Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Watu wachache wakajizania wenyewe kupokea mafumbulio <strong>ya</strong> kipekee kutoka Mbinguni<br />
na kuchaguliwa na Mungu kwa kutimiza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo ambayo ilianzishwa kwa<br />
uzaifu na Luther. Kwa kweli, walibomoa kile Mtengenezaji alichofan<strong>ya</strong>. Walikataa kanuni <strong>ya</strong><br />
Matengenezo kwamba Neno la Mungu ni amri moja tu, <strong>ya</strong> kutosha <strong>ya</strong> imani na maisha. Kwa<br />
kiongozi kile kisichokosa wakaweka maagizo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> hakika, <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>o<br />
wenyewe na maono.<br />
Wengine kwa urahisi wakaelekea kwa ushupavu na kujiunga pamoja nao. Mambo <strong>ya</strong><br />
wenye bidii hawa <strong>ya</strong>kaleta mwamsho mkubwa. Luther alikuwa ameamsha watu kuona haja<br />
<strong>ya</strong> Matengenezo, na sasa watu wengine waaminifu wa kweli wakaongozwa viba<strong>ya</strong> na madai<br />
<strong>ya</strong> “manabii” wap<strong>ya</strong>. Waongozi wa kazi wakaendelea pale Wittenberg na wakalazimisha<br />
madai <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> Melanchton: “Tumetumwa na Mungu kwa kufundisha watu. Tulikuwa na<br />
mazungumzo <strong>ya</strong> kawaida pamoja na Mungu; tunajua jambo litakalotokea; kwa neno moja,<br />
tunakuwa mitume na manabii, na tunatoa mwito kwa Mwalimu Luther.”<br />
Watengenezaji wakafazaika. Akasema Melanchton; hapa panakuwa kweli roho za ajabu<br />
katika watu hawa; lakini roho gani? ... Kwa upande mwengine tujihazari kuzima Roho wa<br />
Mungu, na kwa upande mwengine, kwa kudanganywa na roho <strong>ya</strong> Shetani.”<br />
Tunda la Mafundisho Map<strong>ya</strong> Limeonekana (limetambulika)<br />
Watu wakaongozwa kuzarau Biblia ao kuikataa yote kabisa. Wanafunzi wakaacha<br />
mafundisho <strong>ya</strong>o na kutoka kwa chuo kikubwa. Watu waliojizania kwamba ni wenye uwezo<br />
kwa kurudisha nafsi na kuongoza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo wakafaulu tu kuileta katika uharibifu.<br />
Sasa Wakatoliki wakapata tumaini lao, nakulalamika kwa furaha. “Juhudi <strong>ya</strong> mwisho tena, na<br />
wote watakuwa wetu.”<br />
Luther huko Wartburg, aliposikia mambo <strong>ya</strong>liyotendeka, akasema na masikitiko sana:<br />
“Nilifikiri wakati wowote kwamba Shetani angetumia mateso ha<strong>ya</strong>.” Akatambua tabia <strong>ya</strong><br />
kweli <strong>ya</strong> wale waliojidai kuwa “manabii.” Upinzani wa Papa na mfalme haukumletea<br />
mashaka makubwa sana na shida kama sasa. Miongoni mwa waliojidai kuwa “rafiki” za<br />
Matengenezo, kukatokea adui zake waba<strong>ya</strong> kuliko kwa kuamsha vita na kuleta fujo.<br />
Luther aliongozwa na Roho wa Mungu na kupelekwa mbali <strong>ya</strong> kujisikia binafsi. Huku kila<br />
mara alikuwa akitetemeka kwa matokeo <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke: “Kama ningelijua kwamba mafundisho<br />
<strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong>liumiza mtu mmoja, mtu mmoja tu, ingawa mnyenyekevu na mnyonge-lisipoweza<br />
kuwa, kwani linakuwa ni injili yenyewe--ningekufa mara kumi kuliko mimi kuikana.”<br />
Wittenberg yenyewe ilikuwa ikianguka chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> ushupavu wa dini isiyo <strong>ya</strong><br />
akili na machafuko. Katika Ujeremani pote adui za Luther wakatwika mzigo huo juu <strong>ya</strong>ke.<br />
Katika uchungu wa roho akajiuliza, “Je, ni hapo basi kazi hii kubwa <strong>ya</strong> Matengenezo ilipaswa<br />
kumalizikia?” Tena, kama vile alikuwa akishindana na Mungu katika sala, amani ikaingia<br />
moyoni mwake. “Kazi si <strong>ya</strong>ngu, bali ni <strong>ya</strong>ko mwenyewe,” akasema. Lakini akakusudia kurudi<br />
Wittenberg.<br />
72