Kupinga ya Kiprotestanti
Luther Anaamuriwa Kufika Barazani Kupinga ya Kiprotestanti Baraza sasa likaomba kuonekana kwa Mtengenezaji. Mwishowe mfalme akakubali, na Luther akaalikwa. Mwito ukafwatana na ruhusa ya kusafiri salama. Hati hizo mbili zikapelekwa Wittenberg na mjumbe aliyeagizwa kumusindikiza Worms. Kujua chuki na uadui juu yake, rafiki za Luther waliogopa kwamba cheti cha kusafiri salama hakitaheshimiwa. Akajibu: “Kristo atanipa Roho yake kwa kushinda wahuduma hawa wa uongo. Nina wazarau katika maisha yangu; nitawashinda kwa kifo changu. Huko Worms wanashugulika sana kwa kunilazimisha; ni kane kukana kwangu kutakuwa huku: Nilisema zamani kwamba Papa alikuwa kasisi wa Kristo; sasa na tangaza kwamba yeye ni mpinzani wa Bwana, na mtume wa Shetani.” Zaidi ya mjumbe wa mfalme, rafiki watatu wakakusudia kumsindikiza Luther. Moyo wa Melanchton ukaambatana kwa moyo wa Luther, na akatamani sana kumfuata. Lakini maombi yake yakakataliwa. Akasema Mtengenezaji: “Kama sitarudi, na adui zangu wakiniua, endelea kufundisha, na kusimama imara katika ukweli. Utumike kwa nafasi yangu. ... Kama ukizidi kuishi, mauti yangu itakuwa ya maana kidogo.” Mioyo ya watu ikagandamizwa na maono ya huzuni. Waliambiwa kwamba maandiko ya Luther yalihukumiwa huko Worms. Mjumbe, huogopa kwa ajili ya usalama wa Luther kwa baraza, akauliza kama alikuwa akiendelea kutamani kwenda. Akajibu: “ijapokuwa nilikatazwa katika kila mji, nitaendelea.” Huko Erfurt, Luther akapitia katika njia alizokuwa akipitia kila mara, akazuru kijumba chake cha nyumba ya watawa, na akafikiri juu ya mapigano ambamo nuru iliojaa sasa katika Ujeremani imetawanywa juu ya roho yake. Akalazimishwa kuhubiri. Jambo hili alikatazwa kulifanya, lakini mjumbe akamtolea ruhusa, na mtu aliyefanywa zamani mtu wa kazi ngumu za nyumba ya watawa, sasa akaingia kwa mimbara. Watu wakasikiliza kwa kushangaa sana. Mkate wa uzima ulivunjwa kwa roho hizo zenye njaa. Kristo aliinuliwa mbele yao na juu ya wapapa, maaskofu, wafalme (wakuu), na wafalme. Luther hakusema juu ya maisha yake katika hatari yake. Katika Kristo alikuwa amejisahau mwenyewe. Akajificha nyuma ya Mtu wa Kalvari, akitafuta tu kuonyesha Yesu kama Mkombozi wa wenye zambi. Uhodari wa Mfia Dini Wakati Mtengenezaji alipoendelea mbele, makundi kwa hamu kubwa kwa kusongana karibu naye na kwa sauti za upole wakamuonya juu ya Waroma. “Watakuchoma”, akasema mwengine, “na kugeuza mwili wako kuwa majivu, kama walivyomfanya Jean Huss.” Luther akajibu, “ijapo wangewasha moto njiani mote toka Worms hata Wittenberg, ... ningetembea kati kati yake kwa jina la Bwana; ningeonekana mbele yao, ... kushuhudia Bwana Yesu Kristo.” 58
