Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
nafasi <strong>ya</strong> kujibu. “Wakatuma ujumbe kusihi mfalme arudi : Akajibu tu, “Ni jambo lilokwisha<br />
kukatwa; kutii ni kitu tu kinachobaki.”<br />
Watu wa kundi la mfalme wakajisifu wenyewe kwamba sababu <strong>ya</strong> mfalme na Papa<br />
ilikuwa na nguvu, na kwamba ile <strong>ya</strong> Watengenezaji ni zaifu. Kama Watengenezaji<br />
wangetumainia usaada wa mtu tu, wangalikuwa wazaifu kama walivyo zaniwa na wafuasi wa<br />
Papa. Lakini wakaita “kutoka kwa taarifa la baraza kuelekea Neno la Mungu, na badala <strong>ya</strong><br />
mfalme Charles, kwa Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.” Kama vile<br />
Ferdinand alivyokataa kujali nia za zamiri <strong>ya</strong>o, watawala wakakusudia bila kujali kukosekana<br />
kwake, bali kuleta ushuhuda wao mbele <strong>ya</strong> baraza la taifa bila kukawia. Tangazo la heshima<br />
likaandikwa na kuwekwa kwa mkutano:<br />
“Tunashuhudia kwa wanaokuwa hapa ... kwamba sisi, kwa ajili yetu na kwa ajili <strong>ya</strong> watu<br />
wetu, hatukubali wala kupatana katika namna yote kwa amri iliyokusudiwa, katika kila kitu<br />
kinachokuwa kinyume kwa Mungu, kwa Neno lake takatifu, kwa zamiri yetu <strong>ya</strong> haki, kwa<br />
wokovu wa roho zetu ... kwa sababu hii tunakataa utumwa ambao unaotwikwa juu yetu. ...<br />
Na vilevile tunakuwa katika matumaini kwamba utukufu wake wa kifalme utatenda mbele<br />
yetu kama mfalme Mkristo anayempenda Mungu kupita vitu vyote; na tunatangaza sisi<br />
wenyewe kuwa ta<strong>ya</strong>ri kulipa kwake, na kwenu pia, watawala wa neema, upendo wote na utii<br />
unavyokuwa wajibu wetu wa haki na wa sheria.”<br />
Wengi wakajaa na mshangao na mshituko wa hofu kwa ushujaa wa washuhuda. Fitina,<br />
ushindano, na kumwaga damu ilionekana bila kuepukwa. Lakini Watengenezaji, katika<br />
kutumainia silaha <strong>ya</strong> mamlaka Kuu, walikuwa wenyekujazwa na “uhodari tele na ujasiri.”<br />
“Kanuni zilizokuwa katika ushuhuda huu wa sifa ... ilianzisha msingi kabisa wa<br />
<strong>Kiprotestanti</strong>. ... <strong>Kiprotestanti</strong> kinatia uwezo wa zamiri juu <strong>ya</strong> muhukumu na mamulaka <strong>ya</strong><br />
Neno la Mungu juu <strong>ya</strong> kanisa linaloonekana ... Husema pamoja na manabii na mitume<br />
“Imetupasa kutii Mungu kuliko mwanadamu. Kuwako kwa taji la Charles V kiliinua taji la<br />
Yesu Kristo.” Ushuhuda wa Spires ulikuwa ushuhuda wa heshima juu <strong>ya</strong> ushupavu wa dini<br />
na madai <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> watu wote kwa kuabudu Mungu kwa kupatana na zamiri zao wenyewe.<br />
Maarifa <strong>ya</strong> Watengenezaji bora hawa <strong>ya</strong>nakuwa na fundisho kwa ajili <strong>ya</strong> vizazi vyote<br />
vinavyofuatana. Shetani angali anapinga Maandiko <strong>ya</strong>liyofanywa kuwa kiongozi cha maisha.<br />
Kwa wakati wetu kuna haja <strong>ya</strong> kurudi kwa kanuni kubwa <strong>ya</strong> ushuhuda--Biblia, na ni Biblia<br />
peke, kama kiongozi cha amri <strong>ya</strong> imani na kazi. Shetani angali anatumika kwa kuharibu uhuru<br />
wa dini. Uwezo wa mpinga Kristo ambao washuhuda wa Spires walikataa sasa unatafuta<br />
kuanzisha mamlaka <strong>ya</strong>ke iliyopotea.<br />
Makutano Huko Augsburg<br />
Watawala wa injili walinyimwa kusikiwa na Mfalme Ferdinand, lakini kwa kutuliza<br />
magomvi <strong>ya</strong>liyosumbua ufalme, Charles V katika mwaka uliofuata Ushuhuda wa Spires<br />
79