12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

makubwa. Zaidi kuliko mara moja akapigwa karibu kufa. Lakini akaendelea mbele.<br />

Mwishowe akaona miji mikubwa na midogo iliokuwa ngome za kanisa la Katoliki<br />

<strong>ya</strong>kafungua milango <strong>ya</strong>o kwa injili.<br />

Farel alitamani kusimamisha bendera <strong>ya</strong> Waprotestanti katika Geneve. Kama mji huu<br />

ungaliweza kupatikana, ungalikuwa mahali pa kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> Matengenezo katika<br />

Ufransa, Uswisi, na Italia. Miji mingi iliyokuwa kandokando <strong>ya</strong> miji midogo ikaamini.<br />

Pamoja na rafiki mmoja akaingia Geneve. Lakini akaruhusiwa kuhubiri mara mbili tu.<br />

Mapadri wakamwalika mbele <strong>ya</strong> baraza la kanisa, wakaja na silaha zilizofichwa chini <strong>ya</strong><br />

makanzu <strong>ya</strong>o, wakakusudia kutoa maisha <strong>ya</strong>ke. Inje <strong>ya</strong> chumba kulikuwa na watu wengi<br />

wenye hasira kuhakikisha kifo chake kama akiepuka baraza. Kuwako kwa waamzi na<br />

waaskari, ingawa hivyo wakamwokoa. Mapema sana asubuhi akapelekwa karibu <strong>ya</strong> ziwa<br />

mahali pa salama. Ndivyo ilivyokuwa mwisho wa juhudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> kueneza injili<br />

huko Geneve.<br />

Kwa kusikilizwa mara <strong>ya</strong> pili, wakachagua chombo kizaifu sana; alikuwa kijana<br />

munyonge kwa sura hata akapokelewa bila furaha na marafiki wanaojidai kusimamia<br />

Matengenezo. Lakini mtu wa namna hii angeweza kufan<strong>ya</strong> nini mahali Farel alikataliwa?<br />

“Mungu alichagua vitu zaifu v<strong>ya</strong> dunia kupatisha vitu v<strong>ya</strong> nguvu ha<strong>ya</strong>.” 1 Wakorinto 1:27.<br />

Froment Mwalimu<br />

Froment akaanza kazi <strong>ya</strong>ke kama mwalimu. Kweli alizofundisha watoto chuoni<br />

waka<strong>ya</strong>kariri nyumbani mwao. Mara wazazi wakasikia Biblia ilipokuwa ikielezwa. Agano<br />

Jip<strong>ya</strong> na vitabu vidogo vikatolewa bure. Baada <strong>ya</strong> mda mtumikaji huyu pia alipashwa<br />

kukimbia, lakini kweli alizofundisha ikaingia mioyoni mwa watu. Matengenezo <strong>ya</strong>kapandwa.<br />

Wahubiri wakarudi, na ibada <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> ikaanzishwa katika Geneve.<br />

Miji ulikuwa ukmekwisha kutangazwa kuwa upande wa Matengenezo wakati Calvin,<br />

alipoingia katika milango <strong>ya</strong>ke. Alikuwa njiani kwenda Basel alipolazimishwa kupitia njia <strong>ya</strong><br />

kuzunguka zunguka kupitia Geneve.<br />

Katika kuzuru huku Farel akatambua mkono wa Mungu. Ingawa Geneve ilikubali imani<br />

<strong>ya</strong> Matengenezo, lakini kazi <strong>ya</strong> kuongoka ilipaswa kutendeka ndani <strong>ya</strong> moyo kwa uwezo wa<br />

Roho Mtakatifu, si kwa amri za mabaraza. Wakati watu wa Geneve walipokataa mamlaka <strong>ya</strong><br />

Roma, hawakuwa ta<strong>ya</strong>ri kabisa kuacha makosa <strong>ya</strong>liyositawishwa chini <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong>ke.<br />

Kwa jina la Mungu Farel akamsihi kwa heshima mhubiri kijana kudumu na kufan<strong>ya</strong> kazi<br />

huko Calvin akarudi nyuma kuonyesha hatari. Akajitenga ili asipambane kwa ha tari na roho<br />

<strong>ya</strong> ukali <strong>ya</strong> watu wa Geneve. Alihitaji kupata mahali pa amani na ukim<strong>ya</strong> kwa majifunzo, na<br />

pale kwa njia <strong>ya</strong> vitabu angeweza kufundisha na kujenga makanisa. Lakini hakujaribu<br />

kukataa. Ilionekana kwake “kwamba mkono wa Mungu ulishuka kutoka mbinguni, kwamba<br />

ukamushika, na ukamukaza bila kubadilika kubakia mahali alipokuwa na haraka <strong>ya</strong> kutoka.”<br />

90

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!