12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Watu wachache wakajizania wenyewe kupokea mafumbulio <strong>ya</strong> kipekee kutoka Mbinguni<br />

na kuchaguliwa na Mungu kwa kutimiza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo ambayo ilianzishwa kwa<br />

uzaifu na Luther. Kwa kweli, walibomoa kile Mtengenezaji alichofan<strong>ya</strong>. Walikataa kanuni <strong>ya</strong><br />

Matengenezo kwamba Neno la Mungu ni amri moja tu, <strong>ya</strong> kutosha <strong>ya</strong> imani na maisha. Kwa<br />

kiongozi kile kisichokosa wakaweka maagizo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> hakika, <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe na maono.<br />

Wengine kwa urahisi wakaelekea kwa ushupavu na kujiunga pamoja nao. Mambo <strong>ya</strong><br />

wenye bidii hawa <strong>ya</strong>kaleta mwamsho mkubwa. Luther alikuwa ameamsha watu kuona haja<br />

<strong>ya</strong> Matengenezo, na sasa watu wengine waaminifu wa kweli wakaongozwa viba<strong>ya</strong> na madai<br />

<strong>ya</strong> “manabii” wap<strong>ya</strong>. Waongozi wa kazi wakaendelea pale Wittenberg na wakalazimisha<br />

madai <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> Melanchton: “Tumetumwa na Mungu kwa kufundisha watu. Tulikuwa na<br />

mazungumzo <strong>ya</strong> kawaida pamoja na Mungu; tunajua jambo litakalotokea; kwa neno moja,<br />

tunakuwa mitume na manabii, na tunatoa mwito kwa Mwalimu Luther.”<br />

Watengenezaji wakafazaika. Akasema Melanchton; hapa panakuwa kweli roho za ajabu<br />

katika watu hawa; lakini roho gani? ... Kwa upande mwengine tujihazari kuzima Roho wa<br />

Mungu, na kwa upande mwengine, kwa kudanganywa na roho <strong>ya</strong> Shetani.”<br />

Tunda la Mafundisho Map<strong>ya</strong> Limeonekana (limetambulika)<br />

Watu wakaongozwa kuzarau Biblia ao kuikataa yote kabisa. Wanafunzi wakaacha<br />

mafundisho <strong>ya</strong>o na kutoka kwa chuo kikubwa. Watu waliojizania kwamba ni wenye uwezo<br />

kwa kurudisha nafsi na kuongoza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo wakafaulu tu kuileta katika uharibifu.<br />

Sasa Wakatoliki wakapata tumaini lao, nakulalamika kwa furaha. “Juhudi <strong>ya</strong> mwisho tena, na<br />

wote watakuwa wetu.”<br />

Luther huko Wartburg, aliposikia mambo <strong>ya</strong>liyotendeka, akasema na masikitiko sana:<br />

“Nilifikiri wakati wowote kwamba Shetani angetumia mateso ha<strong>ya</strong>.” Akatambua tabia <strong>ya</strong><br />

kweli <strong>ya</strong> wale waliojidai kuwa “manabii.” Upinzani wa Papa na mfalme haukumletea<br />

mashaka makubwa sana na shida kama sasa. Miongoni mwa waliojidai kuwa “rafiki” za<br />

Matengenezo, kukatokea adui zake waba<strong>ya</strong> kuliko kwa kuamsha vita na kuleta fujo.<br />

Luther aliongozwa na Roho wa Mungu na kupelekwa mbali <strong>ya</strong> kujisikia binafsi. Huku kila<br />

mara alikuwa akitetemeka kwa matokeo <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke: “Kama ningelijua kwamba mafundisho<br />

<strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong>liumiza mtu mmoja, mtu mmoja tu, ingawa mnyenyekevu na mnyonge-lisipoweza<br />

kuwa, kwani linakuwa ni injili yenyewe--ningekufa mara kumi kuliko mimi kuikana.”<br />

Wittenberg yenyewe ilikuwa ikianguka chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> ushupavu wa dini isiyo <strong>ya</strong><br />

akili na machafuko. Katika Ujeremani pote adui za Luther wakatwika mzigo huo juu <strong>ya</strong>ke.<br />

Katika uchungu wa roho akajiuliza, “Je, ni hapo basi kazi hii kubwa <strong>ya</strong> Matengenezo ilipaswa<br />

kumalizikia?” Tena, kama vile alikuwa akishindana na Mungu katika sala, amani ikaingia<br />

moyoni mwake. “Kazi si <strong>ya</strong>ngu, bali ni <strong>ya</strong>ko mwenyewe,” akasema. Lakini akakusudia kurudi<br />

Wittenberg.<br />

72

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!