28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

3.1.7 KoLIbASILoSI (coLIbAcILLoSIS)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria na hushambulia zaidi kuku na bata. Ugonjwa huu huathiri zaidi vifaranga.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

• Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa. Bakteria<br />

wanaosababisha ugonjwa wameenea kila mahali hivyo kuweza kuchafua maji na chakula.<br />

• Vifaranga wanaweza kupata maambukizi wakiwa bado ndani ya yai kabla ya kuanguliwa.<br />

• Mayai machafu yenye bacteria ndiyo njia kuu ya kuambukiza vifaranga kupitia kitovu baada ya<br />

kutotolewa. Pia mayai yenye maganda dhaifu na makasha machafu ya kubebea mayai ni chanzo kingine<br />

cha maambukizi.<br />

• Kuku wanaonekana kuzubaa<br />

• Kuku wanatoa sauti ya chini chini<br />

• Kuku wanajikusanya karibu na taa inayotoa joto<br />

• Kuharisha na kinyesi kugandana katika njia ya haja<br />

• Ngozi ya kifuani ina uvimbe<br />

• Vifo vya vifaranga vinaweza kufikia asilimia 10, vifaranga walio totolewa inaweza kufika asilimia 50.<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

Sehemu ya haja inaweza kuzibwa na kinyesi kilichokauka<br />

Njano ya yai kutapakaa tumboni, uchafu wenye rangi nyeupe au kijani, ukiwa na damu<br />

Uvimbe kwenye ini, utumbo na utandu wa tumboni<br />

20 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!