12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Luther akawaza juu <strong>ya</strong> jibu lake, akachunguza maneno katika maandiko <strong>ya</strong>ke, na akapata<br />

kwa Maandiko matakatifu mahakikisho <strong>ya</strong> kufaa kwa kusimamia maneno <strong>ya</strong>ke. Ndipo, akatia<br />

mkono wake wa kushoto kwa Kitabu Kitakatifu, akainua mkono wake wa kuume mbinguni<br />

na akaapa kwa kiapo “kukua mwaminifu kwa injili, na kwa uhuru kutangaza imani <strong>ya</strong>ke, hata<br />

ingeweza kutia mhuri kwa ushuhuda wake kwa kumtia damu <strong>ya</strong>ke.”<br />

Luther Mbele <strong>ya</strong> Baraza Tena<br />

Wakati alipoingizwa tena ndani <strong>ya</strong> Baraza, alikuwa mwenye ukim<strong>ya</strong> na amani, lakini<br />

shujaa mwenye tabia nzuri, kama mshuhuda wa Mungu miongoni mwa wakuu wa dunia.<br />

Ofisa wa mfalme akauliza uamuzi wake. Je, alitaka kukana? Luther akatoa jibu lake kwa sauti<br />

<strong>ya</strong> unyenyekevu, bila ugomvi wala hasira. Mwenendo wake ulikuwa wa wasiwasi na wa<br />

heshima; lakini akaonyesha tumaini na furaha ambayo ilishangaza makutano.<br />

“Mfalme mwema sana, watawala watukufu, mabwana wa neema,” akasema Luther,<br />

“naonekana mbele yenu leo, kufuatana na agizo nililopewa jana. Kama katika ujinga,<br />

ningevunja desturi utaratibu wa mahakama, ninaomba munirehemu; kwani sikukomalia<br />

katika ma nyumba <strong>ya</strong> wafalme, bali katika maficho <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong> watawa.”<br />

Ndipo akasema kwamba katika kazi zake zingine zilizochapwa alieleza habari <strong>ya</strong> imani<br />

na matendo mema; hata maadui zake walizitangaza kuwa za kufaa. Kuzikana ingehukumu<br />

kweli ambazo wote walikubali. Aina <strong>ya</strong> pili ni <strong>ya</strong> maandiko <strong>ya</strong> kufunua makosa na matumizi<br />

maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> cheo cha Papa. Kuharibu ha<strong>ya</strong> ni kuimarisha jeuri <strong>ya</strong> Roma na kufungua mlango<br />

kuwa wazi sana kwa ukosefu wa heshima kwa Mungu. Katika aina <strong>ya</strong> tatu alishambulia watu<br />

waliosimamia maovu <strong>ya</strong>nayokuwako. Kwa ajili <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> akakiri kwa uhuru kwamba<br />

alikuwa mkali zaidi kuliko ilivyofaa. Lakini hata vitabu hivi hataweza kuvikana kwani adui<br />

za ukweli wangepata nafasi kwa kulaani watu wa Mungu kwa ukali mwingi zaidi.<br />

Akaendelea, “Nitajitetea mwenyewe kama Kristo alivyofan<strong>ya</strong>: Kama nimesema viba<strong>ya</strong>,<br />

kushuhudia juu <strong>ya</strong> uovu’ ... Kwa huruma za Mungu, ninakusihi, mfalme asio na upendeleo,<br />

na ninyi, watawala bora, na watu wote wa kila aina, kushuhudia kutoka kwa maandiko <strong>ya</strong><br />

manabii na mitume kwamba nilidanganyika. Mara moja ninapokwisha kusadikishwa kwa<br />

jambo hili, nitakana makosa yote, na nitakuwa wa kwanza kushika vitabu v<strong>ya</strong>ngu na kuvitupa<br />

motoni. ...<br />

“Bila wasiwasi, ninafurahi kuona kwamba injili inakuwa sasa kama kwa n<strong>ya</strong>kati za<br />

zamani, ambayo ni chanzo cha taabu na fitina. Hii ni tabia, na mwisho wa neno la Mungu.<br />

`Sikuja kuleta salama duniani lakini upanga,’alisema Yesu Kristo. ... Mujihazali kwamba kwa<br />

kuzania munazuia ugomvi musitese Neno takatifu la Mungu na kuangusha juu yenu garika la<br />

kutisha la hatari kubwa za misiba <strong>ya</strong> sasa, na maangamizi <strong>ya</strong> milele.”<br />

Luther alisema kwa Kijeremani; Sasa aliombwa kukariri maneno <strong>ya</strong>le<strong>ya</strong>le kwa Kilatini.<br />

Akatoa tena maneno <strong>ya</strong>ke wazi wazi kama mara <strong>ya</strong> kwanza. Uongozi wa Mungu<br />

ulimusimamia katika jambo hili. Watawala wengi walipofushwa sana na makosa na ibada <strong>ya</strong><br />

61

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!