Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Tena mkutano ukafanyika. “Kwa mwendo mfupi (majukwaa) mahali pa kunyongea watu<br />
<strong>ya</strong>kajengwa mahali Wakristo wa <strong>Kiprotestanti</strong> walipashwa kuchomwa motoni wakiwa hai, na<br />
ilitengenezwa kwamba matata <strong>ya</strong>washwe wakati mfalme alipokaribia, na kwamba<br />
mwandamano ulipashwa kusimama kwa kushuhudia wauaji.” Hapakuwa na kutikisika kwa<br />
upande wa watu waliopashwa kufa. Kwa kushurutishwa kukana, mmoja akajibu: “Mimi<br />
naamini tu <strong>ya</strong>le manabii na mitume waliyohubiri mbele na <strong>ya</strong>le jamii lote la watakatifu<br />
waliamini. Imani <strong>ya</strong>ngu inakuwa na tumaini kwa Mungu ambaye atashinda mamlaka yote <strong>ya</strong><br />
kuzimu.”<br />
Katika kufikia jumba la mfalme, makutano <strong>ya</strong>katawanyika na mfalme na maaskofu<br />
wakaondoka, walipokuwa wakishangilia wenyewe kwamba kazi ingeendelea kwa kutimiza<br />
maangamizo <strong>ya</strong> wapinga ibada <strong>ya</strong> dini.”<br />
Habari Njema <strong>ya</strong> amani ambayo Ufransa ilikataa ilipashwa kungolewa kweli, na matokeo<br />
<strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kutisha. Tarehe 21 <strong>ya</strong> Januari 1793, mwandamano mwengine ukapita katika njia<br />
za Paris. “Tena mfalme alikuwa mwongozi mkuu; tena kukawa fujo na kulalamika; tena<br />
kukasikiwa kilio cha watu wengi walioteswa; tena kukawa majukwaa meusi; na matukio <strong>ya</strong><br />
siku <strong>ya</strong>kamalizika kwa mauaji na sana; Louis XVI, alipokuwa akishindana mikononi mwa<br />
walinzi wake wa gereza na wanyongaji, akakokotwa kwa gogo, na hapo akashikwa kwa<br />
nguvu nyingi hata shoka lilipoanguka, na kichwa chake kilichokatwa kikajifingirisha kwa<br />
jukwaa.”<br />
Karibu na mahali pale pale watu 2800 wakaangamizwa na machine yenye kisu cha kukata<br />
watu kichwa (guillotine). Matengenezo ikaonyesha kwa ulimwengu Biblia yenye<br />
kufunguliwa. Upendo usio na mwisho ukajulisha watu kanuni za mbinguni. Wakati Ufransa<br />
ilipokataa zawadi <strong>ya</strong> mbinguni, ikapanda mbegu <strong>ya</strong> uharibifu. Hakukuwa namna <strong>ya</strong> kuepuka<br />
matokeo <strong>ya</strong>liyotendeka ambayo mwisho ulikuwa mapinduzi na utawala wa kuhofisha.<br />
Farel shujaa na mwenye uhodari akalazimishwa kukimbia kutoka kwa inchi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
kuzaliwa na kwenda Uswisi. Lakini akaendelea kutumia mvuto uliokusudiwa juu <strong>ya</strong><br />
matengenezo katika Ufransa. Pamoja na usaada wa watu wengine waliofukuzwa, maandiko<br />
<strong>ya</strong> Watengenezaji wa Ujeremani <strong>ya</strong>katafsiriwa katika Kifransa na pamoja na Biblia <strong>ya</strong><br />
Kifransa ikachapwa kwa wingi sana. Kwa njia <strong>ya</strong> watu wa vitabu v<strong>ya</strong> dini vitabu hivyo<br />
vikauzishwa kwa eneo kubwa sana katika Ufransa.<br />
Farel akaingia kwa kazi <strong>ya</strong>ke katika Uswisi kwa mwenendo mnyenyekevu wa mwalimu,<br />
akaingiza kwa werevu kweli za Biblia. Wengine wakaamini, lakini wapadri wakaja<br />
kusimamisha kazi, na watu wenye ibada <strong>ya</strong> sanamu wakaharakishwa kuipinga. “Hiyo haiwezi<br />
kuwa injili <strong>ya</strong> Kristo,” wapadri wakashurutisha, “kuona kuihubiri hakuwezi kuleta amani, bali<br />
vita.”<br />
Akaenda mji kwa mji, kuteseka na njaa, baridi, na kuchoka,na mahali pote katika ajali <strong>ya</strong><br />
maisha <strong>ya</strong>ke. Akahubiri sokoni, ndani <strong>ya</strong> makanisa, mara zingine katika mimbara <strong>ya</strong> makanisa<br />
89