28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Tiba<br />

• Yapo madawa mengi aina ya antibiotiki na sulfa ambayo yanaweza kupunguza vifo vinavyotokana na<br />

ugonjwa. Lakini madawa haya hayawezi kumaliza kabisa ugonjwa kutoka shambani.<br />

• Pata ushauri wa daktari.<br />

Kuzuia na Kinga<br />

• Hakikisha kwamba vifaranga wako wanatoka katika mashamba ambayo hayana huu ugonjwa.<br />

• Panga utaratibu wa kuchunguza afya za kuku wako mara kwa mara na kuondoa/kuchinja kuku<br />

wanaonyesha dalili za ugonjwa.<br />

• Weka utaratibu wa kuhakikisha watu, wanyama, ndege wa aina nyingine na ndege wa porini hawazururi<br />

shambani.<br />

• Fanya usafi wa mabanda na mazingira mara kwa mara unapobadilisha makundi ya kuku kwa kutumia<br />

viuatilifu vilivyopendekezwa.<br />

• Mayai yakusanywe mara kwa mara<br />

• Hakikisha vifaranga wanapata joto la kutosha.<br />

Utumbo wa kuku wenye uvimbe<br />

mweupe uliotapakaa<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!