12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kukaimarishwa juu <strong>ya</strong>ke, ambako matendo yote <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong>lishindwa kumupa uhuru.<br />

Akasikiliza maneno <strong>ya</strong> Lefévre: “Wokovu ni kwa neema.” “Ni msalaba wa Kristo tu<br />

unaofungua milango <strong>ya</strong> mbinguni, na kufunga milango <strong>ya</strong> kuzimu.”<br />

Kwa kutubu kama kule kwa Paulo, Farel akageuka kutoka kwa utumwa wa asili hata kwa<br />

uhuru wa wana wa Mungu. “Baada <strong>ya</strong> moyo wa uuaji wa mbwa mwitu mkali,” akarudi<br />

akasema, “kwa kim<strong>ya</strong> kama mwana kondoo mwema na mpole, moyo wake wote<br />

umeondolewa kwa Papa, na ukatolewa kwa Yesu Kristo.”<br />

Wakati Lefévre alipokuwa akitawan<strong>ya</strong> nuru miongoni mwa wanafunzi, Farel akaendelea<br />

kutangaza kweli wazi wazi. Mkuu mmoja wa kanisa, askofu wa Meaux, akajiunga mara kwao.<br />

Waalimu wengine wakaungana katika kutangaza injili, na ikavuta wafuasi kutoka kwa makao<br />

<strong>ya</strong> wafundi na wakulima hata kwa jumba la mfalme. Dada wa Francis I akakubali imani <strong>ya</strong><br />

Matengenezo. Kwa matumaini bora <strong>ya</strong> Watengenezaji walitazamia wakati ambapo Ufransa<br />

ulipaswa kuvutwa kwa injili.<br />

Agano Jip<strong>ya</strong> la Kifransa<br />

Lakini matumaini <strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>kutimia. Majaribu na mateso ikangoja wanafunzi wa Kristo.<br />

Walakini, wakati wa amani ukafika, ambao wangeweza kupata nguvu kwa kukutana na tufani,<br />

na matengenezo <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> upesi. Lefévre akaanza kutafsiri wa Agano Jip<strong>ya</strong>;<br />

na kwa wakati uleule ambapo Biblia <strong>ya</strong> Jeremani <strong>ya</strong> Luther ilipomalizika kutoka kwa mtambo<br />

wa kupigia chapa katika Wittenberg, Agano Jip<strong>ya</strong> la Kinfransa likachapwa huko Meaux. Kwa<br />

upesi wakulima wa Meaux wakapata Maandiko matakatifu. Watu wa kazi katika mashamba,<br />

wafundi katika kiwanda cha kufanyia kazi, wakafurahishwa na kazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kila siku kwa<br />

kuzungumza habari <strong>ya</strong> damani <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> Biblia. Ijapo walikuwa watu wa cheo cha chini<br />

kabisa, bila elimu na kazi ngumu <strong>ya</strong> ukulima, matengenezo, uwezo unaogeuza, wa neema <strong>ya</strong><br />

Mungu ukaonekana katika maisha <strong>ya</strong>o.<br />

Nuru iliyoangaza huko Meaux ikatoa n<strong>ya</strong>li <strong>ya</strong>ke mbali. Kila siku hesabu <strong>ya</strong> waliogeuka<br />

ilikuwa ikiongezeka. Hasira kali <strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong> kanisa ikakomeshwa kwa mda kwa kizuio cha<br />

mfalme, lakini wafuasi wa Papa wakashinda mwishowe. Mti wakuchoma wa pinga dini<br />

kukawashwa. Wengi walioshuhudia juu <strong>ya</strong> ukweli wakawa katika miako <strong>ya</strong> moto.<br />

Ndani <strong>ya</strong> vyumba vikubwa v<strong>ya</strong> majumba na majumba <strong>ya</strong> kifalme, kulikuwa roho za<br />

kifalme ambamo ukweli ulikuwa wa damani kuliko utajiri ao cheo ao hata maisha. Louis de<br />

Berquin alikuwa mzaliwa wa jamaa <strong>ya</strong> cheo kikubwa, aliyejitoa kwa majifunzo, mwenye<br />

kuadibishwa na tabia isiyolaumiwa. “Akakamilisha kila namna <strong>ya</strong> wema kwa kushika<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Luther katika machukio makuu <strong>ya</strong> kipekee.” Lakini, kwa bahati njema<br />

akaongozwa kwa Biblia, akashangazwa kupata pale “si mafundisho <strong>ya</strong> Roma, bali<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Luther.” Akajitoa mwenyewe kwa kazi <strong>ya</strong> injili.<br />

Mamlaka <strong>ya</strong> Papa <strong>ya</strong> Ufransa ikamtia gerezani kama mpinga imani <strong>ya</strong> dini, lakini<br />

akafunguliwa na mfalme. Kwa miaka nyingi Francis alikuwa akisitasita kati <strong>ya</strong> Roma na<br />

83

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!