12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

nafasi <strong>ya</strong> kujibu. “Wakatuma ujumbe kusihi mfalme arudi : Akajibu tu, “Ni jambo lilokwisha<br />

kukatwa; kutii ni kitu tu kinachobaki.”<br />

Watu wa kundi la mfalme wakajisifu wenyewe kwamba sababu <strong>ya</strong> mfalme na Papa<br />

ilikuwa na nguvu, na kwamba ile <strong>ya</strong> Watengenezaji ni zaifu. Kama Watengenezaji<br />

wangetumainia usaada wa mtu tu, wangalikuwa wazaifu kama walivyo zaniwa na wafuasi wa<br />

Papa. Lakini wakaita “kutoka kwa taarifa la baraza kuelekea Neno la Mungu, na badala <strong>ya</strong><br />

mfalme Charles, kwa Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.” Kama vile<br />

Ferdinand alivyokataa kujali nia za zamiri <strong>ya</strong>o, watawala wakakusudia bila kujali kukosekana<br />

kwake, bali kuleta ushuhuda wao mbele <strong>ya</strong> baraza la taifa bila kukawia. Tangazo la heshima<br />

likaandikwa na kuwekwa kwa mkutano:<br />

“Tunashuhudia kwa wanaokuwa hapa ... kwamba sisi, kwa ajili yetu na kwa ajili <strong>ya</strong> watu<br />

wetu, hatukubali wala kupatana katika namna yote kwa amri iliyokusudiwa, katika kila kitu<br />

kinachokuwa kinyume kwa Mungu, kwa Neno lake takatifu, kwa zamiri yetu <strong>ya</strong> haki, kwa<br />

wokovu wa roho zetu ... kwa sababu hii tunakataa utumwa ambao unaotwikwa juu yetu. ...<br />

Na vilevile tunakuwa katika matumaini kwamba utukufu wake wa kifalme utatenda mbele<br />

yetu kama mfalme Mkristo anayempenda Mungu kupita vitu vyote; na tunatangaza sisi<br />

wenyewe kuwa ta<strong>ya</strong>ri kulipa kwake, na kwenu pia, watawala wa neema, upendo wote na utii<br />

unavyokuwa wajibu wetu wa haki na wa sheria.”<br />

Wengi wakajaa na mshangao na mshituko wa hofu kwa ushujaa wa washuhuda. Fitina,<br />

ushindano, na kumwaga damu ilionekana bila kuepukwa. Lakini Watengenezaji, katika<br />

kutumainia silaha <strong>ya</strong> mamlaka Kuu, walikuwa wenyekujazwa na “uhodari tele na ujasiri.”<br />

“Kanuni zilizokuwa katika ushuhuda huu wa sifa ... ilianzisha msingi kabisa wa<br />

<strong>Kiprotestanti</strong>. ... <strong>Kiprotestanti</strong> kinatia uwezo wa zamiri juu <strong>ya</strong> muhukumu na mamulaka <strong>ya</strong><br />

Neno la Mungu juu <strong>ya</strong> kanisa linaloonekana ... Husema pamoja na manabii na mitume<br />

“Imetupasa kutii Mungu kuliko mwanadamu. Kuwako kwa taji la Charles V kiliinua taji la<br />

Yesu Kristo.” Ushuhuda wa Spires ulikuwa ushuhuda wa heshima juu <strong>ya</strong> ushupavu wa dini<br />

na madai <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> watu wote kwa kuabudu Mungu kwa kupatana na zamiri zao wenyewe.<br />

Maarifa <strong>ya</strong> Watengenezaji bora hawa <strong>ya</strong>nakuwa na fundisho kwa ajili <strong>ya</strong> vizazi vyote<br />

vinavyofuatana. Shetani angali anapinga Maandiko <strong>ya</strong>liyofanywa kuwa kiongozi cha maisha.<br />

Kwa wakati wetu kuna haja <strong>ya</strong> kurudi kwa kanuni kubwa <strong>ya</strong> ushuhuda--Biblia, na ni Biblia<br />

peke, kama kiongozi cha amri <strong>ya</strong> imani na kazi. Shetani angali anatumika kwa kuharibu uhuru<br />

wa dini. Uwezo wa mpinga Kristo ambao washuhuda wa Spires walikataa sasa unatafuta<br />

kuanzisha mamlaka <strong>ya</strong>ke iliyopotea.<br />

Makutano Huko Augsburg<br />

Watawala wa injili walinyimwa kusikiwa na Mfalme Ferdinand, lakini kwa kutuliza<br />

magomvi <strong>ya</strong>liyosumbua ufalme, Charles V katika mwaka uliofuata Ushuhuda wa Spires<br />

79

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!