28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya kawaida ya mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale<br />

vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba wa<br />

lishe au madini mwilini.<br />

Tofauti za muonekano kati ya kuku mwenye afya na kuku mgonjwa<br />

Kuku mwenye afya nzuri Kuku asiye na afya nzuri (mgonjwa)<br />

Macho na sura angavu<br />

Hupenda kula na kunywa maji<br />

Pua zilizo safi, upanga na undu mwekundu, manyoya<br />

laini na yaliyopangika vizuri<br />

Hupumua kwa utulivu<br />

Sehemu ya kutolea haja huwa kavu<br />

Kinyesi kikavu, cheupe na kisicho na rangi<br />

Hutaga mayai kawaida<br />

Huonekana mchovu na dhaifu<br />

Hula na kunywa kidogo au zaidi ya kawaida<br />

Hutoa kamasi puani, ute na matongotongo; manyoya<br />

yaliyovurugika<br />

Hupumua kwa shida na kwa sauti<br />

Sehemu ya kutolea haja inakuwa na unyevunyevu na<br />

kinyesi kuganda<br />

Huharisha, kinyesi huwa na damu au minyoo<br />

Hutaga mayai machache au husimama kutaga kabisa<br />

Huwa na tabia ya kujitenga na wenzake katika kundi<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!