You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Katika mti Berquin akajitahidi kusema maneno machache kwa watu; lakini watawa<br />
wakaanza kupaza sauti na askari kugonganisha silaha zao, na makelele <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kazamisha sauti<br />
<strong>ya</strong> mfia dini. Hivi kwa mwaka 1529 mamlaka kubwa sana <strong>ya</strong> kanisa na elimu <strong>ya</strong> Paris “ikatoa<br />
kwa watu wa 1793 mfano wa msingi wa kusongwa juu <strong>ya</strong> jukwaa (mahali pa kunyongwa)<br />
maneno takatifu <strong>ya</strong> wenye kufa.” Berquin akanyongwa na mwili wake ukateketezwa katika<br />
miako <strong>ya</strong> moto.<br />
Waalimu wa imani <strong>ya</strong> matengenezo wakaenda katika mashamba mengine <strong>ya</strong> kazi. Lefévre<br />
akaenda Ujermani. Farel akarudi kwa mji wake wa kuzaliwa upande wenashariki <strong>ya</strong> Ufransa,<br />
kutawan<strong>ya</strong> nuru katika makao <strong>ya</strong> utoto wake. Ukweli aliuofundisha ukapata wasikizaji. Kwa<br />
upesi akafukuzwa mbali <strong>ya</strong> mji. Akapitia vijijini, akifundisha katika makao <strong>ya</strong> upekee na<br />
mashamba <strong>ya</strong> majani <strong>ya</strong> uficho, kutafuta kimbilio katika pori na katika mapango <strong>ya</strong> miamba<br />
<strong>ya</strong>liyokuwa makao <strong>ya</strong>ke katika utoto wake.<br />
Kama katika siku za mitume, mateso “<strong>ya</strong>metokea zaidi kwa kuendesha Habari Njema.”<br />
Wafilipi 1:12. Walipofukuzwa kutoka Paris na Meaux, “Wale waliosambazwa wakaenda<br />
pahali po pote wakihubiri neno.” Matendo 8:4. Ni kwa namna hiyo nuru ilitawanyika mahali<br />
pengi katika majimbo <strong>ya</strong> mbali <strong>ya</strong> Ufransa.<br />
Mwito wa Calvin<br />
Katika mojawapo <strong>ya</strong> mashule <strong>ya</strong> Paris, kulikuwa kijana mmoja mwangalifu, mtulivu,<br />
kijana aliyeonekana na maisha <strong>ya</strong>siyokuwa na kosa, kwa ajili <strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong> elimu na kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> dini. Tabia <strong>ya</strong>ke na matumizi vikamufan<strong>ya</strong> kuwa majivuno <strong>ya</strong> chuo kikubwa, na<br />
ilikuwa ikitumainiwa kwa siri kwamba Jean Calvin angekuwa mmojawapo miongoni mwa<br />
watetezi wenye uwezo sana, wa kanisa. Lakini mshale wa nuru ukaangazia kuta za elimu<br />
nyingi na ibada <strong>ya</strong> sanamu ambayo Calvin amajifungia. Olivetan, binamu mtoto wa ndungu<br />
wa Calvin, alijiunga na Watengenezaji. Ndugu hawa wawili wakazungumza pamoja juu <strong>ya</strong><br />
maneno ambayo <strong>ya</strong>nasumbua jamii la kikristo. “Hapo kuna dini mbili tu ulimwenguni,”<br />
akasema Olivetan, Mprotestanti. “Ile ... ambayo watu wamevumbua, ambamo mtu hujiokoa<br />
mwenyewe kwa sherehe na kazi nzuri; ingine ni ile dini ambayo inayofunuliwa katika Biblia,<br />
na ambayo hufundisha mtu kutumaini wokovu tu kwa neema bila bei kutoka kwa Mungu.”<br />
“Sitaki mafundisho yenu map<strong>ya</strong>,” akajibu Calvin; “Unafikiri kwamba nimeishi katika<br />
kosa siku zangu zote?” Lakini peke <strong>ya</strong>ke chumbani akatafakari maneno <strong>ya</strong> binamu (cousin)<br />
wake. Akajiona mwenyewe kuwa bila mpatanishi mbeie <strong>ya</strong> Mhukumu mtakatifu na wa haki.<br />
Matendo mazuri, sherehe za kanisa, yote <strong>ya</strong>likuwa bila uwezo kwa upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong><br />
zambi. Ungamo, kitubio, ha<strong>ya</strong>kuweza kupatanisha roho pamoja na Mungu.<br />
Ushahidi kwa Mchomo<br />
Calvin akapitia siku moja katika uwanja mkubwa, kwa bahati njema akaona mpinga ibada<br />
<strong>ya</strong> dini anapokufa kwa moto. Miongoni mwa mateso <strong>ya</strong> kifo cha kuhofisha na chini <strong>ya</strong><br />
kukatiwa hukumu kwa kanisa, mfia dini akaonyesha imani na uhodari ambao mwanafunzi<br />
85