Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti kijana kwa uchungu aliona ni kinyume kwa ukosefu wa tumaini lake mwenyewe na giza. Juu ya Biblia, alijua, “wazushi” walidumisha imani yao. Akakusudia kujifunza Biblia yenyewe na kuvumbua siri ya furaha yao. Ndani ya Biblia akampata Kristo. “Ee Baba,” akalia, “Kafara yake ilituliza hasira yako; Damu yake imesafisha takataka zangu; Msalaba wake ulichukua laana yangu; Mauti yake ilitoa kafara kwa ajili yangu. ... Umegusa moyo wangu, ili niweze kusimama katika matendo mema mengine yote kama mahukizo isipokuwa matendo mema ya Yesu. Sasa akakusudia kutoa maisha yake kwa injili. Lakini kwa tabia alikuwa mwenye woga na alitamani kujitoa mwenyewe kujifunza. Maombi ya bidii ya rafiki zake, lakini, mwishowe yakashinda ukubali wake kwa kuwa mwalimu wa watu wote. Maneno yake yalikuwa kama umande unaoanguka kwa kuburudisha udongo. Alikuwa sasa katika mji wa jimbo chini ya ulinzi wa binti kifalme Margeurite, ambaye, kwa kupenda injili, akaeneza ulinzi wake kwa wanafunzi wake. Kazi ya Calvin ikaanza pamoja na watu nyumbani mwao. Wale waliosikia ujumbe wakachukua Habari Njema kwa wengine. Akaendelea, kuweka msingi wa makanisa yaliyopaswa kutoa ushuhuda hodari kwa ajili ya ukweli. Mji wa Paris ulipashwa kupokea mwaliko mwengine kwa kukubali injili. Mwito wa Lefévre na Farel ulikataliwa, lakini ujumbe ulipashwa kusikiwa tena kwa vyeo vyote katika mji mkuu ule. Mfalme alikuwa hajakamata mpango wa kuwa upande wa Roma kupinga Matengenezo. Margeurite (dada yake) alitamani kwamba imani ya Matengenezo ihubiriwe katika Paris. Akaagiza mhubiri wa Kiprotestanti kuhubiri katika makanisa. Jambo hili likakatazwa na mapadri wa Papa, binti mfalme akafungua jumba. Ikatangazwa kwamba kila siku hotuba inapaswa kufanyika, na watu wakaalikwa kuhuzuria. Maelfu wakakusanyika kila siku. Mfalme akaagiza kwamba makanisa mawili ya Paris yalipaswa kufunguliwa. Kamwe mji ulikuwa haujavutwa na Neno la Mungu kama wakati ule. Kiasi, usafi, utaratibu, na utendaji, mambo yale yakachukua pahali pa ulevi, uasherati, shindano, na uvivu. Weakati walikubali injili, walio wengi wa watu wakaikataa. Wakatoliki wakafaulu kupata tena uwezo wao. Tena makanisa yakafungwa na mti wa kufungia watu wakuchomwa ukasimamishwa. Calvin alikuwa akingali Paris. Mwishowe mamlaka ikakusudia kumleta kwa ndimi za moto. Hakuwa na mawazo juu ya hatari wakati rafiki walikuja kwa haraka kwa chumba chake na habari kwamba wakuu walikuwa njiani mwao kumfunga. Kwa wakati ule sauti ya bisho likasikiwa kwa mlango wa inje. Hapo hapakuwa na wakati wa kupoteza. Rafiki wakakawisha wakuu mlangoni na wengine wakasaidia Mtengenezaji kumshusha chini kwa dirisha, na kwa haraka akaenda kwa nyumba ndogo ya mtu wa kazi aliyekuwa rafiki wa Matengenezo. Akajigeuza mwenyewe kwa mavazi ya mwenyeji wake na, kuchukua jembe mabegani, akaanza safari yake. Akasafiri upande wa Kusini, akapata tena kimbilio katika utawala wa Margeurite. 86
