You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Alikuwa chini <strong>ya</strong> laana <strong>ya</strong> ufalme; Adui zake walikuwa na uhuru wa kumuua, rafiki<br />
walikatazwa kumlinda. Lakini aliona kwamba kazi <strong>ya</strong> injili ilikuwa katika hatari, na katika<br />
jina la Bwana akatoka bila uwoga kupigana kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli. Ndani <strong>ya</strong> barua kwa<br />
mchaguzi, Luther akasema: “Ninaenda Wittenberg chini <strong>ya</strong> ulinzi wa yule anayekuwa juu<br />
kuliko ule wa wafalme na wachaguzi. Sifikiri kuomba usaada wa fahari <strong>ya</strong>ko, wala kutaka<br />
ulinzi wako, ningependa kukulinda mimi mwenyewe. ... Hakuna upanga unaoweza kusaidia<br />
kazi hii. Mungu peke <strong>ya</strong>ke anapashwa kufan<strong>ya</strong> kila kitu.” Katika barua <strong>ya</strong> pili, Luther<br />
akaongeza: “Niko ta<strong>ya</strong>ri kukubali chuki <strong>ya</strong> fahari <strong>ya</strong>ko na hasira <strong>ya</strong> ulimwengu wote. Je,<br />
wakaaji wa Wittenberg si kondoo zangu? Na hainipasi, kama ni lazima, kujitoa kwa mauti<br />
kwa ajili <strong>ya</strong>o?”<br />
Uwezo wa Neno<br />
Makelele haikukawia kuenea katika Wittenberg kwamba Luther alirudi na alitaka<br />
kuhubiri. Kanisa likajaa. Kwa hekima kubwa na upole akafundisha na kuon<strong>ya</strong>: “Misa ni kitu<br />
kiba<strong>ya</strong>; Mungu huchukia kitu hiki; kinapaswa kuharibiwa. ... Lakini mtu asiachishwe kwacho<br />
kwa nguvu. ... Neno ... la Mungu linapasa kutenda, na si sisi. ...Tunakuwa na haki kusema:<br />
hatuna na haki kutenda. Hebu tuhubiri; <strong>ya</strong>nayobaki ni <strong>ya</strong> Mungu. Nikitumia nguvu nitapata<br />
nini? Mungu hushika moyo na moyo ukikamatwa, umekamatika kabisa. ...<br />
“Nitahubiri, kuzungumza, na kuandika; lakini sitamshurutisha mtu, kwani imani ni tendo<br />
la mapenzi. ... Nilisimama kumpinga Papa, vyeti v<strong>ya</strong> kuachiwa zambi, na wakatoliki, lakini<br />
bila mapigano wala fujo. Ninaweka Neno la Mungu mbele; nilihubiri na kuandika--ni jambo<br />
hili tu nililolifan<strong>ya</strong>. Na kwani wakati nilipokuwa nikilala, ... neno ambalo nililohubiri<br />
likaangusha mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la Roma, ambaye hata mtawala ao mfalme hawakulifanyia<br />
mambo mengi maba<strong>ya</strong>. Na huku sikufan<strong>ya</strong> lolote; neno pekee lilitenda vyote.” Neno la<br />
Mungu likavunja mvuto wa mwamusho wa ushupavu. Injili ilirudisha katika njia <strong>ya</strong> Kweli<br />
watu waliodanganywa.<br />
Miaka nyingi baadaye ushupavu wa dini ukainuka pamoja na matokeo <strong>ya</strong> ajabu. Akasema<br />
Luther: “Kwao Maandiko matakatifu <strong>ya</strong>likuwa lakini barua yenye kufa, na wote wakaanza<br />
kupaaza sauti, ‘Roho! Roho! ‘ Lakini kwa uhakika sitafuata mahali ambapo roho <strong>ya</strong>o<br />
inawaongoza.”<br />
Thomas Munzer, alikuwa na bidii zaidi miongoni mwa washupavu hawa, alikuwa mtu wa<br />
uwezo mkubwa, lakini hakujifunza dini <strong>ya</strong> kweli. “Alipokuwa na mapenzi <strong>ya</strong> kutengeneza<br />
dunia, na akasahau, kama wenye bidii wote wanavyofan<strong>ya</strong>, kwamba ilikuwa kwake<br />
mwenyewe ambaye Matengenezo ilipashwa kuanzia.” Hakutaka kuwa wa pili, hata kwa<br />
Luther. Yeye mwenyewe akajidai kwamba alipokea agizo la Mungu kuingiza Matengenezo<br />
<strong>ya</strong> kweli: “Ye yote anayekuwa na roho hii, anakuwa na imani <strong>ya</strong> kweli, ijapo hakuweza kuona<br />
Maandiko katika maisha <strong>ya</strong>ke.”<br />
73