12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 12. Mapambazuko Katika Ufransa<br />

Ushuhuda wa Spires na Ungamo la Augsburg <strong>ya</strong>lifuatwa na miaka <strong>ya</strong> vita na giza.<br />

Yakazoofishwa na migawanyiko, <strong>Kiprotestanti</strong> kikaonekana katika hali <strong>ya</strong> kuangamizwa.<br />

Lakini wakati wa ushindi huu wa wazi mfalme akapigana sana na kushindwa. Mwishowe<br />

akalazimishwa kukubali kuachia uhuru mafundisho ambayo ilikuwa tamaa <strong>ya</strong> nguvu katika<br />

maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ku<strong>ya</strong>haribu.<br />

Aliona majeshi <strong>ya</strong>ke kuangamizwa na vita, hazina zake kutiririka, watu wengi wa ufalme<br />

wake kutiishwa na uasi, na po pote ambapo imani aliyojitahidi kukomesha ikaenea. Charles<br />

V alikuwa akigombeza uwezo wa Mwenye mamlaka yote. Mungu alisema, “Nuru iwe,” lakini<br />

mfalme akataka kudumisha giza. Aliposhindwa kutimiza makusudi <strong>ya</strong>ke, akazeeka upesi,<br />

akajitosha kitini cha ufalme na akaenda kujizika mwenyewe katika nyumba <strong>ya</strong> watawa.<br />

Katika Uswisi, hivi makambi mengi <strong>ya</strong>likubali imani <strong>ya</strong> Matengenezo, wengine<br />

wakajifungia kwa imani <strong>ya</strong> Roma. Mateso juu <strong>ya</strong> wafuasi ikaamka kuwa vita v<strong>ya</strong> wenyewe<br />

kwa wenyewe. Zwingli na wengi waliojiunga katika Matengenezo wakaanguka kwa shamba<br />

la damu la Cappel. Roma ikawa na ushindi na katika mahali pengi ikaonekana kupata yote<br />

aliyopoteza. Lakini Mungu hakusahau kazi <strong>ya</strong>ke wala watu wake. Kwa upande mwengine<br />

akainua watumishi kuendesha kazi <strong>ya</strong> Matengenezo.<br />

Katika Ufransa mmojawapo wa kwanza kupata nuru alikuwa ndiye Lefévre; mwalimu<br />

katika chuo kikuu cha Paris. Katika uchunguzi wake wa vitabu v<strong>ya</strong> maandiko <strong>ya</strong> zamani,<br />

uangalifu wake ukaongozwa kwa Biblia, na akaingiza mafundisho <strong>ya</strong>ke miongoni mwa<br />

wanafunzi wake. Akaanza kuta<strong>ya</strong>risha historia <strong>ya</strong> watakatifu wa wafia dini kama ilivyotolewa<br />

katika mapokeo <strong>ya</strong> kanisa, na alikuwa amekwisha kufan<strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> namna sana kwa<br />

hayo, alipofikiri kwamba angeweza kupata usaada kutoka kwa Biblia, akaanza mafundisho<br />

<strong>ya</strong>ke. Na hapa kweli akapata watakatifu, lakini si kama vile ilionekana katika kalenda <strong>ya</strong><br />

Roma (Kanisa la Katoliki). Katika machukio akaenda zake kwa kazi aliyojiagizia mwenyewe<br />

na akajitoa wakfu kwa Neno la Mungu.<br />

Katika mwaka 1512 kabla <strong>ya</strong> Luther ao Zwingli walikuwa hawajaanza kazi <strong>ya</strong><br />

Matengenezo, Lefévre akaandika, “Ni Mungu anayetupatia, kwa imani, haki ile ambayo kwa<br />

neema pekee hutuhesabia haki kwa uzima wa milele.” Na wakati alipofundisha kwamba<br />

utukufu wa wokovu ni wa Mungu tu, na akatangaza pia kwamba kazi <strong>ya</strong> kutii ni <strong>ya</strong> binadamu.<br />

Wengine miongoni mwa wanafunzi wa Lefévre wakasikiliza kwa bidii maneno <strong>ya</strong>ke na<br />

wakati mrefu baada <strong>ya</strong> sauti <strong>ya</strong> mwalimu kun<strong>ya</strong>maza, wakaendelea kutangaza ukweli. Mmoja<br />

wao alikuwa William Farel. Alikelewa kwa wazazi watawa na mkatoliki mwenye juhudi,<br />

alitamani sana kuharibu kila kitu kilichojaribu pinga kanisa. “Ningesaga meno <strong>ya</strong>ngu kama<br />

mbwa mwitu mkali,” akasema baadaye. “Ninaposikia mtu ye yote kusema kinyume cha<br />

Papa.” Lakini ibada <strong>ya</strong> watakatifu, kuabudu mbele <strong>ya</strong> mazabahu, na kupambwa na zawadi za<br />

mahali patakatifu hakukuweza kuleta amani <strong>ya</strong> roho. Kusadikishwa kwa zambi<br />

82

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!