MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
vifaranga<br />
• Vifaranga wanatotolewa wakiwa wamekufa au dhaifu<br />
• Hujikusanya pamoja na kukosa hamu ya kula<br />
• Kinyesi cha rangi ya njano na huganda kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja<br />
• Hupumua kwa haraka na kwa shida<br />
• Vifo vingi huweza kutokea kuku wasipotibiwa<br />
Uchunguzi wa Mzoga<br />
• Kinyesi cha rangi ya njano na kijani kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja kubwa<br />
• Misuli iliyovia na damu kuwa nyeusi<br />
• Ini lililovimba na kuwa na rangi ya pinki<br />
• Bandama lililovimba<br />
• Figo na mayai yaliyovia<br />
• Mabaka meupe kwenye sehemu ya juu ya figo<br />
Figo na bandama za Bata mzinga: Figo<br />
zimevimba, na bandama zina madoa<br />
doa. Figo na bandama zenye ugonjwa<br />
zinalinganishwa na nzima.<br />
8 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga