28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

vifaranga<br />

• Vifaranga wanatotolewa wakiwa wamekufa au dhaifu<br />

• Hujikusanya pamoja na kukosa hamu ya kula<br />

• Kinyesi cha rangi ya njano na huganda kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja<br />

• Hupumua kwa haraka na kwa shida<br />

• Vifo vingi huweza kutokea kuku wasipotibiwa<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

• Kinyesi cha rangi ya njano na kijani kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja kubwa<br />

• Misuli iliyovia na damu kuwa nyeusi<br />

• Ini lililovimba na kuwa na rangi ya pinki<br />

• Bandama lililovimba<br />

• Figo na mayai yaliyovia<br />

• Mabaka meupe kwenye sehemu ya juu ya figo<br />

Figo na bandama za Bata mzinga: Figo<br />

zimevimba, na bandama zina madoa<br />

doa. Figo na bandama zenye ugonjwa<br />

zinalinganishwa na nzima.<br />

8 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!