You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kama amri hii ingekazwa “Matengenezo ha<strong>ya</strong>ngeweza kuenezwa ... ao kuanzishwa kwa<br />
misingi <strong>ya</strong> nguvu ... mahali ambapo ilikwisha kuwako.” Uhuru ungalikatazwa. Mazungumzo<br />
ha<strong>ya</strong>ngaliruhusiwa. Matumaini <strong>ya</strong> ulimwengu <strong>ya</strong>ngeonekana kukomeshwa.<br />
Washiriki wa kundi la injili wakaangaliana kwa hofu: “Kitu gani kinachofaa kufanywa?”<br />
“Je, wakuu wa Matengenezo wanapaswa kutii, na kukubali amri hiyo? ... Waongozi wa Luther<br />
wakapewa uhuru wa ibada <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong>o. Fazili <strong>ya</strong> namna moja ikatolewa kwa wale wote<br />
waliokubali Matengenezo kabla <strong>ya</strong> kuwekwa kwa amri walikuwa wamekwisha kukubali<br />
maoni <strong>ya</strong> matengenezo. Je, jambo hilo halinge wapendeza? ...<br />
“Kwa furaha wakaangalia kanuniambapo matengenezo <strong>ya</strong>liwekwa kwa msingi<br />
ulioazimiwa, na wakatenda kwa imani. Kanuni ile ilikuwa nini? Ilikuwa haki <strong>ya</strong> Warumi<br />
kushurutisha zamiri na kukataza uhuru wa kuuliza swali. Lakini, hawakuwa wao wenyewe na<br />
watu wao Waprotestanti kuwa na furaha <strong>ya</strong> uhuru wa dini? Ndiyo, kama fazili <strong>ya</strong> upekee<br />
iliyofanywa katika mapatano, lakini si kama haki. ... Ukubali wa matengenezo <strong>ya</strong>liyotakiwa<br />
kwamba ruhusa <strong>ya</strong> kuingia uhuru <strong>ya</strong> dini ilipashwa kuwa tu kwa mategenezo <strong>ya</strong> Saxony na<br />
kwa pande zingine zote za misiki <strong>ya</strong> kikristo uhuru wa kuuliza swalina ushuhuda wa imani <strong>ya</strong><br />
matengenezo vilikua kuasi na vilipashwa kuuzuriwa kifungoni na kifo cha kuchomwa kwa<br />
mti. Je, waliweza kuruhusu kutumia mahali maalum kwa uhuru wa dini? . . . Je,<br />
Watengenezaji wangeweza kujitetea kwamba walikuwa bila kosa kwa damu <strong>ya</strong> wale mamia<br />
na maelfu ambao katika kufuata kwa mapatano ha<strong>ya</strong>, wangetoa maisha <strong>ya</strong>o katika inchi zote<br />
za kanisa la Roma?”<br />
“Hebu tukatae amri hii,” wakasema watawala. “Katika mambo <strong>ya</strong> zamiri uwingi wa watu<br />
hawana uwezo.” Kulinda uhuru wa zamiri ni kazi <strong>ya</strong> taifa, na huu ndiyo mpaka wa mamlaka<br />
<strong>ya</strong>ke katika mambo <strong>ya</strong> dini.<br />
Wakatoliki wakakusudia kuvunja kile walichoita “ushupavu hodari (uhodari usio wa<br />
kuachia mtu nafasi yoyote).” Wajumbe wa miji iliyokuwa na uhuru waliombwa kutangaza<br />
kwamba wangekubali maneno <strong>ya</strong> mashauri <strong>ya</strong>liyo kusudiwa. Waliomba muda, lakini kwao<br />
hawakukubaliwa. Karibu nusu <strong>ya</strong> watu walikuwa kwa upande wa Watengenezaji, wakijua<br />
kwamba musimamo wao utawapeleka kwa hukumu ijayo na mateso. Mmoja akasema,<br />
“Tunapashwa kukana neno la Mungu, ao kuchomwa.”<br />
Ushindani Bora wa Waana wa Wafalme<br />
Mfalme Ferdinand, mjumbe wa mfalme, akajaribu ufundi wa mvuto. “Akaomba waana<br />
wa wafalme kukubali amri, kuwahakikishia kwamba mfalme angependezwa sana nao.”<br />
Lakini watu hawa waaminifu wakajibu kwa upole: “Tutamtii mfalme kwa kila kitu<br />
kitakacholeta amani na heshima <strong>ya</strong> Mungu.”<br />
Mwishowe mfalme akatangaza kwamba “njia <strong>ya</strong>o moja tu inayobaki ilikuwa ni kujiweka<br />
nchini <strong>ya</strong> walio wengi.” Alipokwisha kusema basi, akaenda zake, bila kuwapa Watengenezaji<br />
78