12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Uwezo wa Mungu ulisema kupitia Luther kwa mfalme na watawala wa Ujeremani. Roho<br />

<strong>ya</strong>ke iliwasihi kwa mara <strong>ya</strong> mwisho kwa wengi katika mkutano ule. Kama Pilato, karne nyingi<br />

mbele <strong>ya</strong>o, kama vile Charles V, katika kujitoa kwa jeuri <strong>ya</strong> ulimwengu, akaamua kukana<br />

nuru <strong>ya</strong> ukweli.<br />

Mashauri juu <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>kaenea pote, <strong>ya</strong>kaleta wasiwasi katika mji wote. Rafiki wengi,<br />

walipojua ukali wa hila <strong>ya</strong> Roma, wakakusudia kwamba Mtengenezaji hakupaswa kutolewa<br />

kafara. Mamia <strong>ya</strong> wenye cheo wakaahidi kumlinda. Kwa milango <strong>ya</strong> nyumba na katika pahali<br />

pa watu wote matangazo <strong>ya</strong> kubandikwa ukutani <strong>ya</strong>kawekwa, mengine <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong>kuhukumu na mengine <strong>ya</strong> kumkubali Luther. Kwa tangazo moja kukaandikwa maneno <strong>ya</strong><br />

maana, “Ole wako, Ee inchi, wakati mfalme wako ni mtoto.” Muhubiri 10:16. Furaha nyingi<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> Luther ikasadikisha mfalme na baraza kwamba kila jambo lisilo la haki<br />

lililoonyeshwa kwake lingehatarisha amani <strong>ya</strong> ufalme na nguvu <strong>ya</strong> kiti cha mfalme.<br />

Juhudi kwa Ajili <strong>ya</strong> Masikilizano na Roma<br />

Frederic wa Saxony akaficha kwa uangalifu mawazo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli kwa ajili <strong>ya</strong><br />

Mtengenezaji. Kwa wakati ule akamlinda kwa uangalifu sana, kulinda mazunguko <strong>ya</strong>ke na<br />

<strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> maadui zake. Lakini wengi hawakujaribu kuficha huruma <strong>ya</strong>o kwa Luther. “Chumba<br />

kidogo cha mwalimu,” akaandika Spalatin, “hakiwezi kuenea wageni wote waliojileta<br />

wenyewe kwa kumuzuru.” Hata wale wasiokuwa na imani katika mafundisho <strong>ya</strong>ke<br />

hawakuweza kujizuia lakini kushangalia ule ukamilifu uliomuongoza kuvumilia mauti kuliko<br />

kuvunja zamiri <strong>ya</strong>ke.<br />

Juhudi nyingi zikafanyika kwa kupata kuwezesha Luther kupatana na Roma. Wenye cheo<br />

na watawala wakamuonyesha kwamba kama akifan<strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke pekee kupinga kanisa na<br />

baraza, hatahamishwa kukatiwa mbali <strong>ya</strong> ufalme na bila ulinzi. Tena akaombwa sana, kutii<br />

hukumu <strong>ya</strong> mfalme. Kwa hiyo hangaliogopa kitu. “Ninakubali,” akasema kwa kujibu, “na<br />

moyo wangu wote, kwamba mfalme, watawala, na hata Mkristo mnyonge sana, anapashwa<br />

kujaribu na kuhukumu kazi zangu; lakini kwa kanuni moja, kwamba wakamate neno la<br />

Mungu kuwa kipimo chao. Watu hawana kitu cha kufan<strong>ya</strong> bali kukitii.”<br />

Kwa mwito mwengine akasema: “Ninakubali kukana cheti cha usalama wangu. Naweka<br />

nafsi <strong>ya</strong>ngu na maisha <strong>ya</strong>ngu katika mikono <strong>ya</strong> mfalme, lakini neno la Mungu--kamwe!”<br />

Akataja mapenzi <strong>ya</strong>ke kwa kutii baraza la watu wote, lakini kwa kanuni kwamba baraza<br />

itakiwe kuamua kufuatana na Maandiko. “Kwa ile inayohusu neno la Mungu na imani, kila<br />

Mkristo anakuwa muhukumu mwema kama Papa, ingawa anatetewa na milioni <strong>ya</strong> mabaraza.”<br />

Wote wawili rafiki na maadui, mwishowe, wakasadikishwa kwamba juhudi zaidi juu <strong>ya</strong><br />

mapatano ingekuwa bure.<br />

Kama Mtengenezaji angelikubali jambo moja tu, Shetani na majeshi <strong>ya</strong>ke wangalipata<br />

ushindi. Lakini msimamo wake imara usiotikisika ulikuwa njia <strong>ya</strong> kuweka kanisa kwa uhuru.<br />

Mvuto wa mtu mmoja huyu aliyesubutu kufikiri na kutenda kwa ajili <strong>ya</strong>ke mwenyewe<br />

64

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!