12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kijana kwa uchungu aliona ni kinyume kwa ukosefu wa tumaini lake mwenyewe na giza. Juu<br />

<strong>ya</strong> Biblia, alijua, “wazushi” walidumisha imani <strong>ya</strong>o. Akakusudia kujifunza Biblia yenyewe<br />

na kuvumbua siri <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong>o.<br />

Ndani <strong>ya</strong> Biblia akampata Kristo. “Ee Baba,” akalia, “Kafara <strong>ya</strong>ke ilituliza hasira <strong>ya</strong>ko;<br />

Damu <strong>ya</strong>ke imesafisha takataka zangu; Msalaba wake ulichukua laana <strong>ya</strong>ngu; Mauti <strong>ya</strong>ke<br />

ilitoa kafara kwa ajili <strong>ya</strong>ngu. ... Umegusa moyo wangu, ili niweze kusimama katika matendo<br />

mema mengine yote kama mahukizo isipokuwa matendo mema <strong>ya</strong> Yesu.<br />

Sasa akakusudia kutoa maisha <strong>ya</strong>ke kwa injili. Lakini kwa tabia alikuwa mwenye woga<br />

na alitamani kujitoa mwenyewe kujifunza. Maombi <strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong> rafiki zake, lakini, mwishowe<br />

<strong>ya</strong>kashinda ukubali wake kwa kuwa mwalimu wa watu wote. Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa kama<br />

umande unaoanguka kwa kuburudisha udongo. Alikuwa sasa katika mji wa jimbo chini <strong>ya</strong><br />

ulinzi wa binti kifalme Margeurite, ambaye, kwa kupenda injili, akaeneza ulinzi wake kwa<br />

wanafunzi wake. Kazi <strong>ya</strong> Calvin ikaanza pamoja na watu nyumbani mwao. Wale waliosikia<br />

ujumbe wakachukua Habari Njema kwa wengine. Akaendelea, kuweka msingi wa makanisa<br />

<strong>ya</strong>liyopaswa kutoa ushuhuda hodari kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli.<br />

Mji wa Paris ulipashwa kupokea mwaliko mwengine kwa kukubali injili. Mwito wa<br />

Lefévre na Farel ulikataliwa, lakini ujumbe ulipashwa kusikiwa tena kwa vyeo vyote katika<br />

mji mkuu ule. Mfalme alikuwa hajakamata mpango wa kuwa upande wa Roma kupinga<br />

Matengenezo. Margeurite (dada <strong>ya</strong>ke) alitamani kwamba imani <strong>ya</strong> Matengenezo ihubiriwe<br />

katika Paris. Akaagiza mhubiri wa <strong>Kiprotestanti</strong> kuhubiri katika makanisa. Jambo hili<br />

likakatazwa na mapadri wa Papa, binti mfalme akafungua jumba. Ikatangazwa kwamba kila<br />

siku hotuba inapaswa kufanyika, na watu wakaalikwa kuhuzuria. Maelfu wakakusanyika kila<br />

siku.<br />

Mfalme akaagiza kwamba makanisa mawili <strong>ya</strong> Paris <strong>ya</strong>lipaswa kufunguliwa. Kamwe mji<br />

ulikuwa haujavutwa na Neno la Mungu kama wakati ule. Kiasi, usafi, utaratibu, na utendaji,<br />

mambo <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>kachukua pahali pa ulevi, uasherati, shindano, na uvivu. Weakati walikubali<br />

injili, walio wengi wa watu wakaikataa. Wakatoliki wakafaulu kupata tena uwezo wao. Tena<br />

makanisa <strong>ya</strong>kafungwa na mti wa kufungia watu wakuchomwa ukasimamishwa.<br />

Calvin alikuwa akingali Paris. Mwishowe mamlaka ikakusudia kumleta kwa ndimi za<br />

moto. Hakuwa na mawazo juu <strong>ya</strong> hatari wakati rafiki walikuja kwa haraka kwa chumba chake<br />

na habari kwamba wakuu walikuwa njiani mwao kumfunga. Kwa wakati ule sauti <strong>ya</strong> bisho<br />

likasikiwa kwa mlango wa inje. Hapo hapakuwa na wakati wa kupoteza. Rafiki wakakawisha<br />

wakuu mlangoni na wengine wakasaidia Mtengenezaji kumshusha chini kwa dirisha, na kwa<br />

haraka akaenda kwa nyumba ndogo <strong>ya</strong> mtu wa kazi aliyekuwa rafiki wa Matengenezo.<br />

Akajigeuza mwenyewe kwa mavazi <strong>ya</strong> mwenyeji wake na, kuchukua jembe mabegani,<br />

akaanza safari <strong>ya</strong>ke. Akasafiri upande wa Kusini, akapata tena kimbilio katika utawala wa<br />

Margeurite.<br />

86

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!