Madoa ya damu kwenye miguu na mapaja • Hakuna tiba maalum • Kuku wapewe vitamini na maji kwa wingi • Antibiotiki husaidia maambukizi nyemelezi. • Pata ushauri wa daktari. Kuzuia na Kinga • Mizoga, makapi na vifaa vingine vilivyochafuliwa na kuku wagonjwa vichomwe moto au kuzikwa. • Weka utaratibu madhubuti wa kupuliza dawa za viuatilifu vinavyofaa • Baada ya kumaliza kuwauza kuku wote, fanya usafi wa mabanda na kupuliza dawa Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga 29
- Page 1 and 2: Magonjwa Makuu ya kuku, Tiba na kin
- Page 3 and 4: YALIYoMo DIbAjI iii SHUKrANI iv UTA
- Page 5 and 6: DIbAjI Ndege wafugwao wana nafasi k
- Page 7 and 8: UTANgULIZI Sekta ya ufugaji wa ndeg
- Page 9 and 10: • Hupunguza athari za kiuchumi zi
- Page 11 and 12: Taratibu za Kuzuia Kuenea kwa Magon
- Page 13 and 14: Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadil
- Page 15 and 16: Maelezo: Bakteria ni vimelea ambavy
- Page 17 and 18: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 19 and 20: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 21 and 22: Kuku wakubwa • Kuku wakubwa huony
- Page 23 and 24: Dalili Kuku wanaweza wasionyeshe da
- Page 25 and 26: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 27 and 28: Dalili Ugonjwa huu hushambulia zaid
- Page 29 and 30: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 31 and 32: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 33 and 34: Maelezo Virusi ni vimelea ambavyo h
- Page 35: Madoa makubwa ya damu kwenye firigi
- Page 39 and 40: Kuku wenye mboni ya kijivu Kupooza
- Page 41 and 42: 3.2.4 NDUI YA KUKU (foWL Pox) Maele
- Page 43 and 44: Dalili • Tumbo kuvimba • Kuku k
- Page 45 and 46: Uchunguzi wa Mzoga • Uharo wenye
- Page 47 and 48: jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili •
- Page 49 and 50: Maelezo Protozo ni vimelea vyenye c
- Page 51 and 52: 3.3.2 HISToMoNASI (HISToMoNIASIS) M
- Page 53 and 54: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 55 and 56: Maelezo Minyoo huishi katika njia y
- Page 57 and 58: Tiba Dawa za Minyoo - kuwekwa kweny
- Page 59 and 60: Maelezo Hawa ni wadudu wanaoishi kw
- Page 61 and 62: Kuzuia na Kinga • Banda (kuta, pa
- Page 63 and 64: Maelezo Magonjwa yatokanayo na upun
- Page 65 and 66: Tiba • Tumia Madini stahiki kulin
- Page 67 and 68: Maelezo Kuna spishi nyingi za Fanga
- Page 69 and 70: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 71 and 72: Wakati wa kutayarisha mpango wa kuc
- Page 73 and 74: Mambo muhimu ya kuzingatia: • Hak
- Page 75 and 76: Aina ya chanjo Umri wa Kuchanja Kuk
Dalili<br />
• Chukua Tahadhari: Wageni, wafanyakazi na magari yanaweza kusambaza ugonjwa kutoka shamba<br />
hadi shamba au banda hadi banda. Hii ni pamoja na kuku hai, vifaa/vyombo vya shambani na bidhaa<br />
zitokanazo na kuku (mayai, nyama, manyoya na mbolea) wanaosafirishwa kutoka mashamba/mabanda<br />
yenye ugonjwa<br />
• Uharo mweupe wenye maji maji<br />
• Kuku wanadonoana kwenye sehemu ya kupitishia haja, na sehemu hii huvimba<br />
• Kuku hulala kifudifudi<br />
• Kuku wanashindwa kutembea na wanatetemeka<br />
• Vifo vya kuku vinaweza kufikia hadi asilimia 30, na kupungua jinsi wanavyozeeka<br />
Uchunguzi wa Mzoga<br />
Tiba<br />
• Sudi (mkia) ya kuku huvimba mara mbili ya kawaida na kujaa maji.<br />
• Madoa ya damu kwenye miguu na mapaja<br />
• Hakuna tiba maalum<br />
• Kuku wapewe vitamini na maji kwa wingi<br />
• Antibiotiki husaidia maambukizi nyemelezi.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Mizoga, makapi na vifaa vingine vilivyochafuliwa na kuku wagonjwa vichomwe moto au kuzikwa.<br />
• Weka utaratibu madhubuti wa kupuliza dawa za viuatilifu vinavyofaa<br />
• Baada ya kumaliza kuwauza kuku wote, fanya usafi wa mabanda na kupuliza dawa<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
29