MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Uchunguzi wa Mzoga<br />
Tiba<br />
Madoa ya damu kwenye ini, na ini lina rangi nyeusi<br />
Madoa ya damu madogo madogo kwenye tumbo na kuzunguka tumbo<br />
Ini lililovia nyongo<br />
Maji kujaa kuzunguka utumbo na moyo<br />
Figo kuvimba na kupauka<br />
• Madawa aina ya antibiotiki yanaweza kutumika kwa ajili ya kinga.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Epuka kuingiza kuku wagonjwa shambani<br />
• Mabanda yote ya kuku yawe safi na yapuliziwe dawa za viuatilifu kabla ya kuingiza kuku na vifaranga<br />
wapya.<br />
• Kuku wagonjwa watengwe<br />
22 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga