MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
3.1.3 KUHArISHA KINYeSI cHeUPe (bAcILLArY WHITe DIArrHeA) Maelezo Ni ugonjwa wa kuku unaosababishwa na bakteria na hushambulia zaidi kuku wadogo wenye umri hadi wiki tatu. Ugonjwa pia hushambulia aina zote za bata, kanga na ndege wa porini (mbuni). jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili • Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa. Panya, ndege na wanyama wengine wanaweza kueneza ugonjwa kwa kubeba mizoga ya kuku iliyokufa kwa ugonjwa na kuchafua maji na vyakula. • Kuku waliopona baada ya matibabu wanaweza kuendelea kuchafua mazingira na kuwa chanzo cha maambukizi, hivyo waondolewe shambani. • Maambukizi pia yanaweza kupitia katika mayai yanayototolewa na vifaranga kuathirika. Tahadhari: Wageni na wafanyakazi wanaweza kusambaza ugonjwa kutoka shamba hadi shamba au banda hadi banda. • Vituo vya kutotolea vifaranga vinaweza kuwa chanzo. Hakikisha vifaranga wako hawatoki kwenye kituo chenye kuku wagonjwa. vifaranga • Vifo vya ghafla • Vifaranga wanatotolewa wakiwa wamekufa au dhaifu • Hujikusanya pamoja karibu na taa kwa ajili ya kupata joto • Uharo wa rangi nyeupe kama chaki • Hupumua kwa shida • Uharo huganda kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja • Vifaranga wanapiga sana kelele • Vifaranga wanaonyesha ulemavu • Kuvimba magoti 12 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga
Kuku wakubwa • Kuku wakubwa huonyesha dalili za ugonjwa sugu • Kupauka kwa upanga na masikio kwa sababu ya kupungukiwa damu • Utagaji wa mayai hupungua Uchunguzi wa Mzoga Tiba • Njano ya yai iliyotapakaa tumboni mwa kuku • Uvimbe mdogo mdogo wa rangi ya kijivu ulioenea kwenye moyo,firigisi, misuli, mapafu na sehemu ya nje ya utumbo katika kuku wakubwa (umri wa wiki 2 hadi 5) Uvimbe mdogo mdogo wa rangi ya kijivu ulioenea kwenye misuli ya moyo • Yapo madawa mengi aina ya antibiotiki ambayo yanaweza kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa. Lakini madawa haya hayawezi kumaliza ugonjwa shambani kabisa. • Pata ushauri wa daktari. Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga 13
- Page 1 and 2: Magonjwa Makuu ya kuku, Tiba na kin
- Page 3 and 4: YALIYoMo DIbAjI iii SHUKrANI iv UTA
- Page 5 and 6: DIbAjI Ndege wafugwao wana nafasi k
- Page 7 and 8: UTANgULIZI Sekta ya ufugaji wa ndeg
- Page 9 and 10: • Hupunguza athari za kiuchumi zi
- Page 11 and 12: Taratibu za Kuzuia Kuenea kwa Magon
- Page 13 and 14: Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadil
- Page 15 and 16: Maelezo: Bakteria ni vimelea ambavy
- Page 17 and 18: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 19: Tiba • Yapo madawa mengi aina ya
- Page 23 and 24: Dalili Kuku wanaweza wasionyeshe da
- Page 25 and 26: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 27 and 28: Dalili Ugonjwa huu hushambulia zaid
- Page 29 and 30: Tiba • Madawa aina ya sulfa na an
- Page 31 and 32: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 33 and 34: Maelezo Virusi ni vimelea ambavyo h
- Page 35 and 36: Madoa makubwa ya damu kwenye firigi
- Page 37 and 38: Dalili • Chukua Tahadhari: Wageni
- Page 39 and 40: Kuku wenye mboni ya kijivu Kupooza
- Page 41 and 42: 3.2.4 NDUI YA KUKU (foWL Pox) Maele
- Page 43 and 44: Dalili • Tumbo kuvimba • Kuku k
- Page 45 and 46: Uchunguzi wa Mzoga • Uharo wenye
- Page 47 and 48: jinsi Ugonjwa Unavyoenea Dalili •
- Page 49 and 50: Maelezo Protozo ni vimelea vyenye c
- Page 51 and 52: 3.3.2 HISToMoNASI (HISToMoNIASIS) M
- Page 53 and 54: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
- Page 55 and 56: Maelezo Minyoo huishi katika njia y
- Page 57 and 58: Tiba Dawa za Minyoo - kuwekwa kweny
- Page 59 and 60: Maelezo Hawa ni wadudu wanaoishi kw
- Page 61 and 62: Kuzuia na Kinga • Banda (kuta, pa
- Page 63 and 64: Maelezo Magonjwa yatokanayo na upun
- Page 65 and 66: Tiba • Tumia Madini stahiki kulin
- Page 67 and 68: Maelezo Kuna spishi nyingi za Fanga
- Page 69 and 70: Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kin
3.1.3 KUHArISHA KINYeSI cHeUPe (bAcILLArY WHITe DIArrHeA)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa wa kuku unaosababishwa na bakteria na hushambulia zaidi kuku wadogo wenye umri hadi wiki tatu.<br />
Ugonjwa pia hushambulia aina zote za bata, kanga na ndege wa porini (mbuni).<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa. Panya, ndege<br />
na wanyama wengine wanaweza kueneza ugonjwa kwa kubeba mizoga ya kuku iliyokufa kwa ugonjwa<br />
na kuchafua maji na vyakula.<br />
• Kuku waliopona baada ya matibabu wanaweza kuendelea kuchafua mazingira na kuwa chanzo cha<br />
maambukizi, hivyo waondolewe shambani.<br />
• Maambukizi pia yanaweza kupitia katika mayai yanayototolewa na vifaranga kuathirika.<br />
Tahadhari: Wageni na wafanyakazi wanaweza kusambaza ugonjwa kutoka shamba hadi shamba au<br />
banda hadi banda.<br />
• Vituo vya kutotolea vifaranga vinaweza kuwa chanzo. Hakikisha vifaranga wako hawatoki kwenye kituo<br />
chenye kuku wagonjwa.<br />
vifaranga<br />
• Vifo vya ghafla<br />
• Vifaranga wanatotolewa wakiwa wamekufa au dhaifu<br />
• Hujikusanya pamoja karibu na taa kwa ajili ya kupata joto<br />
• Uharo wa rangi nyeupe kama chaki<br />
• Hupumua kwa shida<br />
• Uharo huganda kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja<br />
• Vifaranga wanapiga sana kelele<br />
• Vifaranga wanaonyesha ulemavu<br />
• Kuvimba magoti<br />
12 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga