MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
• Kuku wapya watenganishwe na kuchunguzwa kwa muda wa angalau mwezi mmoja kabla ya<br />
kuwachanganya na kuku wengine.<br />
• Vifaranga visichanganywe na kuku wakubwa.<br />
• Hakikisha unafuata kanuni za ufugaji bora ili kuku wakue vizuri na wasiathirike.<br />
3.1.5 MAfUA <strong>YA</strong> <strong>KUKU</strong> (INfecTIoUS corYZA)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria ambao hushambulia zaidi kuku na ndege wa porini. Ugonjwa<br />
hushambulia kuku wa umri wowote.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa.<br />
• Kuku au ndege wagonjwa huambukiza wenzao kupitia mfumo wa hewa wanapopiga chafya.<br />
Ugonjwa huu hushambulia zaidi mfumo wa hewa na hivyo kusababisha dalili zifuatazo:<br />
• Makamasi mazito yenye usaha hutoka puani<br />
• Kuku anashindwa kupumua, hukohoa na kupiga chafya<br />
• Harufu mbaya kutoka kinywani na machoni<br />
• Uso mzima unavimba pamoja na upanga<br />
• Vifo vya kuku vinaweza kufikia asilimia 20<br />
16 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga