12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

furaha na moyo akashuhudia ushujaa wa mwalimu na kujitawala kwake, na akajitahidi<br />

kusimama imara zaidi katika kumtetea. Aliona kwamba hekima <strong>ya</strong> wapapa, wafalme, na<br />

waaskofu inaonekana bure kwa uwezo wa ukweli.<br />

Mjumbe wa Papa alipoona mvuto wa maneno <strong>ya</strong> Luther, akaamua kutumia njia yote <strong>ya</strong><br />

uwezo wake ili kumwangamiza Mtengenezaji. Kwa elimu na akili <strong>ya</strong> ujanja akaonyesha<br />

mfalme kijana hatari <strong>ya</strong> kupoteza urafiki usaada wa Roma kwa ajili <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> mtawa<br />

asiye na maana.<br />

Kesho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> jibu wa Luther, Charles akatangaza kwa baraza kusudi lake kwa kudumisha<br />

na kulinda dini <strong>ya</strong> Katoliki. Mashauri <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong>lipashwa kutumiwa juu <strong>ya</strong> Luther na<br />

mambo <strong>ya</strong> upinzani wa imani <strong>ya</strong> dini aliyofundisha: “Nitatoa mfalme zangu kafara, hazina<br />

zangu , rafiki zangu, mwili wangu, damu <strong>ya</strong>ngu, roho <strong>ya</strong>ngu na maisha <strong>ya</strong>ngu. ...<br />

Nitamushitaki na wafuasi wake, kama waasi wapinga imani <strong>ya</strong> dini, kwa kuwatenga kwa<br />

Ushirika takatifu, kwa mkatazo, na kwa namna yo yote iliyofikiriwa kwa kuwaangamiza.”<br />

Lakini, mfalme akatangaza, hati <strong>ya</strong> kupita salama <strong>ya</strong> Luther inapaswa kuheshimiwa.<br />

Anapashwa kuruhusiwa kufika nyumbani mwake salama.<br />

Cheti cha Usalama cha Luther Katika Hatari<br />

Wajumbe wa Papa tena wakaagiza kwamba hati <strong>ya</strong> kupita salama <strong>ya</strong> Mtengenezaji<br />

isiheshimiwe. “Rhine (jina la mto) unapashwa kupokea majivu <strong>ya</strong>ke, kama ulivyopokea <strong>ya</strong>le<br />

majivu <strong>ya</strong> John Huss kwa karne iliyopita.” Lakini watawala wa Ujeremani, ingawa<br />

walijitangaza kuwa adui kwa Luther, wakakataa kuvunja ahadi iliotolewa mbele <strong>ya</strong> taifa.<br />

Wakataja misiba ambayo iliyofuata kifo cha Huss. Hawakusubutu kuleta juu <strong>ya</strong> Ujeremani<br />

maovu makali mengine.<br />

Charles, kwa kujibu kwa shauri mba<strong>ya</strong>, akasema: “Ijapo heshima na imani ingepaswa<br />

kufutwa mbali ulimwenguni mwote, vinapaswa kupata kimbilio ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> wafalme.”<br />

Akalazimishwa na maadui wa Luther wa kipapa kumtendea Mtengenezaji kama vile<br />

Sigismund alivyomtendea Huss. Lakini akakumbuka Huss alipoonyesha minyororo <strong>ya</strong>ke kati<br />

<strong>ya</strong> makutano na kumkumbusha mfalme juu <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>ke aliyoahidi, Charles V akasema,<br />

“Singetaka kufazaika kama Sigismund.”<br />

Lakini kwa kusudi tu Charles akakataa ukweli uliotolewa na Luther. Alikataa kuacha njia<br />

<strong>ya</strong> desturi kwa kutembea katika njia za kweli na haki. Kama baba zake, alitaka kupigania dini<br />

<strong>ya</strong> Papa. Kwa hiyo akakataa kukubali nuru mbele <strong>ya</strong> wazazi wake. Kwa siku zetu, kuna wengi<br />

wanaoshikilia desturi za asili za mababa zao. Wakati Bwana anapotuma nuru mp<strong>ya</strong> wanakataa<br />

kuipokea kwa sababu haikupokelewa na wababa wao. Hatutakubaliwa na Mungu<br />

tunapotazama kwa wababa wetu kwa kuamua wajibu wetu pahali pa kutafuta Neno la Kweli<br />

kwa ajili yetu wenyewe. Tutaulizwa juu <strong>ya</strong> nuru mp<strong>ya</strong> inayoangaza sasa juu yetu kutoka kwa<br />

Neno la Mungu.<br />

63

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!