MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
3.1.7 KoLIbASILoSI (coLIbAcILLoSIS) Maelezo Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria na hushambulia zaidi kuku na bata. Ugonjwa huu huathiri zaidi vifaranga. jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili • Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa. Bakteria wanaosababisha ugonjwa wameenea kila mahali hivyo kuweza kuchafua maji na chakula. • Vifaranga wanaweza kupata maambukizi wakiwa bado ndani ya yai kabla ya kuanguliwa. • Mayai machafu yenye bacteria ndiyo njia kuu ya kuambukiza vifaranga kupitia kitovu baada ya kutotolewa. Pia mayai yenye maganda dhaifu na makasha machafu ya kubebea mayai ni chanzo kingine cha maambukizi. • Kuku wanaonekana kuzubaa • Kuku wanatoa sauti ya chini chini • Kuku wanajikusanya karibu na taa inayotoa joto • Kuharisha na kinyesi kugandana katika njia ya haja • Ngozi ya kifuani ina uvimbe • Vifo vya vifaranga vinaweza kufikia asilimia 10, vifaranga walio totolewa inaweza kufika asilimia 50. Uchunguzi wa Mzoga Sehemu ya haja inaweza kuzibwa na kinyesi kilichokauka Njano ya yai kutapakaa tumboni, uchafu wenye rangi nyeupe au kijani, ukiwa na damu Uvimbe kwenye ini, utumbo na utandu wa tumboni 20 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga
Tiba • Madawa aina ya sulfa na antibiotiki yanayofaa yanaweza kutumika kwa ajili ya tiba na kinga. • Pata ushauri wa daktari. Kuzuia na Kinga • Angamiza kwa kuchoma moto vifaranga wote ambao hawakui vizuri na wanaonyesha dalili za ugonjwa • Mabanda yote ya kuku yapuliziwe dawa za viuatilifu kabla ya kuingiza kuku na vifaranga wapya. 3.1.8 KAMPILobAKTA (cAMPYLobAcTerIoSIS) Maelezo Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambao hushambulia zaidi kuku na bata mzinga. Ugonjwa hujidhihirisha zaidi katika ufugaji mkubwa unaoweka kuku wengi pamoja. Binadamu anaweza kuambukizwa kwa kushika kuku au bidhaa za kuku zenye ugonjwa. jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili • Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa. Kwa kawaida ugonjwa hauonyeshi dalili za wazi kwehye kuku, lakini kuku wanaposhambuliwa na ugonjwa wanaweza kuonyesha dalili zifuatazo: • Kuku kukonda na kupungua uzito • Upanga uliopauka na wenye magamba • Kuku anaonyesha kunyong’onyea. Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga 21
- Page 1 and 2: Magonjwa Makuu ya kuku, Tiba na kin
- Page 3 and 4: YALIYoMo DIbAjI iii SHUKrANI iv UTA
- Page 5 and 6: DIbAjI Ndege wafugwao wana nafasi k
- Page 7 and 8: UTANgULIZI Sekta ya ufugaji wa ndeg
- Page 9 and 10: • Hupunguza athari za kiuchumi zi
- Page 11 and 12: Taratibu za Kuzuia Kuenea kwa Magon
- Page 13 and 14: Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadil
- Page 15 and 16: Maelezo: Bakteria ni vimelea ambavy
- Page 17 and 18: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 19 and 20: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 21 and 22: Kuku wakubwa • Kuku wakubwa huony
- Page 23 and 24: Dalili Kuku wanaweza wasionyeshe da
- Page 25 and 26: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 27: Dalili Ugonjwa huu hushambulia zaid
- Page 31 and 32: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 33 and 34: Maelezo Virusi ni vimelea ambavyo h
- Page 35 and 36: Madoa makubwa ya damu kwenye firigi
- Page 37 and 38: Dalili • Chukua Tahadhari: Wageni
- Page 39 and 40: Kuku wenye mboni ya kijivu Kupooza
- Page 41 and 42: 3.2.4 NDUI YA KUKU (foWL Pox) Maele
- Page 43 and 44: Dalili • Tumbo kuvimba • Kuku k
- Page 45 and 46: Uchunguzi wa Mzoga • Uharo wenye
- Page 47 and 48: jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili •
- Page 49 and 50: Maelezo Protozo ni vimelea vyenye c
- Page 51 and 52: 3.3.2 HISToMoNASI (HISToMoNIASIS) M
- Page 53 and 54: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 55 and 56: Maelezo Minyoo huishi katika njia y
- Page 57 and 58: Tiba Dawa za Minyoo - kuwekwa kweny
- Page 59 and 60: Maelezo Hawa ni wadudu wanaoishi kw
- Page 61 and 62: Kuzuia na Kinga • Banda (kuta, pa
- Page 63 and 64: Maelezo Magonjwa yatokanayo na upun
- Page 65 and 66: Tiba • Tumia Madini stahiki kulin
- Page 67 and 68: Maelezo Kuna spishi nyingi za Fanga
- Page 69 and 70: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 71 and 72: Wakati wa kutayarisha mpango wa kuc
- Page 73 and 74: Mambo muhimu ya kuzingatia: • Hak
- Page 75 and 76: Aina ya chanjo Umri wa Kuchanja Kuk
Tiba<br />
• Madawa aina ya sulfa na antibiotiki yanayofaa yanaweza kutumika kwa ajili ya tiba na kinga.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Angamiza kwa kuchoma moto vifaranga wote ambao hawakui vizuri na wanaonyesha dalili za ugonjwa<br />
• Mabanda yote ya kuku yapuliziwe dawa za viuatilifu kabla ya kuingiza kuku na vifaranga wapya.<br />
3.1.8 KAMPILobAKTA (cAMPYLobAcTerIoSIS)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambao hushambulia zaidi kuku na bata mzinga. Ugonjwa hujidhihirisha<br />
zaidi katika ufugaji mkubwa unaoweka kuku wengi pamoja. Binadamu anaweza kuambukizwa kwa kushika kuku<br />
au bidhaa za kuku zenye ugonjwa.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa.<br />
Kwa kawaida ugonjwa hauonyeshi dalili za wazi kwehye kuku, lakini kuku wanaposhambuliwa na ugonjwa<br />
wanaweza kuonyesha dalili zifuatazo:<br />
• Kuku kukonda na kupungua uzito<br />
• Upanga uliopauka na wenye magamba<br />
• Kuku anaonyesha kunyong’onyea.<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
21