You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kukaribia kwake huko Worms kukafan<strong>ya</strong> msukosuko mkubwa. Rafiki wakatetemeka kwa<br />
ajili <strong>ya</strong> usalama wake; maadui wakaogopa kwa ajili <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>o. Kwa ushawishi wa<br />
wapadri akalazimishwa kwenda kwa ngome <strong>ya</strong> mwenye cheo mwema, mahali, ilitangazwa,<br />
magumu yote <strong>ya</strong>ngeweza kutengenezwa kwa kirafiki. Warafiki wakaonyesha hatari<br />
zilizomngoja. Luther, bila kutikisika, akatangaza: “Hata kukiwa mashetani wengi ndani <strong>ya</strong><br />
mji wa Worms kama vigae juu <strong>ya</strong> nyumba, lazima nitaingia.”<br />
Alipofika Worms, makundi <strong>ya</strong> watu wengi sana <strong>ya</strong>kakusanyika kwa milango <strong>ya</strong> mji kwa<br />
kumukaribisha. Kulikuwa wasiwasi nyingi sana. “Mungu atakuwa mkingaji wangu,” akasema<br />
Luther alipokuwa akishuka kwa gari lake. Kufika kwake kulijaza wapadri hofu kuu. Mfalme<br />
akawaita washauri wake. Ni upande gani unaopashwa kufuatwa? Padri mmoja mkali<br />
akatangaza: “Tumeshauriana mda mrefu juu <strong>ya</strong> jambo hili. Mfalme mtukufu uondoshe mbio<br />
mtu huyu. Upesi, Sigismund hakuwezesha John Huss kuchomwa? Hatulazimishwe kutoa<br />
cheti cha mpinga imani <strong>ya</strong> dini wala kuliheshimu.m “Hapana,” akasema mfalme,<br />
“tunapashwa kushika ahadi yetu.” Tulipatana kwamba Mtengenezaji angepashwa kusikiwa.<br />
Mji wote ulitamani kuona mtu huyu wa ajabu. Luther, mwenye kuchoka sababu <strong>ya</strong> safari,<br />
alihitaji ukim<strong>ya</strong> na pumziko. Lakini alifurahia pumziko <strong>ya</strong> saa chache wakati watu wa cheo<br />
kikuu, wenye cheo, wapadri, na wanainchi walimuzunguka kabisa. Kati <strong>ya</strong> watu hawa<br />
walikuwa wenye cheo walioomba na juhudi kwa mfalme matengenezo <strong>ya</strong> matumizi maba<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong> kanisa. Maadui pamoja na rafiki walifika kumtazama mwa shujaa. Kuvumulia kwake<br />
kulikuwa imara na kwa uhodari. Uso wake mdogo wakufifia, ulikuwa uso wa upole na hata<br />
wa furaha. Juhudi nyingi <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>ke ikatoa uwezo ambao hata maadui zake hawakuweza<br />
kusimama kabisa. Wengine walisadikishwa kwamba mvuto wa Mungu ulikuwa naye;<br />
wengine wakatangaza, kama walivyofan<strong>ya</strong> wafarisayo juu <strong>ya</strong> Kristo: “Ana pepo.” Yoane<br />
10:20.<br />
Kwa siku iliyofuata afisa mmoja wa mfalme akaagizwa kumpeleka Luther kwa chumba<br />
kikubwa cha wasikilizaji. Kila njia ilijaa na washahidi wenye shauku <strong>ya</strong> kutazama juu <strong>ya</strong><br />
mtawa aliyesubutu kushindana na Papa. Jemadari mzee mmoja, aliyeshinda vita nyingi,<br />
akamwambia kwa upole: “Maskini mtawa, unataka sasa kwenda kufan<strong>ya</strong> vita kubwa kuliko<br />
vita mimi ao kapiteni wengine waliofan<strong>ya</strong> katika mapigano <strong>ya</strong> damu nyingi. Lakini, ikiwa<br />
kama madai <strong>ya</strong>ko ni <strong>ya</strong> haki, ...endelea katika jina la Mungu,na usiogope kitu chochote.<br />
Mungu hatakuacha.”<br />
Luther Anasimama Mbele <strong>ya</strong> Baraza<br />
Mfalme akaketi kitini, anapozungu kwa na watu wa cheo wenye sifa katika ufalme. Martin<br />
Luther sasa alipashwa kujibu kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>ke. “Kuonekana huku kulikuwa kwenyewe<br />
ishara (alama) <strong>ya</strong> ushindi juu <strong>ya</strong> cheo cha Papa. Papa alimhukumu mtu huyu, na mtu huyu<br />
alisimama mbele <strong>ya</strong> baraza <strong>ya</strong> hukumu iliyowekwa juu <strong>ya</strong> Papa. Papa alimweka chini <strong>ya</strong><br />
makatazo, akakatiwa mbali <strong>ya</strong> chama cha kibinadamu, na huku akaalikwa katika manemo <strong>ya</strong><br />
59