12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

akaita makutano huko Augsburg. Akatangaza kusudi lake kwa kuongoza mwenyewe.<br />

Waongozi wa <strong>Kiprotestanti</strong> wakaitwa.<br />

Mchaguzi wa Saxony akashurutishwa na washauri wake asionekane kwa makutano: “Je,<br />

hivyo si kujihatarisha kwa kwenda kwa kila kitu na kujifungia ndani <strong>ya</strong> kuta za muji pamoja<br />

na adui wenye nguvu?” Lakini wengine wakamwambia kwa uhodari “Acha watawala tu<br />

wapatane wao wenyewe na uhodari na hoja <strong>ya</strong> Mungu itaokoka.” “Mungu ni mwaminifu:<br />

hatatuacha,” akasema Luther. Mchaguzi akashika safari kwenda Augsburg. Wengi wakaenda<br />

kwenye mkutano na uso wa huzuni na moyo wa taabu. Lakini Luther aliyewasindikiza hata<br />

Coburg, akaamsha imani <strong>ya</strong>o kwa kuimba wimbo ulioandikwa walipokuwa safarini, “ngome<br />

yenye uwezo ndiye Mungu wetu’. Mioyo nyingi yenye uzito ikawa nyepesi kwa sauti za<br />

juhudi za kutia moyo.<br />

Watawala walioongoka wakakusudia kuwa na maelezo <strong>ya</strong> maono <strong>ya</strong>o, pamoja na<br />

ushuhuda kutoka kwa Maandiko, <strong>ya</strong> kuonyesha mbele <strong>ya</strong> mkutano. Kazi <strong>ya</strong> mata<strong>ya</strong>risho <strong>ya</strong>ke<br />

ikapewa Luther, Melanchton na washiriki wao. Ungamo hili likakubaliwa na Waprotestanti,<br />

na wakakusanyika kwa kutia majina <strong>ya</strong>o kwa maandiko <strong>ya</strong> mapatano.<br />

Watengenezaji walitamani zaidi bila kuchanganisha hoja <strong>ya</strong>o na maswali <strong>ya</strong> siasa. Kama<br />

vile watawala Wakikristo waliendelea kutia sahihi <strong>ya</strong> ungamo, Melanchton akaingia kati, na<br />

kusema, “Ni kwa wachunguzi wa mambo <strong>ya</strong> dini na wahubiri kwa kutoa shauri la mambo<br />

ha<strong>ya</strong>; tuchunge maoni mengine kwa ajili <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> wakuu wa inchi.” “Mungu<br />

anakataza” akajibu Jean wa Saxony, “Kwamba mgenitenga. Ninakusudia kutenda <strong>ya</strong>liyo haki,<br />

bila kujihangaisha mimi mwenyewe juu <strong>ya</strong> taji langu. Natamani kuungama Bwana. Kofia<br />

<strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> uchaguzi na ngozi <strong>ya</strong> mapendo <strong>ya</strong> wahukumu si v<strong>ya</strong> damani kwangu kama msalaba<br />

wa Yesu Kristo.” Akasema mwengine katika watawala alipochukua kalamu, “Kama heshima<br />

<strong>ya</strong> Bwana wangu Yesu Kristo huidai, niko ta<strong>ya</strong>ri ... kuacha mali na maisha <strong>ya</strong>ngu nyuma.”<br />

“Tafazali ningekataa mambo <strong>ya</strong>ngu na makao <strong>ya</strong>ngu, zaidi kutoka inchini mwa baba zangu<br />

na fimbo mkononi,” akaendelea, “kuliko kukubali mafundisho mengine mbali na ambayo<br />

<strong>ya</strong>nayokuwa katika ungamo hili.”<br />

Wakati ulioagizwa ukafika. Charles V, akazungukwa na wachaguzi na watawala,<br />

akakubali kuonana na Watengenezaji wa Waprotestanti. Katika mkutano tukufu ule mambo<br />

<strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> injili <strong>ya</strong>katangazwa wazi wazi na makosa <strong>ya</strong> kanisa la Papa <strong>ya</strong>kaonyeshwa. Siku<br />

ile ikatangazwa “siku kubwa sana <strong>ya</strong> Matengenezo, na siku mojawapo <strong>ya</strong> utukufu katika<br />

historia <strong>ya</strong> Kikristo na <strong>ya</strong> wanadamu.”<br />

Mtawa wa Wittenberg akasimama peke <strong>ya</strong>ke huko Worms. Sasa mahali pake kukawa<br />

watawala hodari kuliko wa ufalme. “Ninafurahi sana,” Luther akaandika, “kwamba nimeishi<br />

hata kwa wakati huu, ambao Kristo ametukuzwa wazi wazi na mashahidi bora kama hawa,<br />

na katika mkutano tukufu sana.” Ujumbe ambao mfalme alioukataza kuhubiriwa kwa<br />

mimbara ukatangazwa kwa jumba lake la kifalme. Maneno ambayo wengi waliifikiri kama<br />

<strong>ya</strong>siyofaa hata mbele <strong>ya</strong> watumikaji, <strong>ya</strong>lisikiwa kwa mshangao na mabwana wakubwa na<br />

80

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!