12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kuu wakimusifu Mungu. “Mtu huyu,” wakasema, “ni mhubiri wa ukweli. Atakuwa Musa<br />

wetu, kutuongoza kutoka katika giza hii <strong>ya</strong> Misri.” Baada <strong>ya</strong> wakati upinzani ukaanza.<br />

Watawa wakamushambulia kwa zarau na matusi; wengine wakatumia ukali na matisho.<br />

Lakini Zwingli akachukua yote kwa uvumilivu.<br />

Wakati Mungu anapojita<strong>ya</strong>risha kuvunja viungo v<strong>ya</strong> pingu v<strong>ya</strong> ujinga na ibada <strong>ya</strong> sanamu<br />

Shetani anatumika na uwezo mkubwa sana kwa kufunika watu katika giza na kufunga<br />

minyororo <strong>ya</strong>o kwa nguvu zaidi. Roma ikaendelea kutia nguvu mp<strong>ya</strong> kwa kufungua soko<br />

<strong>ya</strong>ke katika mahali pote pa Ukristo, ukitoa msamaha kwa mali. Kila zambi ilikuwa na bei<br />

<strong>ya</strong>ke, na watu walipewa chetibila malipo kwa ajili <strong>ya</strong> zambi kama hazina <strong>ya</strong> kanisa ililindwa<br />

yenyekujaa vizuri. ... Hivi mashauri mawili ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>kaendelea--Roma kuruhusu zambi na<br />

kuifan<strong>ya</strong> kuwa chemchemi <strong>ya</strong> mapato <strong>ya</strong>ke, Watengenezaji kulaumu zambi na kuonyesha<br />

Kristo kama kipatanisho na mkombozi.<br />

Uchuuzi wa cheti cha Kuachiwa Zambi katika Usuisi<br />

Katika Ujermani biashara <strong>ya</strong> kuachiwa (zambi) iliongozwa na mwovu sana Tetzel. Katika<br />

Usuisi biashara hii ilikuwa chini <strong>ya</strong> uongozi wa Samson, mtawa wa Italia. Samson alikuwa<br />

amekwisha kujipatia pesa nyingi kutoka Ujeremani na Usuisi kwa kujaza hazina <strong>ya</strong> Papa.<br />

Sasa akapitia Usuisi, kun<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> wakulima masikini mapato <strong>ya</strong>o machache na kulipisha<br />

zawadi nyingi kutoka kwa watajiri. Mtengenezaji kwa upesi akaanza kumpinga. Kufanikiwa<br />

kwa Zwingli kulikuwa namna hiyo kufunua kujidai kwa mtawa huyu hata akashurutisha<br />

kutoka kwenda sehemu zingine. Huko Zurich, Zwingli akahubiri kwa bidii juu <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong><br />

biashara <strong>ya</strong> msamaha. Wakati Samson alipokaribia mahali pale akakutana na mjumbe<br />

aliyemtetea neno kutoka kwa baraza kwa kumwaambia aanze kazi, akatumia mwingilio wa<br />

hila, lakini, akarudishwa bila kuuzisha hata barua moja <strong>ya</strong> msamaha, kwa upesi akatoka<br />

Usuisi.<br />

Tauni, au Kifo Kikubwa, kikapitia kwa Usuisi kwa nguvu sana katika mwaka 1519. Wengi<br />

wakaongozwa kuona namna ilikuwa bure na bila damani masamaha <strong>ya</strong>liokuwa wakinunua;<br />

wakatamani sana msingi wa kweli wa imani <strong>ya</strong>o. Huko Zurich, Zwingli akagonjwa sana, na<br />

habari ikatangazwa sana kwamba alikufa. Kwa saa ile <strong>ya</strong> kujaribiwa akatazama kwa imani<br />

msalaba wa Kalvari, akatumaini kwamba kafara <strong>ya</strong> Kristo ilikuwa <strong>ya</strong> kutosha kwa ajili <strong>ya</strong><br />

zambi. Aliporudi kutoka kwa milango <strong>ya</strong> mauti, ilikuwa kwa ajili <strong>ya</strong> kuhubiri injili kwa bidii<br />

kubwa sana kuliko mbele. Watu wao wenyewe walitoka kuangalia mgonjwa karibu <strong>ya</strong> kifo,<br />

wakafahamu vizuri kuliko mbele, damani <strong>ya</strong> injili.<br />

Zwingli alifikia hali <strong>ya</strong> kuelewa wazi juu <strong>ya</strong> ukweli na kupata ujuzi ndani <strong>ya</strong>ke uwezo<br />

wake unaogeuza. “Kristo,” akasema, “... alitupatia ukombozi wa milele ... mateso <strong>ya</strong>ke ni ...<br />

kafara <strong>ya</strong> milele, na huleta kupona kwa milele; huridisha haki <strong>ya</strong> Mungu kwa milele kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> wale wote wanaotegemea juu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong>ke kwa imani <strong>ya</strong> nguvu na <strong>ya</strong> imara. ...<br />

Panapokuwa imani katika Mungu, kunakuwa na juhudi inayoendesha na kusukuma watu kwa<br />

kazi njema.”<br />

69

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!