Kupinga ya Kiprotestanti Kukaribia kwake huko Worms kukafanya msukosuko mkubwa. Rafiki wakatetemeka kwa ajili ya usalama wake; maadui wakaogopa kwa ajili ya maneno yao. Kwa ushawishi wa wapadri akalazimishwa kwenda kwa ngome ya mwenye cheo mwema, mahali, ilitangazwa, magumu yote yangeweza kutengenezwa kwa kirafiki. Warafiki wakaonyesha hatari zilizomngoja. Luther, bila kutikisika, akatangaza: “Hata kukiwa mashetani wengi ndani ya mji wa Worms kama vigae juu ya nyumba, lazima nitaingia.” Alipofika Worms, makundi ya watu wengi sana yakakusanyika kwa milango ya mji kwa kumukaribisha. Kulikuwa wasiwasi nyingi sana. “Mungu atakuwa mkingaji wangu,” akasema Luther alipokuwa akishuka kwa gari lake. Kufika kwake kulijaza wapadri hofu kuu. Mfalme akawaita washauri wake. Ni upande gani unaopashwa kufuatwa? Padri mmoja mkali akatangaza: “Tumeshauriana mda mrefu juu ya jambo hili. Mfalme mtukufu uondoshe mbio mtu huyu. Upesi, Sigismund hakuwezesha John Huss kuchomwa? Hatulazimishwe kutoa cheti cha mpinga imani ya dini wala kuliheshimu.m “Hapana,” akasema mfalme, “tunapashwa kushika ahadi yetu.” Tulipatana kwamba Mtengenezaji angepashwa kusikiwa. Mji wote ulitamani kuona mtu huyu wa ajabu. Luther, mwenye kuchoka sababu ya safari, alihitaji ukimya na pumziko. Lakini alifurahia pumziko ya saa chache wakati watu wa cheo kikuu, wenye cheo, wapadri, na wanainchi walimuzunguka kabisa. Kati ya watu hawa walikuwa wenye cheo walioomba na juhudi kwa mfalme matengenezo ya matumizi mabaya ya kanisa. Maadui pamoja na rafiki walifika kumtazama mwa shujaa. Kuvumulia kwake kulikuwa imara na kwa uhodari. Uso wake mdogo wakufifia, ulikuwa uso wa upole na hata wa furaha. Juhudi nyingi ya maneno yake ikatoa uwezo ambao hata maadui zake hawakuweza kusimama kabisa. Wengine walisadikishwa kwamba mvuto wa Mungu ulikuwa naye; wengine wakatangaza, kama walivyofanya wafarisayo juu ya Kristo: “Ana pepo.” Yoane 10:20. Kwa siku iliyofuata afisa mmoja wa mfalme akaagizwa kumpeleka Luther kwa chumba kikubwa cha wasikilizaji. Kila njia ilijaa na washahidi wenye shauku ya kutazama juu ya mtawa aliyesubutu kushindana na Papa. Jemadari mzee mmoja, aliyeshinda vita nyingi, akamwambia kwa upole: “Maskini mtawa, unataka sasa kwenda kufanya vita kubwa kuliko vita mimi ao kapiteni wengine waliofanya katika mapigano ya damu nyingi. Lakini, ikiwa kama madai yako ni ya haki, ...endelea katika jina la Mungu,na usiogope kitu chochote. Mungu hatakuacha.” Luther Anasimama Mbele ya Baraza Mfalme akaketi kitini, anapozungu kwa na watu wa cheo wenye sifa katika ufalme. Martin Luther sasa alipashwa kujibu kwa ajili ya imani yake. “Kuonekana huku kulikuwa kwenyewe ishara (alama) ya ushindi juu ya cheo cha Papa. Papa alimhukumu mtu huyu, na mtu huyu alisimama mbele ya baraza ya hukumu iliyowekwa juu ya Papa. Papa alimweka chini ya makatazo, akakatiwa mbali ya chama cha kibinadamu, na huku akaalikwa katika manemo ya 59
- Page 15 and 16: Kupinga ya Kiprotestanti lilitukuzw
- Page 17 and 18: Kupinga ya Kiprotestanti Majeshi ya
- Page 19 and 20: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa. Na
- Page 21 and 22: Kupinga ya Kiprotestanti Shetani ba
- Page 23 and 24: Kupinga ya Kiprotestanti Wenye haki
- Page 25 and 26: Kupinga ya Kiprotestanti wakakatazw
- Page 27 and 28: Kupinga ya Kiprotestanti Injili ili
