You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Matengenezo. Mara tatu Berquin akafungwa na mamlaka <strong>ya</strong> Papa, na akafunguliwa na<br />
mfalme, aliyekataa kumtoa kafara kwa ukorofi wa serkali <strong>ya</strong> kanisa. Berquin akazidi kuonywa<br />
juu <strong>ya</strong> hatari iliyotaka kumpata katika Ufransa na akalazimishwa kufuata hatua za wale<br />
waliokwenda kutafuta usalama katika kuhamishwa kwa mapenzi mbali na kwao.<br />
Berquin Shujaa<br />
Lakini juhudi <strong>ya</strong> Berquin ikazidi kuwa na nguvu. Akakusudia mpango wa nguvu zaidi.<br />
Hakusimama tu kwa kutetea ukweli, lakini akashambulia kosa. Adui zake waliokuwa na<br />
juhudi na ukaidi zaidi walikuwa watawa wenye elimu kutoka kwa idara <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> tabia na<br />
sifa za Mungu na dini (theologie) katika chuo kikubwa (universite) cha Paris, mojawapo <strong>ya</strong><br />
mamlaka <strong>ya</strong> kanisa <strong>ya</strong> juu sana katika taifa. Kwa maandiko <strong>ya</strong> waalimu hawa, Berquin<br />
akapata makusudi kumi na mbili ambayo akaitangaza wazi wazi kuwa kinyume cha Biblia,”<br />
na akauliza mfalme kujifan<strong>ya</strong> muamzi katika shindano.<br />
Mfalme, kwa kuwa na furaha <strong>ya</strong> nafasi <strong>ya</strong> kushusha majivuno <strong>ya</strong> hawa watawa wenye<br />
kiburi, akaalika wakatoliki kutetea jambo lao kwa kufuata Biblia. Silaha hii haingewasaidia<br />
zaidi; mateso na kifo cha mtu wa kuchoma ilikuwa ndizo silaha ambazo walizifahamu zaidi<br />
namna <strong>ya</strong> kutawala. Sasa wakajiona wenyewe kuanguka katika shimo walilotumaini<br />
kumtumbukiza Berquin. Wakatafuta wenyewe namna gani <strong>ya</strong> kujiepusha.<br />
“Kwa wakati ule wakaona kando <strong>ya</strong> mojawapo <strong>ya</strong> njia sanamu <strong>ya</strong> bikira iliyovunjwa.”<br />
Makundi <strong>ya</strong>kakusanyika mahali pale, wakilia na hasira. Mfalme akachomwa moyo sana .<br />
“Ha<strong>ya</strong> ndiyo matunda <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Berquin,” watawa wakapaza sauti. “Kila kitu ni<br />
karibu kugeuzwa--dini, sheria, kiti cha ufalme chenyewe kwa mapatano hii <strong>ya</strong> Luther.”<br />
Mfalme akatoka Paris, na watawa wakaachiwa huru kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>o. Berquin<br />
akahukumiwa na kuhukumiwa kifo. Kwa hofu kwamba Francis angetetea tena kwa<br />
kumwokoa, hukumu ikafanyika kwa siku ile ile ilio tamkwa. Kwa sasa sita za mchana<br />
msongano wengi ukakusanyika kwa kushuhudia jambo hili, na wengi wakaona kwa<br />
mshangao kwamba mtu aliyeteswa alichaguliwa miongoni mwa watu bora na wahodari zaidi<br />
wa jamaa bora za Ufransa. Mshangao, hasira, zarau, na uchuki wa uchungu <strong>ya</strong>kahuzunisha<br />
nyuso za kundi lile, lakini kwa uso mmoja haukuwa na kivuli. Mfia dini alikuwa na zamiri tu<br />
<strong>ya</strong> kuwako kwa Bwana wake.<br />
Uso wa Berquin ulikuwa ukingaa na nuru <strong>ya</strong> mbinguni. Alivaa vazi kama joho laini la<br />
kungaa, chuma puani na soksi <strong>ya</strong> zahabu.” Alikuwa karibu kushuhudia imani <strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong><br />
Mfalme wa wafalme, na hakuna dalili iliyopasa kusingizia furaha <strong>ya</strong>ke. Wakati mwandamano<br />
ulipokuwa ukisogea polepole katika njia zilizosongana, watu wakapatwa na mshangazo wa<br />
ushindi wa furaha wa uvumilivu wake. “Yeye anakuwa,” wakasema, “kama mmoja anayekaa<br />
katika hekalu, na akifikiri vitu vitakatifu.”<br />
Berquin kwa Mti Wakufungia Watu wa Kochomwa Moto<br />
84