Kupinga ya Kiprotestanti Calvin hakuweza kubakia wakati mrefu bila kazi. Mara msukosuko ulipotulia akaenda kutafuta shamba mpya ya kazi huko Poities, mahali makusudi mapya yalikuwa ya kufaa kukubaliwa. Watu wa namna zote walisikiliza kwa furaha habari njema. Kwa namna hesabu ya wasikilizaji ilivyokuwa ikiongezeka, wakafikiri kwamba ni vyema kukusanyikia inje ya mji. Kwa pango mahali miti na miamba ya juu ya uficho pakachaguliwa kuwa mahali pa mkutano. Katika mahali hapa pa uficho Biblia ikasomwa na kufasiriwa. Hapo ibada ya meza ya Bwana ikafanyika kwa mara ya kwanza kwa Waprotestanti wa Ufransa. Kwa kanisa ndogo hilo kukatoka wahubiri wengi waaminifu. Mara ingine tena Calvin akarudi Paris, lakini akakuta karibu kila mlango wa kazi umefungwa. Yeye mwishowe akakusudia kwenda Ujeremani. Kwa shida aliacha Ufransa wakati zoruba ilitokea juu ya Waprotestanti. Watengenezaji wa Ufransa wakakusudia kupambana na pigo hodari juu ya mambo ya ibada ya sanamu ya Roma ile iliyopashwa kuamsha taifa lote. Matangazo kwa kushambulia misa katika usiku moja yakawekwa kwa Ufransa pote. Mahali pa kuendeleza kazi ya Matengenezo, tendo hilo la upumbavu likawapa Warumi sababu ya kudai kuangamizwa kwa “wapinga ibada ya dini” kama wafitini wa hatari kwa usitawi wa kiti cha mfalme na amani ya taifa. Mojawapo ya matangazo liliwekwa kwa mlango wa chumba cha pekee cha mfalme. Uhodari wa upekee wa kujiingiza kwa maneno ya kushangaza haya mbele ya mfalme na jambo hilo likaamsha hasira ya mfalme. Ghazabu yake ikapata usemi katika maneno makali: “Wote wakamatiwe bila tofauti wanaozaniwa kuwa wafuasi wa Luther. Nitawaangamiza wote.” Mfalme akajiweka kwa upande wa Roma. Utawala wa Hofu Kuu Mfuasi maskini wa imani ya matengenezo aliyezoea kuita waaminifu kwa mikutano ya siri akakamatwa. Kwa kutishwa juu ya kifo cha gafula kwa mti wa kuchomwa, akaamuriwa kuongoza mjumbe wa Papa kwa nyumba ya kila mprotestanti katika mji. Hofu ya ndimi ya moto ikawa nyingi sana, na akakubali kusaliti ndugu zake. Morin, polisi wa mfalme, pamoja na msaliti, kwa polepole na ukimya akapita katika njia za mji. Walipofika mbele ya nyumba ya mtu mmoja wa Luther, msaliti akafanya ishara, lakini bila kusema neno. Mwandamano ukasimama, wakaingia nyumbani, jamaa likakokotwa na kufungwa minyororo, na mfuatano wa kutisha ukaendelea katika kutafuta watu wengine wapya wa kutesa. “Morin akatetemesha mji wote. ... Ulikuwa utawala wa hofu kuu.” Watu walioteswa wakauawa kwa mateso makali, ikaamriwa kwamba moto upunguzwe ili kuzidisha mateso yao. Lakini walikufa kama washindaji, musimamo wao usiotikisika, amani yao kamili. Watesi wao wakajiona wenyewe kwamba walishindwa. “Watu wa Paris wote wakapata nafasi ya kuona aina gani ya watu mawazo mapya yaliweza kuleta. Hakuna mimbara ilikuwako kwa kulinganishwa na mjumba kubwa la wafia dini. Furaha ikaangazia nyuso kunjufu za watu hawa wakati walipokuwa wakielekea ... pahali pa kuuawa ... na kuomba kwa usemaji wa kushangaza kwa ajili ya injili.” 87