- Page 29 and 30: Kupinga ya Kiprotestanti Malaika wa
- Page 31 and 32: Kupinga ya Kiprotestanti Sasa roho
- Page 33 and 34: Kupinga ya Kiprotestanti fundi wa k
- Page 35 and 36: Kupinga ya Kiprotestanti Ujumbe wa
- Page 37 and 38: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 5. Nu
- Page 39 and 40: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 41 and 42: Kupinga ya Kiprotestanti Wycliffe a
- Page 43 and 44: Kupinga ya Kiprotestanti wateteaji
- Page 45 and 46: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 47 and 48: Kupinga ya Kiprotestanti Mwenendo w
- Page 49 and 50: Kupinga ya Kiprotestanti mwenyewe k
- Page 51 and 52: Kupinga ya Kiprotestanti Jerome aka
- Page 53 and 54: Kupinga ya Kiprotestanti Waongozi w
- Page 55 and 56: Kupinga ya Kiprotestanti Kutafuta A
- Page 57 and 58: Kupinga ya Kiprotestanti Tetzel, mj
- Page 59 and 60: Kupinga ya Kiprotestanti ulishindwa
- Page 61 and 62: Kupinga ya Kiprotestanti Kutoka kwa
- Page 63 and 64: Kupinga ya Kiprotestanti Mungu haku
- Page 65: Kupinga ya Kiprotestanti “Ni wana
- Page 69 and 70: Kupinga ya Kiprotestanti Luther aka
- Page 71 and 72: Kupinga ya Kiprotestanti furaha na
- Page 73 and 74: Kupinga ya Kiprotestanti ulipashwa
- Page 75 and 76: Kupinga ya Kiprotestanti utukufu wa
- Page 77 and 78: Kupinga ya Kiprotestanti kuu wakimu
- Page 79 and 80: Kupinga ya Kiprotestanti aliyempele
- Page 81 and 82: Kupinga ya Kiprotestanti Alikuwa ch
- Page 83 and 84: Kupinga ya Kiprotestanti Wapadri wa
- Page 85 and 86: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 11. U
- Page 87 and 88: Kupinga ya Kiprotestanti nafasi ya
- Page 89 and 90: Kupinga ya Kiprotestanti watawala w
- Page 91 and 92: Kupinga ya Kiprotestanti kukaimaris
- Page 93 and 94: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mti
- Page 95 and 96: Kupinga ya Kiprotestanti Calvin hak
- Page 97 and 98: Kupinga ya Kiprotestanti Tena mkuta
- Page 99 and 100: Kupinga ya Kiprotestanti Ngurumo ya
- Page 101 and 102: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 13. K
- Page 103 and 104: Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Ka
- Page 105 and 106: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 14. U
- Page 107 and 108: Kupinga ya Kiprotestanti hawa walio
- Page 109 and 110: Kupinga ya Kiprotestanti Mioto ya u
- Page 111 and 112: Kupinga ya Kiprotestanti Uharibifu
- Page 113 and 114: Sababu yake ya Kweli Kupinga ya Kip
- Page 115 and 116: Kupinga ya Kiprotestanti kwa hali y
Luther Anaamuriwa Kufika Barazani<br />
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Baraza sasa likaomba kuonekana kwa Mtengenezaji. Mwishowe mfalme akakubali, na<br />
Luther akaalikwa. Mwito ukafwatana na ruhusa <strong>ya</strong> kusafiri salama. Hati hizo mbili<br />
zikapelekwa Wittenberg na mjumbe aliyeagizwa kumusindikiza Worms.<br />
Kujua chuki na uadui juu <strong>ya</strong>ke, rafiki za Luther waliogopa kwamba cheti cha kusafiri<br />
