You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Luther akawaza juu <strong>ya</strong> jibu lake, akachunguza maneno katika maandiko <strong>ya</strong>ke, na akapata<br />
kwa Maandiko matakatifu mahakikisho <strong>ya</strong> kufaa kwa kusimamia maneno <strong>ya</strong>ke. Ndipo, akatia<br />
mkono wake wa kushoto kwa Kitabu Kitakatifu, akainua mkono wake wa kuume mbinguni<br />
na akaapa kwa kiapo “kukua mwaminifu kwa injili, na kwa uhuru kutangaza imani <strong>ya</strong>ke, hata<br />
ingeweza kutia mhuri kwa ushuhuda wake kwa kumtia damu <strong>ya</strong>ke.”<br />
Luther Mbele <strong>ya</strong> Baraza Tena<br />
Wakati alipoingizwa tena ndani <strong>ya</strong> Baraza, alikuwa mwenye ukim<strong>ya</strong> na amani, lakini<br />
shujaa mwenye tabia nzuri, kama mshuhuda wa Mungu miongoni mwa wakuu wa dunia.<br />
Ofisa wa mfalme akauliza uamuzi wake. Je, alitaka kukana? Luther akatoa jibu lake kwa sauti<br />
<strong>ya</strong> unyenyekevu, bila ugomvi wala hasira. Mwenendo wake ulikuwa wa wasiwasi na wa<br />
heshima; lakini akaonyesha tumaini na furaha ambayo ilishangaza makutano.<br />
“Mfalme mwema sana, watawala watukufu, mabwana wa neema,” akasema Luther,<br />
“naonekana mbele yenu leo, kufuatana na agizo nililopewa jana. Kama katika ujinga,<br />
ningevunja desturi utaratibu wa mahakama, ninaomba munirehemu; kwani sikukomalia<br />
katika ma nyumba <strong>ya</strong> wafalme, bali katika maficho <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong> watawa.”<br />
Ndipo akasema kwamba katika kazi zake zingine zilizochapwa alieleza habari <strong>ya</strong> imani<br />
na matendo mema; hata maadui zake walizitangaza kuwa za kufaa. Kuzikana ingehukumu<br />
kweli ambazo wote walikubali. Aina <strong>ya</strong> pili ni <strong>ya</strong> maandiko <strong>ya</strong> kufunua makosa na matumizi<br />
maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> cheo cha Papa. Kuharibu ha<strong>ya</strong> ni kuimarisha jeuri <strong>ya</strong> Roma na kufungua mlango<br />
kuwa wazi sana kwa ukosefu wa heshima kwa Mungu. Katika aina <strong>ya</strong> tatu alishambulia watu<br />
waliosimamia maovu <strong>ya</strong>nayokuwako. Kwa ajili <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> akakiri kwa uhuru kwamba<br />
alikuwa mkali zaidi kuliko ilivyofaa. Lakini hata vitabu hivi hataweza kuvikana kwani adui<br />
za ukweli wangepata nafasi kwa kulaani watu wa Mungu kwa ukali mwingi zaidi.<br />
Akaendelea, “Nitajitetea mwenyewe kama Kristo alivyofan<strong>ya</strong>: Kama nimesema viba<strong>ya</strong>,<br />
kushuhudia juu <strong>ya</strong> uovu’ ... Kwa huruma za Mungu, ninakusihi, mfalme asio na upendeleo,<br />
na ninyi, watawala bora, na watu wote wa kila aina, kushuhudia kutoka kwa maandiko <strong>ya</strong><br />
manabii na mitume kwamba nilidanganyika. Mara moja ninapokwisha kusadikishwa kwa<br />
jambo hili, nitakana makosa yote, na nitakuwa wa kwanza kushika vitabu v<strong>ya</strong>ngu na kuvitupa<br />
motoni. ...<br />
“Bila wasiwasi, ninafurahi kuona kwamba injili inakuwa sasa kama kwa n<strong>ya</strong>kati za<br />
zamani, ambayo ni chanzo cha taabu na fitina. Hii ni tabia, na mwisho wa neno la Mungu.<br />
`Sikuja kuleta salama duniani lakini upanga,’alisema Yesu Kristo. ... Mujihazali kwamba kwa<br />
kuzania munazuia ugomvi musitese Neno takatifu la Mungu na kuangusha juu yenu garika la<br />
kutisha la hatari kubwa za misiba <strong>ya</strong> sasa, na maangamizi <strong>ya</strong> milele.”<br />
Luther alisema kwa Kijeremani; Sasa aliombwa kukariri maneno <strong>ya</strong>le<strong>ya</strong>le kwa Kilatini.<br />
Akatoa tena maneno <strong>ya</strong>ke wazi wazi kama mara <strong>ya</strong> kwanza. Uongozi wa Mungu<br />
ulimusimamia katika jambo hili. Watawala wengi walipofushwa sana na makosa na ibada <strong>ya</strong><br />
61