- Page 43 and 44: Kupinga ya Kiprotestanti wateteaji
- Page 45 and 46: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 47 and 48: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenendo w
- Page 49 and 50: Kupinga ya Kiprotestanti mwenyewe k
- Page 51 and 52: Kupinga ya Kiprotestanti Jerome aka
- Page 53 and 54: Kupinga ya Kiprotestanti Waongozi w
- Page 55 and 56: Kupinga ya Kiprotestanti Kutafuta A
- Page 57 and 58: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 59 and 60: Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
- Page 63 and 64: Kupinga ya Kiprotestanti Mungu haku
- Page 65 and 66: Kupinga ya Kiprotestanti “Ni wana
- Page 67 and 68: Kupinga ya Kiprotestanti Kukaribia
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
- Page 83 and 84: Kupinga ya Kiprotestanti Wapadri wa
- Page 85 and 86: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 11. U
- Page 87 and 88: Kupinga ya Kiprotestanti nafasi ya
- Page 89 and 90: Kupinga ya Kiprotestanti watawala w
- Page 91 and 92: Kupinga ya Kiprotestanti kukaimaris
- Page 93: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mti
- Page 97 and 98: Kupinga ya Kiprotestanti Tena mkuta
- Page 99 and 100: Kupinga ya Kiprotestanti Ngurumo ya
- Page 101 and 102: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 13. K
- Page 103 and 104: Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Ka
- Page 105 and 106: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 14. U
- Page 107 and 108: Kupinga ya Kiprotestanti hawa walio
- Page 109 and 110: Kupinga ya Kiprotestanti Mioto ya u
- Page 111 and 112: Kupinga ya Kiprotestanti Uharibifu
- Page 113 and 114: Sababu yake ya Kweli Kupinga ya Kip
- Page 115 and 116: Kupinga ya Kiprotestanti kwa hali y
- Page 117 and 118: Kupinga ya Kiprotestanti Mmojawapo
- Page 119 and 120: Kupinga ya Kiprotestanti kazi wakal
- Page 121 and 122: Kupinga ya Kiprotestanti Kosa la Ha
- Page 123 and 124: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 16. K
- Page 125 and 126: Kupinga ya Kiprotestanti angeweza k
- Page 127 and 128: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 17. A
- Page 129 and 130: Kupinga ya Kiprotestanti watu elfu
- Page 131 and 132: Kupinga ya Kiprotestanti Ilikuwa ja
- Page 133 and 134: Kupinga ya Kiprotestanti kumpokea m
- Page 135 and 136: Kupinga ya Kiprotestanti “Niliona
- Page 137 and 138: Kupinga ya Kiprotestanti milele.”
