12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Waalimu hawa wa bidii wakajifan<strong>ya</strong> wenye kutawaliwa na maono, kuona kuwa kila<br />

mawazo na mvuto kama sauti <strong>ya</strong> Mungu. Wengine hata wakachoma Biblia zao. Mafundisho<br />

<strong>ya</strong> Munzer <strong>ya</strong>kakubaliwa na maelfu. Kwa upesi akatangaza kwamba kutii watawala, ilikuwa<br />

kutaka kumtumikia Mungu na Beliali. Mafundisho <strong>ya</strong> uasi <strong>ya</strong> Munzer <strong>ya</strong>kaongoza watu<br />

kuvunja mamlaka yote. Sherehe za kutisha za upinzani zikafuata, na mashamba <strong>ya</strong> Ujeremani<br />

<strong>ya</strong>kajaa na damu.<br />

Maumivu Makuu <strong>ya</strong> Roho Sasa Yakalemea Juu <strong>ya</strong> Luther<br />

Wana wa wafalme wa upande wa Papa wakatangaza kwamba uasi ulikuwa tunda <strong>ya</strong><br />

mafundisho <strong>ya</strong> Luther. Mzigo huu hakupashwa lakini kuleta huzuni kubwa kwa Mtengenezaji<br />

kwamba kisa cha kweli kilipaswa kuaibishwa kwa kuhesabiwa pamoja na ushupavu wa dini<br />

wa chini zaidi. Kwa upande mwengine, waongozi katika uasi walimchukia Luther. Hakukana<br />

madai <strong>ya</strong>o kwa maongozi <strong>ya</strong> Mungu tu, bali akawatangaza kuwa waasi juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong><br />

serkali. Katika uhusiano wakamshitaki yeye kuwa mdai wa msingi.<br />

Roma ilitumainia kushuhudia muanguko wa Matengenezo. Na wakamlaumu Luther hata<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> makosa ambayo alijaribu kwa bidii sana kusahihisha. Kundi la ushupavu, likadai<br />

kwa uongo kwamba lilitendewa <strong>ya</strong>siyo haki, wakapata huruma <strong>ya</strong> hesabu kubwa <strong>ya</strong> watu na<br />

kuzaniwa kuwa kama wafia dini. Kwa hiyo wale waliokuwa katika kupingana na<br />

Matengenezo wakahurumiwa na kusafishwa. Hii ilikuwa kazi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> uasi<br />

wa kwanza uliopatikana mbinguni.<br />

Shetani hutafuta kila mara kudangan<strong>ya</strong> watu na kuwaongoza kuita zambi kuwa haki na<br />

haki kuwa zambi. Utakatifu wa uongo, utakaso wa kuiga, ungali ukionyesha roho <strong>ya</strong> namna<br />

moja kama katika siku za Luther, kugeuza mafikara kutoka kwa Maandiko na kuongoza watu<br />

kufuata mawazo na maono kuliko sheria za Mungu. Kwa uhodari Luther akatetea injili kwa<br />

mashambulio. Pamoja na Neno la Mungu akapigana juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> man<strong>ya</strong>nganyi <strong>ya</strong><br />

Papa, wakati aliposimama imara kama mwamba kupinga ushupavu uliojaribu kujiunga na<br />

Matengenezo.<br />

Pande zote za upinzanihuweka pembeni Maandiko matakatifu, kwa faida <strong>ya</strong> hekima <strong>ya</strong><br />

kibinadamu kutukuzwa kawa chemchemi ama asili <strong>ya</strong> ukweli. Kufuata akili za kibinadamu<br />

kwa kusudi lakuabudu kama Mungu na kufan<strong>ya</strong> hii kanuni kwa ajili <strong>ya</strong> dini. Kiroma kinadai<br />

kuwa na uongozi wa Mungu ulioshuka kwa mustari usiovunjika toka kwa mitume na kutoa<br />

nafasi kwa ujinga na uchafu vifichwe chini <strong>ya</strong> agizo la “mitume”. Maongozi <strong>ya</strong>liyodaiwa na<br />

Munzer <strong>ya</strong>litoka kwa mapinduzi <strong>ya</strong> mawazo. Ukristo wa kweli hukubali Neno la Mungu kama<br />

jaribio la maongozi yote.<br />

Kwa kurudi kwake Wartburg, Luther akatimiza kutafsiri Agano Jip<strong>ya</strong>, na injili ikatolewa<br />

upesi kwa watu wa Ujeremani katika lugha <strong>ya</strong>o wenyewe. Ufasiri huu ukapokewa kwa furaha<br />

kubwa kwa wote waliopenda ukweli.<br />

74

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!