12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

sanamu hata mwanzoni hawakuona nguvu <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong> Luther, lakini kukariri<br />

kukawawezesha kuelewa wazi wazi mambo <strong>ya</strong>liyoonyeshwa.<br />

Wale waliofunga macho <strong>ya</strong>o kwa nuru juu <strong>ya</strong> ugumu wakakasirishwa na uwezo wa<br />

maneno <strong>ya</strong> Luther. Mnenaji mkuu wa baraza akasema kwa hasira: “Haujajibu swali<br />

lililotolewa kwako. ... Unatakiwa kutoa jibu la wazi na halisi. ... Utakana wala hutakana?”<br />

Mtengenezaji akajibu: “Hivi mtukufu mwema na mwenye uwezo sana unaniomba jibu wazi,<br />

raisi,aawa sawa, nitakutolea moja, na ni hili: Siwezi kutoa imani <strong>ya</strong>ngu kwa Papa ao kwa<br />

baraza, kwa sababu ni wazi kama siku ambayo walikosa na mara kwa mara kubishana<br />

wenyewe kwa wenyewe. Ila tu nikisadikishwa na ushuhuda wa Maandiko,... Siwezi na<br />

sitakana, kwani si salama kwa Mkristo kusema kinyume cha zamiri <strong>ya</strong>ke. Ni hapa<br />

ninasimamia, siwezi kufan<strong>ya</strong> namna ingine; basi Mungu anisaidie. Amen.”<br />

Ndivyo mtu huyu wa haki alivyosimama. Ukuu wake na usafi wa tabia, amani <strong>ya</strong>ke na<br />

furaha <strong>ya</strong> moyo, vilionekana kwa wote alipokuwa akishuhudia ukubwa wa imani hiyo<br />

inayoshinda ulimwengu. Kwa jibu lake la kwanza Luther alisema na adabu, kwa hali <strong>ya</strong> utii<br />

kabisa. Watu wa Papa walizania kwamba kuomba wakati ilikuwa tu mwanzo wa kukana.<br />

Charles mwenyewe, alipoona hali <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong> mtawa, mavazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> zamani,<br />

na urahisi wa hotuba <strong>ya</strong>ke, akatangaza: “Mtawa huyu hatanifan<strong>ya</strong> kamwe kuwa mpinga imani<br />

<strong>ya</strong> dini.” Lakini ushujaa na nguvu alioshuhudia sasa, uwezo wa akili <strong>ya</strong>ke, ukashangaza watu<br />

wote. Mfalme aliposhangaa sana, akapaza sauti: “Mtawa huyu anasema bila kuogopa na moyo<br />

usiotikisika.”<br />

Wafuasi wa Roma wakashindwa. Wakatafuta kushikilia mamlaka <strong>ya</strong>o, si kwa kukimbilia<br />

kwa Maandiko, bali kwa vitisho, inayokuwa kawaida la Roma. Musemaji wa baraza akasema:<br />

“Kama hutaki kukana, mfalme na wenye vyeo wa ufalme wataona jambo gani la kufan<strong>ya</strong> juu<br />

<strong>ya</strong> mpinga imani <strong>ya</strong> diniasiye sikia nashauri.” Luther akasema kwa utulivu: “Mungu<br />

anisaidie, kwani siwezi kukana kitu kamwe.”<br />

Wakamwomba atoke wakati watawala walipokuwa wakishauriana pamoja. Kukataa kutii<br />

kwa Luther kungeuza historia <strong>ya</strong> Kanisa kwa m<strong>ya</strong>ka nyingi. Wakakata shauri kwa kumpatia<br />

nafasi tena <strong>ya</strong> kukana. Tena swali likaulizwa. Je, angewezekana mafundisho <strong>ya</strong>ke? “Sina jibu<br />

lingine la kutoa,” akasema, “kuliko lile nililokwisha kutoa.”<br />

Waongozi wa Papa wakahuzunika kwamba uwezo wao ulizarauliwa na mtawa maskini.<br />

Luther alisema kwa wote kwa heshima inayomfaa Mkristo na utulivu, maneno <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>kuwa<br />

na hasira wala masingizio. Akajisahau mwenyewe na kujiona kwamba alikuwa mbele tu <strong>ya</strong><br />

yeye aliye mkuu wa mwisho sana kuliko wapapa, wafalme, na wafalme (wakuu). Roho <strong>ya</strong><br />

Mungu ilikuwa pale, kuvuta mioyo <strong>ya</strong> wakubwa wa ufalme.<br />

Watawala wengi wakakubali wazi wazi haki <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> Luther. Kundi lingine kwa<br />

wakati ule halikuonyesha imani <strong>ya</strong>o, lakini kwa wakati uliokuja wakasaidia bila woga<br />

matengenezo. Mchaguzi Frederic, akasikiliza maneno <strong>ya</strong> Luther na kuchomwa moyo. Kwa<br />

62

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!