MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Kuzuia na Kinga<br />
• Iwapo ndani ya shamba moja kuna kuku wa aina tofauti, k.m. vifaranga, kuku wazazi, kuku wakubwa,<br />
jaribu kuwatenganisha ili mabanda yao yasikaribiane<br />
• Pale inapowezekana, jaribu kupanga utaratibu wa kila kundi la kuku lishughulikiwe na mfanyakazi wake<br />
ili kuzuia kueneza maambukizi.<br />
• Hakikisha kuku wagonjwa wanatengwa na wale wazima<br />
• Tumia maji yaliyowekwa dawa aina ya klorini<br />
• Weka utaratibu wa kuhakikisha watu, wanyama, ndege wa aina nyingine na ndege wa porini hawazururi<br />
shambani.<br />
3.1.6 UgoNjWA SUgU WA MfUMo WA HeWA (cHroNIc reSPIrATorY DISeASe-crD)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambao hushambulia zaidi kuku na bata mzinga.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
• Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na wenye<br />
vimelea. Pia kupitia mfumo wa hewa kutoka ndege wagonjwa.<br />
• Njia kuu ya kuenea kwa maambukizi ni kupitia mayai, hivyo maambukizi huendelea kutoka kizazi hadi<br />
kizazi.<br />
• Tahadhari: Wageni, wafanyakazi na magari yanaweza kusambaza ugonjwa kutoka shamba hadi shamba<br />
au banda hadi banda<br />
18 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga