12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Waprotestanti wakasitakiwa kwamba walikusudia kuua wakatoliki, kupindua serkali, na<br />

kumua mfalme. Hawakuweza kutoa hata kivuli cha ushahidi kwa kushuhudia mambo<br />

yenyewe. Huku ukali ukapiga juu <strong>ya</strong> Waprotestanti wasio na kosa ukaongezeka kwa uzito wa<br />

malipizi, na katika karne zilizofuata kukatokea maangamizi <strong>ya</strong> namna ile waliyotabiri juu <strong>ya</strong><br />

mfalme, serkali <strong>ya</strong>ke, na raia wake. Lakini <strong>ya</strong>kaletwa na wakafiri na wakatoliki wao<br />

wenyewe.<br />

Kuvunja dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> ndiko kulileta juu <strong>ya</strong> Ufransa misiba hii <strong>ya</strong> kutisha.<br />

Mashaka, hofu, na vitisho sasa vikaenea kwa makundi yote <strong>ya</strong> jamii. Mamia wakakimbia<br />

kutoka Paris, wakajihamisha wenyewe kutoka inchini mwao <strong>ya</strong> kuzaliwa, wengi kati <strong>ya</strong>o<br />

wakatoa ishara <strong>ya</strong> kwanza kwamba walikubali imani <strong>ya</strong> matengenezo. Wafuasi wa Papa<br />

wakashangazwa na hesabu kubwa <strong>ya</strong> “wapinga ibada <strong>ya</strong> dini” isiyofikiriwa iliyovumiliwa<br />

miongoni mwao.<br />

Kupiga Chapa Kulikatazwa<br />

Francis I akapendezwa kukusan<strong>ya</strong> kwa uwanja wake watu wenye elimu <strong>ya</strong> maandiko<br />

kutoka kwa inchi zote. Lakini, wenye mafikara na juhudi <strong>ya</strong> kukomesha uzushi, baba huyu<br />

wa elimu akatoa amri kutangaza kwamba uchapaji wa vitabu umeondolewa pote katika<br />

Ufransa! Francis I ni mojawapo wa mifano <strong>ya</strong> historia kuonyesha kwamba akili <strong>ya</strong> masomo<br />

hailinde watu juu <strong>ya</strong> ushupavu wa dini na mateso.<br />

Wapadri wakadai kwamba aibu iliyofanyiwa Mbingu <strong>ya</strong> juu kwa hukumu <strong>ya</strong> misa<br />

isafishwe katika damu. Tarehe 21 Januari 1535, iliwekwa juu <strong>ya</strong> sherehe <strong>ya</strong> kutisha. Mbele<br />

<strong>ya</strong> kila mlango mwenge wa moto ukawashwa kwa ajili <strong>ya</strong> heshima <strong>ya</strong> “sakramenti takatifu.”<br />

Mbele <strong>ya</strong> usiku kucha makutano <strong>ya</strong>kakutanika kwa jumba la mfalme.<br />

“Majeshi <strong>ya</strong>kachukuliwa na askofu wa Paris chini <strong>ya</strong> chandaluwa nzuri, ... Baada <strong>ya</strong><br />

majeshi kutembeza mfalme ... Francis I kwa siku ile hakuvaa taji, wala kanzu <strong>ya</strong> cheo.” Kwa<br />

kila mazabahu akainama kwa kujinyenyekea, si kwa ajili <strong>ya</strong> makosa iliyonajisi roho <strong>ya</strong>ke, ao<br />

damu isiyo na kosa iliyoharibu mikono <strong>ya</strong>ke, bali kwa ajili <strong>ya</strong> “zambi <strong>ya</strong> mauti” <strong>ya</strong> watu wake<br />

waliosubutu kuhukumu misa.<br />

Katika chumba kikubwa cha mjumba la askofu mfalme akatokea na katika maneno <strong>ya</strong><br />

usemi wa hasira akasikitikia “makosa, matukano, siku <strong>ya</strong> huzuni na ha<strong>ya</strong>,” ambayo ilikuja juu<br />

<strong>ya</strong> taifa. Na akaalika waaminifu wake wa ufalme kusaidia kungoa baala <strong>ya</strong> “uzushi” ambayo<br />

ilitisha Ufransa kwa uharibifu. Machozi <strong>ya</strong>kajaa kwa usemi wake, na mkutano wote<br />

ukaomboleza, kwa umoja wakasema kwa nguvu, “Tutaishi na kufa kwa ajili <strong>ya</strong> dini<br />

<strong>ya</strong>Kikatoliki!”<br />

“Neema ile iletayo wokovu” ilionekana, lakini Ufransa ilipoangaziwa na mwangaza wake,<br />

ikautupilia mbali, ikachagua giza zaidi kuliko nuru. Wakaita uba<strong>ya</strong> wema, na wema uba<strong>ya</strong>,<br />

hata walipoanguka kuwa watu wa kuteswa kwa hila <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> ukaidi. Nuru ambayo ingeweza<br />

kuwaokoa kwa udanganyifu, kwa kuchafua roho zao na kosa <strong>ya</strong> uuaji, wakaikataa kwa kuasi.<br />

88

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!