Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kuu wakimusifu Mungu. “Mtu huyu,” wakasema, “ni mhubiri wa ukweli. Atakuwa Musa<br />
wetu, kutuongoza kutoka katika giza hii <strong>ya</strong> Misri.” Baada <strong>ya</strong> wakati upinzani ukaanza.<br />
Watawa wakamushambulia kwa zarau na matusi; wengine wakatumia ukali na matisho.<br />
Lakini Zwingli akachukua yote kwa uvumilivu.<br />
Wakati Mungu anapojita<strong>ya</strong>risha kuvunja viungo v<strong>ya</strong> pingu v<strong>ya</strong> ujinga na ibada <strong>ya</strong> sanamu<br />
Shetani anatumika na uwezo mkubwa sana kwa kufunika watu katika giza na kufunga<br />
minyororo <strong>ya</strong>o kwa nguvu zaidi. Roma ikaendelea kutia nguvu mp<strong>ya</strong> kwa kufungua soko<br />
<strong>ya</strong>ke katika mahali pote pa Ukristo, ukitoa msamaha kwa mali. Kila zambi ilikuwa na bei<br />
<strong>ya</strong>ke, na watu walipewa chetibila malipo kwa ajili <strong>ya</strong> zambi kama hazina <strong>ya</strong> kanisa ililindwa<br />
yenyekujaa vizuri. ... Hivi mashauri mawili ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>kaendelea--Roma kuruhusu zambi na<br />
kuifan<strong>ya</strong> kuwa chemchemi <strong>ya</strong> mapato <strong>ya</strong>ke, Watengenezaji kulaumu zambi na kuonyesha<br />
Kristo kama kipatanisho na mkombozi.<br />
Uchuuzi wa cheti cha Kuachiwa Zambi katika Usuisi<br />
Katika Ujermani biashara <strong>ya</strong> kuachiwa (zambi) iliongozwa na mwovu sana Tetzel. Katika<br />
Usuisi biashara hii ilikuwa chini <strong>ya</strong> uongozi wa Samson, mtawa wa Italia. Samson alikuwa<br />
amekwisha kujipatia pesa nyingi kutoka Ujeremani na Usuisi kwa kujaza hazina <strong>ya</strong> Papa.<br />
Sasa akapitia Usuisi, kun<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> wakulima masikini mapato <strong>ya</strong>o machache na kulipisha<br />
zawadi nyingi kutoka kwa watajiri. Mtengenezaji kwa upesi akaanza kumpinga. Kufanikiwa<br />
kwa Zwingli kulikuwa namna hiyo kufunua kujidai kwa mtawa huyu hata akashurutisha<br />
kutoka kwenda sehemu zingine. Huko Zurich, Zwingli akahubiri kwa bidii juu <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong><br />
biashara <strong>ya</strong> msamaha. Wakati Samson alipokaribia mahali pale akakutana na mjumbe<br />
aliyemtetea neno kutoka kwa baraza kwa kumwaambia aanze kazi, akatumia mwingilio wa<br />
hila, lakini, akarudishwa bila kuuzisha hata barua moja <strong>ya</strong> msamaha, kwa upesi akatoka<br />
Usuisi.<br />
Tauni, au Kifo Kikubwa, kikapitia kwa Usuisi kwa nguvu sana katika mwaka 1519. Wengi<br />
wakaongozwa kuona namna ilikuwa bure na bila damani masamaha <strong>ya</strong>liokuwa wakinunua;<br />
wakatamani sana msingi wa kweli wa imani <strong>ya</strong>o. Huko Zurich, Zwingli akagonjwa sana, na<br />
habari ikatangazwa sana kwamba alikufa. Kwa saa ile <strong>ya</strong> kujaribiwa akatazama kwa imani<br />
msalaba wa Kalvari, akatumaini kwamba kafara <strong>ya</strong> Kristo ilikuwa <strong>ya</strong> kutosha kwa ajili <strong>ya</strong><br />
zambi. Aliporudi kutoka kwa milango <strong>ya</strong> mauti, ilikuwa kwa ajili <strong>ya</strong> kuhubiri injili kwa bidii<br />
kubwa sana kuliko mbele. Watu wao wenyewe walitoka kuangalia mgonjwa karibu <strong>ya</strong> kifo,<br />
wakafahamu vizuri kuliko mbele, damani <strong>ya</strong> injili.<br />
Zwingli alifikia hali <strong>ya</strong> kuelewa wazi juu <strong>ya</strong> ukweli na kupata ujuzi ndani <strong>ya</strong>ke uwezo<br />
wake unaogeuza. “Kristo,” akasema, “... alitupatia ukombozi wa milele ... mateso <strong>ya</strong>ke ni ...<br />
kafara <strong>ya</strong> milele, na huleta kupona kwa milele; huridisha haki <strong>ya</strong> Mungu kwa milele kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> wale wote wanaotegemea juu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong>ke kwa imani <strong>ya</strong> nguvu na <strong>ya</strong> imara. ...<br />
Panapokuwa imani katika Mungu, kunakuwa na juhudi inayoendesha na kusukuma watu kwa<br />
kazi njema.”<br />
69