Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti huku mateso ilitumiwa tu kupanua ukweli. Ushupavu ambao Shetani alijaribu kuunganisha hayo, matokeo yalikuwa wazi kinyume kati ya kazi ya Shetani na kazi ya Mungu. 76
Kupinga ya Kiprotestanti Sura 11. Ushuhuda wa Waana wa Wafalme Mojawapo ya shuhuda “maalum”uliotamkwa zaidi kwa ajili ya Matengenezo ulikuwa Ushuhuda uliotolewa na watawala Wakristo wa Ujeremani huko kwa baraza la Spires mwaka 1529. Uhodari na msimamo wa watu wale wa Mungu vikaimarisha uhuru wa zamiri kwa karne zilizofuata, na wakatoa kwa kanisa lililotengenezwa jina la Protestanti. Maongozi ya Mungu yakazuia nguvu zilizopinga ukweli. Charles Quint akakusudia kuangamiza Matengenezo, lakini mara kwa mara alipoinua mkono wake kwa kupinga akalazimishwa kugeukia kando ya pigo. Tena na tena kwa wakati wa hatari majeshi ya Turki valipotokea kwa mpaka, ao mfalme wa Ufransa ao Papa mwenyewe alifanya vita kwake. Kwa hiyo miongoni ya vita na fujo ya mataifa, Matengenezo yakapata nafasi ya kujiimarisha na kujipanua. Lakini, wakati ukafika ambao wafalme wakatoliki wakafanya tendo la umoja juu ya kupinga Watengenezaji. Mfalme akaitisha baraza kukutanika huko Spires munamo mwaka 1529 na kusudi la kuharibu upingaji wa imani ya dini. Kama mpango huo ukishindwa kwa njia ya imani Charles alikuwa tayari kutumia upanga. Wakatoliki huko Spires wakaonyesha uadui wao kwa wazi juu ya Watengenezaji. Akasema Melanchton: “Tunakuwa maapizo na takataka ya ulimwengu; lakini Kristo atatazama chini kwa watu wake maskini, na atawalinda.” Watu wa Spires wakawa na kiu cha Neno la Mungu, na, ingawa kulikuwa makatazo, maelfu wakakutanika kwa huduma iliyofanywa ndani ya kanisa ndogo la mchaguzi wa Saxony. Jambo hili likaharakisha shida. Uvumilivu wa dini ukaimarishwa kwa uhalali, na vikao vya injili vikakusudia kupinga uvunjaji wa haki zao. Luther hakuruhusiwa kuwa Spires lakini pahali pake pakatolewa kwa wafuasi wake na watawala ambao Mungu aliinua kwa kutetea kazi yake. Frederic wa Saxony akatengwa na kifo, lakini Duke Jean, muriti wake (aliyemfuata), akakaribisha kwa furaha Matengenezo na akaonyesha uhodari mkubwa. Mapadri wakadai kwamba taifa ambalo lilikubali Matengenezo liwe chini ya mamlaka ya Warumi. Watengenezaji kwa upande mwengine, hawakuweza kukubali kwamba Roma ilipashwa tena kuleta mataifa yale chini ya utawala wake yale yaliyopokea Neno la Mungu. Mwishowe ikakusudiwa kwamba mahali ambapo Matengenezo haikuanzishwa bado, Amri ya Worms ilipaswa kutumiwa kwa nguvu; na kwamba “Mahali ambapo watu hawangeweza kuilazimisha bila hatari ya uasi, hawakupasa kuingiza matengenezo mapya, ... hawakupashwa kupinga ibada ya misa, hawakupashwa kuruhusu mkatoliki wa Roma kukubali dini ya Luther.” Shauri hili likakubaliwa katika baraza, kwa kutoshelewa ukubwa kwa mapadri na maaskofu. 77
- Page 33 and 34: Kupinga ya Kiprotestanti fundi wa k
- Page 35 and 36: Kupinga ya Kiprotestanti Ujumbe wa
- Page 37 and 38: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 5. Nu
- Page 39 and 40: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 41 and 42: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 43 and 44: Kupinga ya Kiprotestanti wateteaji
- Page 45 and 46: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 47 and 48: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenendo w
- Page 49 and 50: Kupinga ya Kiprotestanti mwenyewe k
- Page 51 and 52: Kupinga ya Kiprotestanti Jerome aka
- Page 53 and 54: Kupinga ya Kiprotestanti Waongozi w
- Page 55 and 56: Kupinga ya Kiprotestanti Kutafuta A
- Page 57 and 58: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 59 and 60: Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
- Page 63 and 64: Kupinga ya Kiprotestanti Mungu haku
- Page 65 and 66: Kupinga ya Kiprotestanti “Ni wana
- Page 67 and 68: Kupinga ya Kiprotestanti Kukaribia
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
- Page 83: Kupinga ya Kiprotestanti Wapadri wa
- Page 87 and 88: Kupinga ya Kiprotestanti nafasi ya
- Page 89 and 90: Kupinga ya Kiprotestanti watawala w
- Page 91 and 92: Kupinga ya Kiprotestanti kukaimaris
- Page 93 and 94: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mti
- Page 95 and 96: Kupinga ya Kiprotestanti Calvin hak
- Page 97 and 98: Kupinga ya Kiprotestanti Tena mkuta
- Page 99 and 100: Kupinga ya Kiprotestanti Ngurumo ya
- Page 101 and 102: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 13. K