salama hakitaheshimiwa. Akajibu: “Kristo atanipa Roho <strong>ya</strong>ke kwa kushinda wahuduma hawa<br />
wa uongo. Nina wazarau katika maisha <strong>ya</strong>ngu; nitawashinda kwa kifo changu. Huko Worms<br />
wanashugulika sana kwa kunilazimisha; ni kane kukana kwangu kutakuwa huku: Nilisema<br />
zamani kwamba Papa alikuwa kasisi wa Kristo; sasa na tangaza kwamba yeye ni mpinzani<br />
wa Bwana, na mtume wa Shetani.”<br />
Zaidi <strong>ya</strong> mjumbe wa mfalme, rafiki watatu wakakusudia kumsindikiza Luther. Moyo wa<br />
Melanchton ukaambatana kwa moyo wa Luther, na akatamani sana kumfuata. Lakini maombi<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kakataliwa. Akasema Mtengenezaji: “Kama sitarudi, na adui zangu wakiniua, endelea<br />
kufundisha, na kusimama imara katika ukweli. Utumike kwa nafasi <strong>ya</strong>ngu. ... Kama ukizidi<br />
kuishi, mauti <strong>ya</strong>ngu itakuwa <strong>ya</strong> maana kidogo.” Mioyo <strong>ya</strong> watu ikagandamizwa na maono <strong>ya</strong><br />
huzuni. Waliambiwa kwamba maandiko <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>lihukumiwa huko Worms. Mjumbe,<br />
huogopa kwa ajili <strong>ya</strong> usalama wa Luther kwa baraza, akauliza kama alikuwa akiendelea<br />
kutamani kwenda. Akajibu: “ijapokuwa nilikatazwa katika kila mji, nitaendelea.”<br />
Huko Erfurt, Luther akapitia katika njia alizokuwa akipitia kila mara, akazuru kijumba<br />
chake cha nyumba <strong>ya</strong> watawa, na akafikiri juu <strong>ya</strong> mapigano ambamo nuru iliojaa sasa katika<br />
Ujeremani imetawanywa juu <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>ke. Akalazimishwa kuhubiri. Jambo hili alikatazwa<br />
kulifan<strong>ya</strong>, lakini mjumbe akamtolea ruhusa, na mtu aliyefanywa zamani mtu wa kazi ngumu<br />
za nyumba <strong>ya</strong> watawa, sasa akaingia kwa mimbara.<br />
Watu wakasikiliza kwa kushangaa sana. Mkate wa uzima ulivunjwa kwa roho hizo zenye<br />
njaa. Kristo aliinuliwa mbele <strong>ya</strong>o na juu <strong>ya</strong> wapapa, maaskofu, wafalme (wakuu), na wafalme.<br />
Luther hakusema juu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke katika hatari <strong>ya</strong>ke. Katika Kristo alikuwa amejisahau<br />
mwenyewe. Akajificha nyuma <strong>ya</strong> Mtu wa Kalvari, akitafuta tu kuonyesha Yesu kama<br />
Mkombozi wa wenye zambi.<br />
Uhodari wa Mfia Dini<br />
Wakati Mtengenezaji alipoendelea mbele, makundi kwa hamu kubwa kwa kusongana<br />
karibu naye na kwa sauti za upole wakamuon<strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> Waroma. “Watakuchoma”, akasema<br />
mwengine, “na kugeuza mwili wako kuwa majivu, kama walivyomfan<strong>ya</strong> Jean Huss.” Luther<br />
akajibu, “ijapo wangewasha moto njiani mote toka Worms hata Wittenberg, ... ningetembea<br />
kati kati <strong>ya</strong>ke kwa jina la Bwana; ningeonekana mbele <strong>ya</strong>o, ... kushuhudia Bwana Yesu<br />
Kristo.”<br />
58