You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 12. Mapambazuko Katika Ufransa<br />
Ushuhuda wa Spires na Ungamo la Augsburg <strong>ya</strong>lifuatwa na miaka <strong>ya</strong> vita na giza.<br />
Yakazoofishwa na migawanyiko, <strong>Kiprotestanti</strong> kikaonekana katika hali <strong>ya</strong> kuangamizwa.<br />
Lakini wakati wa ushindi huu wa wazi mfalme akapigana sana na kushindwa. Mwishowe<br />
akalazimishwa kukubali kuachia uhuru mafundisho ambayo ilikuwa tamaa <strong>ya</strong> nguvu katika<br />
maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ku<strong>ya</strong>haribu.<br />
Aliona majeshi <strong>ya</strong>ke kuangamizwa na vita, hazina zake kutiririka, watu wengi wa ufalme<br />
wake kutiishwa na uasi, na po pote ambapo imani aliyojitahidi kukomesha ikaenea. Charles<br />
V alikuwa akigombeza uwezo wa Mwenye mamlaka yote. Mungu alisema, “Nuru iwe,” lakini<br />
mfalme akataka kudumisha giza. Aliposhindwa kutimiza makusudi <strong>ya</strong>ke, akazeeka upesi,<br />
akajitosha kitini cha ufalme na akaenda kujizika mwenyewe katika nyumba <strong>ya</strong> watawa.<br />
Katika Uswisi, hivi makambi mengi <strong>ya</strong>likubali imani <strong>ya</strong> Matengenezo, wengine<br />
wakajifungia kwa imani <strong>ya</strong> Roma. Mateso juu <strong>ya</strong> wafuasi ikaamka kuwa vita v<strong>ya</strong> wenyewe<br />
kwa wenyewe. Zwingli na wengi waliojiunga katika Matengenezo wakaanguka kwa shamba<br />
la damu la Cappel. Roma ikawa na ushindi na katika mahali pengi ikaonekana kupata yote<br />
aliyopoteza. Lakini Mungu hakusahau kazi <strong>ya</strong>ke wala watu wake. Kwa upande mwengine<br />
akainua watumishi kuendesha kazi <strong>ya</strong> Matengenezo.<br />
Katika Ufransa mmojawapo wa kwanza kupata nuru alikuwa ndiye Lefévre; mwalimu<br />
katika chuo kikuu cha Paris. Katika uchunguzi wake wa vitabu v<strong>ya</strong> maandiko <strong>ya</strong> zamani,<br />
uangalifu wake ukaongozwa kwa Biblia, na akaingiza mafundisho <strong>ya</strong>ke miongoni mwa<br />
wanafunzi wake. Akaanza kuta<strong>ya</strong>risha historia <strong>ya</strong> watakatifu wa wafia dini kama ilivyotolewa<br />
katika mapokeo <strong>ya</strong> kanisa, na alikuwa amekwisha kufan<strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> namna sana kwa<br />
hayo, alipofikiri kwamba angeweza kupata usaada kutoka kwa Biblia, akaanza mafundisho<br />
<strong>ya</strong>ke. Na hapa kweli akapata watakatifu, lakini si kama vile ilionekana katika kalenda <strong>ya</strong><br />
Roma (Kanisa la Katoliki). Katika machukio akaenda zake kwa kazi aliyojiagizia mwenyewe<br />
na akajitoa wakfu kwa Neno la Mungu.<br />
Katika mwaka 1512 kabla <strong>ya</strong> Luther ao Zwingli walikuwa hawajaanza kazi <strong>ya</strong><br />
Matengenezo, Lefévre akaandika, “Ni Mungu anayetupatia, kwa imani, haki ile ambayo kwa<br />
neema pekee hutuhesabia haki kwa uzima wa milele.” Na wakati alipofundisha kwamba<br />
utukufu wa wokovu ni wa Mungu tu, na akatangaza pia kwamba kazi <strong>ya</strong> kutii ni <strong>ya</strong> binadamu.<br />
Wengine miongoni mwa wanafunzi wa Lefévre wakasikiliza kwa bidii maneno <strong>ya</strong>ke na<br />
wakati mrefu baada <strong>ya</strong> sauti <strong>ya</strong> mwalimu kun<strong>ya</strong>maza, wakaendelea kutangaza ukweli. Mmoja<br />
wao alikuwa William Farel. Alikelewa kwa wazazi watawa na mkatoliki mwenye juhudi,<br />
alitamani sana kuharibu kila kitu kilichojaribu pinga kanisa. “Ningesaga meno <strong>ya</strong>ngu kama<br />
mbwa mwitu mkali,” akasema baadaye. “Ninaposikia mtu ye yote kusema kinyume cha<br />
Papa.” Lakini ibada <strong>ya</strong> watakatifu, kuabudu mbele <strong>ya</strong> mazabahu, na kupambwa na zawadi za<br />
mahali patakatifu hakukuweza kuleta amani <strong>ya</strong> roho. Kusadikishwa kwa zambi<br />
82