12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

utukufu wa Mungu. Kando <strong>ya</strong> babu wake mwanamke, alisikiliza hadizi chache za damani za<br />

Biblia alizokusan<strong>ya</strong> kwa shida kutoka kwa hadizi na mafundisho <strong>ya</strong> kanisa <strong>ya</strong>liyotokea<br />

zamani.<br />

Kwa umri wa miaka kumi na mitatu akaenda Berne, mahali palipokuwa shule lililokuwa<br />

la sifa sana katika Usuisi. Hapa, lakini, kukatokea hatari. Juhudi nyingi zikafanywa na watawa<br />

kwa kumvuta katika nyumba <strong>ya</strong> watawa. Kwa bahati baba <strong>ya</strong>ke akapata habari <strong>ya</strong> makusudi<br />

<strong>ya</strong> watawa. Aliona kwamba mafaa <strong>ya</strong> wakati ujao <strong>ya</strong> mwanawe <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kufa kwa ajili <strong>ya</strong><br />

imani <strong>ya</strong> dini na akamwongoza kurudi nyumbani.<br />

Agizo likasikiwa, lakini kijana hakuweza kurizika katika bonde lake la kuzaliwa, akaenda<br />

kufuata masomo <strong>ya</strong>ke huko Ba le. Ni hapo ambapo Zwingli alisikia mara <strong>ya</strong> kwanza injili <strong>ya</strong><br />

neema <strong>ya</strong> Mungu isionunuliwa. Huko Wittembach, alipokuwa akijifunza (kiyunani) Kigiriki<br />

na Kiebrania, akaongozwa kwa Maandiko matakatifu, kwa hivyo n<strong>ya</strong>li za nuru <strong>ya</strong> Mungu<br />

ikatolewa katika akili za wanafunzi aliokuwa akifundisha. Akatangaza kwamba kifo cha<br />

Kristo ni ukombozi wa kipekee wa mwenye zambi. Kwa Zwingli maneno ha<strong>ya</strong> ni n<strong>ya</strong>li <strong>ya</strong><br />

kwanza <strong>ya</strong> nuru unayotangulia mapambazuko.<br />

Zwingli akaitwa upesi kutoka Bale kwa kuingia kwa kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> maisha. Kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

kwanza ilikuwa katika vila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milima mirefu. Akatakaswa kama padri, “akajitoa wakfu na<br />

roho <strong>ya</strong>ke yote kwa kutafuta kweli <strong>ya</strong> Mungu.” Namna alizidi kutafuta Maandiko, zaidi tofauti<br />

ikaonekana kwake kati <strong>ya</strong> ukweli na mambo <strong>ya</strong> kupinga imani <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Roma. Akajitoa<br />

mwenyewe kwa Biblia kama Neno la Mungu, amri moja tu inayofaa na <strong>ya</strong> haki. Aliona<br />

kwamba Biblia inapaswa kuwa mfariji wake mwenyewe. Akatafuta usaada wowote kwa<br />

kupata ufahamu kamili wa maana <strong>ya</strong>ke, na akaomba usaada wa Roho Mtakatifu. “Nikaanza<br />

kumuomba Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong>ke, “baadaye akaandika, “na Maandiko <strong>ya</strong>kaanza<br />

kuwa rahisi zaidi kwangu.”<br />

Mafundisho <strong>ya</strong>liyohubiriwa na Zwingli ha<strong>ya</strong>kupokewa kutoka kwa Luther. Yalikuwa<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Kristo. “ikiwa Luther anahubiri Kristo,” akasema Mtengenezaji wa Usuisi,<br />

“anafan<strong>ya</strong> ninavyofan<strong>ya</strong>. ... Hakuna hata neno moja lililoandikwa nami kwa Luther wala<br />

lililoandikwa na Luther kwangu. Ni kwa sababu gani? ... Ili ipate kuonyeshwa namna gani<br />

Roho wa Mungu anakuwa katika sauti moja kwake mwenyewe, hivi sisi wawili, bila<br />

mgongano, tunafundisha mafundisho <strong>ya</strong> Kristo kwa ulinganifu kama huo.”<br />

Katika mwaka 1516 Zwingli akaalikwa kuhubiri katika nyumba <strong>ya</strong> watawa huko<br />

Einsiedeln. Hapa alipashwa kutumia kama Mtengenezaji mvuto ambao ungesikiwa mbali hata<br />

kuvuka milima mirefu (Alpes) alipozaliwa.<br />

Katika vitu v<strong>ya</strong> mvuto wa Einseideln ni sanamu <strong>ya</strong> Bikira, walisema kwamba ilikuwa na<br />

uwezo wakufan<strong>ya</strong>. Juu <strong>ya</strong> mlango wa nyumba <strong>ya</strong> watawa kulikuwa na maandiko, “Ni hapa<br />

kunapatikana msamaha wa zambi zote.” Makundi mengi wakaja kwa mazabahu <strong>ya</strong> Bikira<br />

67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!