- Page 139 and 140: Kupinga ya Kiprotestanti 408 k.k -
- Page 141 and 142: Kupinga ya Kiprotestanti tarehe hii
- Page 143 and 144: Kupinga ya Kiprotestanti wakati wa
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Calvin hakuweza kubakia wakati mrefu bila kazi. Mara msukosuko ulipotulia akaenda<br />
kutafuta shamba mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kazi huko Poities, mahali makusudi map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kufaa<br />
kukubaliwa. Watu wa namna zote walisikiliza kwa furaha habari njema. Kwa namna hesabu<br />
<strong>ya</strong> wasikilizaji ilivyokuwa ikiongezeka, wakafikiri kwamba ni vyema kukusanyikia inje <strong>ya</strong><br />
mji. Kwa pango mahali miti na miamba <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> uficho pakachaguliwa kuwa mahali pa<br />
mkutano. Katika mahali hapa pa uficho Biblia ikasomwa na kufasiriwa. Hapo ibada <strong>ya</strong> meza<br />
<strong>ya</strong> Bwana ikafanyika kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Waprotestanti wa Ufransa. Kwa kanisa ndogo<br />
hilo kukatoka wahubiri wengi waaminifu.<br />
Mara ingine tena Calvin akarudi Paris, lakini akakuta karibu kila mlango wa kazi<br />
umefungwa. Yeye mwishowe akakusudia kwenda Ujeremani. Kwa shida aliacha Ufransa<br />
wakati zoruba ilitokea juu <strong>ya</strong> Waprotestanti. Watengenezaji wa Ufransa wakakusudia<br />
kupambana na pigo hodari juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> Roma ile iliyopashwa<br />
kuamsha taifa lote. Matangazo kwa kushambulia misa katika usiku moja <strong>ya</strong>kawekwa kwa<br />
Ufransa pote. Mahali pa kuendeleza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo, tendo hilo la upumbavu likawapa<br />
Warumi sababu <strong>ya</strong> kudai kuangamizwa kwa “wapinga ibada <strong>ya</strong> dini” kama wafitini wa hatari<br />
kwa usitawi wa kiti cha mfalme na amani <strong>ya</strong> taifa.<br />
Mojawapo <strong>ya</strong> matangazo liliwekwa kwa mlango wa chumba cha pekee cha mfalme.<br />
Uhodari wa upekee wa kujiingiza kwa maneno <strong>ya</strong> kushangaza ha<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong> mfalme na<br />
jambo hilo likaamsha hasira <strong>ya</strong> mfalme. Ghazabu <strong>ya</strong>ke ikapata usemi katika maneno makali:<br />
“Wote wakamatiwe bila tofauti wanaozaniwa kuwa wafuasi wa Luther. Nitawaangamiza<br />
wote.” Mfalme akajiweka kwa upande wa Roma.<br />
Utawala wa Hofu Kuu<br />
Mfuasi maskini wa imani <strong>ya</strong> matengenezo aliyezoea kuita waaminifu kwa mikutano <strong>ya</strong><br />
siri akakamatwa. Kwa kutishwa juu <strong>ya</strong> kifo cha gafula kwa mti wa kuchomwa, akaamuriwa<br />
kuongoza mjumbe wa Papa kwa nyumba <strong>ya</strong> kila mprotestanti katika mji. Hofu <strong>ya</strong> ndimi <strong>ya</strong><br />
moto ikawa nyingi sana, na akakubali kusaliti ndugu zake. Morin, polisi wa mfalme, pamoja<br />
na msaliti, kwa polepole na ukim<strong>ya</strong> akapita katika njia za mji. Walipofika mbele <strong>ya</strong> nyumba<br />
<strong>ya</strong> mtu mmoja wa Luther, msaliti akafan<strong>ya</strong> ishara, lakini bila kusema neno. Mwandamano<br />
ukasimama, wakaingia nyumbani, jamaa likakokotwa na kufungwa minyororo, na mfuatano<br />
wa kutisha ukaendelea katika kutafuta watu wengine wap<strong>ya</strong> wa kutesa. “Morin akatetemesha<br />
mji wote. ... Ulikuwa utawala wa hofu kuu.”<br />
Watu walioteswa wakauawa kwa mateso makali, ikaamriwa kwamba moto upunguzwe ili<br />
kuzidisha mateso <strong>ya</strong>o. Lakini walikufa kama washindaji, musimamo wao usiotikisika, amani<br />
<strong>ya</strong>o kamili. Watesi wao wakajiona wenyewe kwamba walishindwa. “Watu wa Paris wote<br />
wakapata nafasi <strong>ya</strong> kuona aina gani <strong>ya</strong> watu mawazo map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liweza kuleta. Hakuna<br />
mimbara ilikuwako kwa kulinganishwa na mjumba kubwa la wafia dini. Furaha ikaangazia<br />
nyuso kunjufu za watu hawa wakati walipokuwa wakielekea ... pahali pa kuuawa ... na<br />
kuomba kwa usemaji wa kushangaza kwa ajili <strong>ya</strong> injili.”<br />
87