Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
ulipashwa kwa kugeuza kanisa na ulimwengu, si kwa wakati wake mwenyewe tu, bali kwa<br />
vizazi vyote v<strong>ya</strong> baadaye. Luther aliagizwa upesi na mfalme kurudi nyumbani mwake.<br />
Tangazo hili lingefuata kwa upesi na hukumu <strong>ya</strong>ke. Mawingu <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong>kafunika njia <strong>ya</strong>ke,<br />
lakini kama alivyotoka Worms, moyo wake ukajaa na furaha na sifa.<br />
Baada <strong>ya</strong> kuondoka kwake, ili musimamo wake imara usizaniye kuwa uasi, Luther<br />
akaandika kwa mfalme: “Ninakuwa ta<strong>ya</strong>ri kwa kutii kwa moyo kabisa kwa utukufu wako,<br />
katika heshima wala katika zarau, katika maisha ao katika mauti, na kuto kukubali kitu<br />
kingine cho chote isipokuwa Neno la Mungu ambalo mtu huishi kwa ajili <strong>ya</strong>ke. ... Wakati<br />
faida <strong>ya</strong> milele,inahusika mapenzi <strong>ya</strong> Mungu si mtu anapashwa kujiweka chini <strong>ya</strong> mtu. Kwani<br />
kujitoa kwa namna ile katika mambo <strong>ya</strong> kiroho ni kuabudu kwa kweli, na kunapaswa<br />
kutolewa kwa Muumba peke <strong>ya</strong>ke.”<br />
Kwa safari kutoka Worms, watawala wa kanisa wakakaribisha kama mfalme mtawa<br />
aliyetengwa kwa kanisa, na watawala wa serkali wakamheshimu mtu aliyelaumiwa na<br />
mfalme. Akalazimishwa kuhubiri, na bila kujali makatazo <strong>ya</strong> mfalme, akaingia tena kwa<br />
mimbara. “Siku ahidi kamwe mimi mwenyewe kufunga neno la Mungu kwa mnyororo,”<br />
akasema, “ama sitalifunga.”<br />
Mda kidogo baada <strong>ya</strong> kutoka Worms, wasimamizi wa Papa wakamshawishi mfalme kutoa<br />
amri juu <strong>ya</strong>ke. Luther alitangazwa kama “Shetani mwenyewe chini <strong>ya</strong> umbo la mtu anayevaa<br />
kanzu <strong>ya</strong> watawa.” Mara ruhusa <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kupita inapomalizika, mipango ilipaswa kukamatwa<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> kukataza kumkaribisha, kumupa chakula wala kinywaji, ao kwa neno ao tendo,<br />
msaada wala kushirikiana naye. Alipashwa kutolewa mikononi mwa watawala, wafuasi wake<br />
pia kufungwa na mali <strong>ya</strong>o kun<strong>ya</strong>nganywa. Maandiko <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lipashwa kuharibiwa, na<br />
mwishowe, wote wangesubutu kutenda kinyume cha agizo hili walihusika katika hukumu<br />
<strong>ya</strong>ke. Mchaguzi wa Saxe na watawala wote, waliokuwa rafiki sana wa Mtengenezaji,<br />
walipotoka Worms baada kidogo <strong>ya</strong> kutoka kwake, na agizo la mfalme likapokea ukubali wa<br />
baraza. Waroma walishangilia. Wakaamini mwicho wa Mtengenezaji kutiwa mhuri kabisa.<br />
Mungu Anatumia Frederic wa Saxe<br />
Jicho la uangalifu lilifuata mwendo wa Luther, na moyo wa kweli na bora ulikusudia kwa<br />
kumwokoa. Mungu ukamtolea Frederic wa Saxe mpango kwa ajili <strong>ya</strong> ulinzi wa Mtengenezaji.<br />
Kwa safari <strong>ya</strong> kurudi nyumbani Luther akatengana na wafuasi wake na kwa haraka<br />
akapelekwa kwa njia <strong>ya</strong> mwitu kwa jumba la Wartburg, ngome <strong>ya</strong> ukiwa juu <strong>ya</strong> mlima.<br />
Maficho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lifanywa na fumbo ambalo hata Frederic mwenyewe hakujua<br />
mahalialipopelekwa. Ujinga huu ulikuwa na kusudi; hivi mchaguzi hakujua kitu, hangeweza<br />
kufunua kitu. Akatoshelewa kwamba Mtengenezaji alikuwa salama, akatulia.<br />
Mvua wa nyuma, wakati wajua kali, na wakati wa masika ukapita, na wakati wa baridi<br />
ukafika, na Luther aliendelea kuwa mfungwa. Aleander na wafuasi wake wakafurahi. Nuru<br />
65