- Page 103 and 104: Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Ka
- Page 105 and 106: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 14. U
- Page 107 and 108: Kupinga ya Kiprotestanti hawa walio
- Page 109 and 110: Kupinga ya Kiprotestanti Mioto ya u
- Page 111 and 112: Kupinga ya Kiprotestanti Uharibifu
- Page 113 and 114: Sababu yake ya Kweli Kupinga ya Kip
- Page 115 and 116: Kupinga ya Kiprotestanti kwa hali y
- Page 117 and 118: Kupinga ya Kiprotestanti Mmojawapo
- Page 119 and 120: Kupinga ya Kiprotestanti kazi wakal
- Page 121 and 122: Kupinga ya Kiprotestanti Kosa la Ha
- Page 123 and 124: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 16. K
- Page 125 and 126: Kupinga ya Kiprotestanti angeweza k
- Page 127 and 128: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 17. A
- Page 129 and 130: Kupinga ya Kiprotestanti watu elfu
- Page 131 and 132: Kupinga ya Kiprotestanti Ilikuwa ja
- Page 133 and 134: Kupinga ya Kiprotestanti kumpokea m
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 11. Ushuhuda wa Waana wa Wafalme<br />
Mojawapo <strong>ya</strong> shuhuda “maalum”uliotamkwa zaidi kwa ajili <strong>ya</strong> Matengenezo ulikuwa<br />
Ushuhuda uliotolewa na watawala Wakristo wa Ujeremani huko kwa baraza la Spires mwaka<br />
1529. Uhodari na msimamo wa watu wale wa Mungu vikaimarisha uhuru wa zamiri kwa<br />
karne zilizofuata, na wakatoa kwa kanisa lililotengenezwa jina la Protestanti.<br />
Maongozi <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>kazuia nguvu zilizopinga ukweli. Charles Quint akakusudia<br />
kuangamiza Matengenezo, lakini mara kwa mara alipoinua mkono wake kwa kupinga<br />
akalazimishwa kugeukia kando <strong>ya</strong> pigo. Tena na tena kwa wakati wa hatari majeshi <strong>ya</strong> Turki<br />
valipotokea kwa mpaka, ao mfalme wa Ufransa ao Papa mwenyewe alifan<strong>ya</strong> vita kwake. Kwa<br />
hiyo miongoni <strong>ya</strong> vita na fujo <strong>ya</strong> mataifa, Matengenezo <strong>ya</strong>kapata nafasi <strong>ya</strong> kujiimarisha na<br />
kujipanua.<br />
Lakini, wakati ukafika ambao wafalme wakatoliki wakafan<strong>ya</strong> tendo la umoja juu <strong>ya</strong><br />
kupinga Watengenezaji. Mfalme akaitisha baraza kukutanika huko Spires munamo mwaka<br />
1529 na kusudi la kuharibu upingaji wa imani <strong>ya</strong> dini. Kama mpango huo ukishindwa kwa<br />
njia <strong>ya</strong> imani Charles alikuwa ta<strong>ya</strong>ri kutumia upanga.<br />
Wakatoliki huko Spires wakaonyesha uadui wao kwa wazi juu <strong>ya</strong> Watengenezaji.<br />
Akasema Melanchton: “Tunakuwa maapizo na takataka <strong>ya</strong> ulimwengu; lakini Kristo<br />
atatazama chini kwa watu wake maskini, na atawalinda.” Watu wa Spires wakawa na kiu cha<br />
Neno la Mungu, na, ingawa kulikuwa makatazo, maelfu wakakutanika kwa huduma<br />
iliyofanywa ndani <strong>ya</strong> kanisa ndogo la mchaguzi wa Saxony. Jambo hili likaharakisha shida.<br />
Uvumilivu wa dini ukaimarishwa kwa uhalali, na vikao v<strong>ya</strong> injili vikakusudia kupinga<br />
uvunjaji wa haki zao. Luther hakuruhusiwa kuwa Spires lakini pahali pake pakatolewa kwa<br />
wafuasi wake na watawala ambao Mungu aliinua kwa kutetea kazi <strong>ya</strong>ke. Frederic wa Saxony<br />
akatengwa na kifo, lakini Duke Jean, muriti wake (aliyemfuata), akakaribisha kwa furaha<br />
Matengenezo na akaonyesha uhodari mkubwa.<br />
Mapadri wakadai kwamba taifa ambalo lilikubali Matengenezo liwe chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong><br />
Warumi. Watengenezaji kwa upande mwengine, hawakuweza kukubali kwamba Roma<br />
ilipashwa tena kuleta mataifa <strong>ya</strong>le chini <strong>ya</strong> utawala wake <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyopokea Neno la Mungu.<br />
Mwishowe ikakusudiwa kwamba mahali ambapo Matengenezo haikuanzishwa bado,<br />
Amri <strong>ya</strong> Worms ilipaswa kutumiwa kwa nguvu; na kwamba “Mahali ambapo watu<br />
hawangeweza kuilazimisha bila hatari <strong>ya</strong> uasi, hawakupasa kuingiza matengenezo map<strong>ya</strong>, ...<br />
hawakupashwa kupinga ibada <strong>ya</strong> misa, hawakupashwa kuruhusu mkatoliki wa Roma<br />
kukubali dini <strong>ya</strong> Luther.” Shauri hili likakubaliwa katika baraza, kwa kutoshelewa ukubwa<br />
kwa mapadri na maaskofu.<br />
77