12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

heshima, na kupokelewa mbele <strong>ya</strong> mkutano wa heshima sana katika ulimwengu. ... Roma<br />

ilikuwa ikishuka kutoka kitini chake, nailikuwa ni sauti la mtawa lililomushusha.”<br />

Mzaliwa mnyenyekevu Mtengenezaji akaonekanamwenye kutishwa na kufazaika.<br />

Wafalme wengi, wakamkaribia, na mmoja akamnongoneza “Musiwaogope wanaoua mwili<br />

lakini hawawezi kuua nafsi.” Mwengine akasema: “Na mutakapopelekwa mbele <strong>ya</strong> watawala<br />

na wafalme kwa ajili <strong>ya</strong>ngu, mtapewa kwa njia <strong>ya</strong> roho wa baba yenu lile mtakalo lisema.”<br />

Tazama Matayo 10:28, 18, 19.<br />

Ukim<strong>ya</strong> mwingi ukawa juu <strong>ya</strong> mkutano uliosongana. Ndipo afisa mmoja wa mfalme<br />

akasimama na, kushota kwa maandiko <strong>ya</strong> Luther, akauliza kwamba Mtengenezaji ajibu<br />

maswali mawili-ao ata<strong>ya</strong>kubali kwamba ni <strong>ya</strong>ke, na ao atakusudia kukana mashauri<br />

<strong>ya</strong>nayoandikwa humo. Vichwa v<strong>ya</strong> vitabu vilipokwisha kusomwa, Luther, kwa swali la<br />

kwanza, akakubali vitabu kuwa v<strong>ya</strong>ke. “Kwa swali la pili,” akasema, ningetenda bila busara<br />

kama ningejibu bila kufikiri. Ningehakikisha kidogo kuliko hali <strong>ya</strong> mambo inavyotaka, ao<br />

zaidi kuliko kweli inavyotaka. Kwa sababu hiyo ninaomba mfalme mtukufu, kwa<br />

unyenyekevu wote, unitolee wakati, ili nipate kujibu bila kukosa juu <strong>ya</strong> neno la Mungu.”<br />

Luther akasadikisha makutano kwamba hakutenda kwa hasira ao bila kufikiri. Utulivu<br />

huu, na kujitawala, isiyotazamiwa kwa mtu aliyejionyesha kuwa mgumu na asiyebadili shauri<br />

<strong>ya</strong>kamwezesha baadaye kujibu kwa busara na heshima ikashangaza maadui zake na kukemea<br />

kiburi chao.<br />

Kesho <strong>ya</strong>ke alipashwa kutoa jibu lake la mwisho. Kwa mda moyo wake ukadidimia.<br />

Maadui zake walionekana kwamba wangeshinda. Mawingu <strong>ya</strong>kakusanyika kando <strong>ya</strong>ke na<br />

<strong>ya</strong>kaonekana kumtenga na Mungu. Katika maumivu <strong>ya</strong> roho akatoa malalamiko <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong><br />

kuhuzunisha sana, ambayo Mungu tu anaweza ku<strong>ya</strong>fahamu kabisa.<br />

“Ee Mwenyezi Mungu wa milele!” akapaza sauti; “kama ni kwa nguvu za ulimwengu huu<br />

tu ambapo napashwa kutia tumaini langu, yote imekwisha. ... Saa <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> mwisho imefika,<br />

hukumu <strong>ya</strong>ngu imekwisha kutangazwa. ... Ee Mungu, unisaidie juu <strong>ya</strong> hekima yote <strong>ya</strong><br />

ulimwengu. ... Mwanzo ni wako, ... na ni mwanzo wa haki na wa milele. Ee Bwana, unisaidie!<br />

Mungu mwaminifu na asiyebadilika, mimi si mtumainie mtu ye yote. ... Umenichagua kwa<br />

kazi hii. ... Simama kwa upande wangu, kwa ajili <strong>ya</strong> jina la mpendwa wako Yesu Kristo,<br />

anayekuwa mkingaji wangu, ngao <strong>ya</strong>ngu, na mnara wangu wa nguvu.”<br />

Lakini haikuwa hofu <strong>ya</strong> mateso, maumivu, wala mauti <strong>ya</strong>ke mwenyewe ambayo ilimlemea<br />

na hofu kuu. Alijisika upungufu wake. Katika uzaifu wake madai <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>ngeweza kupata<br />

hasara. Si kwa usalama wake mwenyewe, bali kwa ajili <strong>ya</strong> ushindi wa injili alishindana na<br />

Mungu. Katika ukosefu wa usaada imani <strong>ya</strong>ke ikashikilia juu <strong>ya</strong> Kristo, Mkombozi mkuu.<br />

Hangeonekana pekee <strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong> baraza. Amani ikarudi kwa roho <strong>ya</strong>ke, na akafurahi<br />

kwamba aliruhusiwa kuinua Neno la Mungu mbele <strong>ya</strong> watawala wa mataifa.<br />

60

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!