You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
“Ni wanani watu hawa wote wa Luther? Kundi la waalimu wenye kiburi, mapadri waovu,<br />
watawa wapotovu, wanasheria wajinga, na wenye cheo walioaibishwa. ...Kundi la katoloki si<br />
linawapita mbali sana kwa wingi, kwa akili na kwa uwezo! Amri <strong>ya</strong> shauri moja la kusanyiko<br />
hili tukufu litaangazia wanyenyekevu, litaon<strong>ya</strong> wasio na busara, litaamua wenye mashaka na<br />
kuimarisha wazaifu.”<br />
Mabishano <strong>ya</strong> namna ile ile ingali inatumiwa juu <strong>ya</strong> wote wanaosubutu kutoa mafundisho<br />
kamili <strong>ya</strong> Neno la Mungu. “Ni wanani hawa wahubiri wa mafundisho map<strong>ya</strong>? Wanakuwa si<br />
wenye elimu, wachache kwa hesabu, na wa cheo cha maskini sana. Lakini wakijidai kuwa na<br />
ukweli, na kuwa watu waliochaguliwa na Mungu. Wanakuwa wajinga na waliodanganyiwa.<br />
Namna gani kanisa letu ni kubwa sana kwa hesabu na mvuto!” Mabishano ha<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>ko na<br />
nguvu zaidi sasa kuliko siku za Mtengenezaji.<br />
Luther hakuwa pale, pamoja na maneno <strong>ya</strong> kweli wazi wazi na <strong>ya</strong> kusadikisha <strong>ya</strong> Neno la<br />
Mungu, kwa kushinda shujaa Papa. Watu karibu wote walikuwa ta<strong>ya</strong>ri, si kwa kumuhukumu<br />
tu, yeye na mafundisho <strong>ya</strong>ke, bali, ikiwezekana, kuongoa upinzani wa imani <strong>ya</strong> dini. Yote<br />
Roma iliweza kusema katika kujitetea mwenyewe imesemwa. Lakini tofauti kati <strong>ya</strong> ukweli<br />
na uwongo ingeonekana wazi zaidi namna wangeweza kujitoa wazi wazi kwa vita. Sasa<br />
Bwana akagusa moyo wa mshiriki mmoja wa baraza atoe maelezo <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong> jeuri <strong>ya</strong><br />
Papa. Duc Georges wa Saxe akasimama katika mkutano huu wa kifalme; na akaonyesha<br />
sawasawa kabisa uwongo na machukizo <strong>ya</strong> kanisa la Roma:<br />
“Kuzulumu ... kunapaza sauti juu <strong>ya</strong> Roma. Ha<strong>ya</strong> yote imewekwa kando na shabaha <strong>ya</strong>o<br />
moja tu ni ... pesa, pesa, pesa, ... ili wahubiri wanaopashwa kufundisha ukweli, wasinene kitu<br />
kingine isipokuwa uongo, na si kuwavumilia tu, lakini kuwalipa, kwani namna wanazidi<br />
kusema uongo, ndipo wanazidi kupata faida. Ni kwa kisima hiki kichafu maji ha<strong>ya</strong> machafu<br />
hutiririka. Mambo <strong>ya</strong> washerati na ulevi. Hunyoosha mkono kwa uchoyo ... Ole! ni aibu<br />
iliyoletwa na askofu kinachotupa roho maskini nyingi katika hukumu <strong>ya</strong> milele. Matengenezo<br />
<strong>ya</strong> mambo yote inapaswa kufanyika.” Sababu mnenaji alikuwa adui maalumu wa<br />
Mtengenezaji alitoa mvuto mkubwa kwa maneno <strong>ya</strong>ke.<br />
Malaika wa Mungu wakatoa n<strong>ya</strong>li za nuru katika giza <strong>ya</strong> uovu na ikafungua mioyo kwa<br />
ukweli. Uwezo wa Mungu wa ukweli ukatawala hata maadui wa Matengenezo na<br />
ukata<strong>ya</strong>risha njia kwa kazi kubwa ambayo ilikaribia kutimizwa. Sauti <strong>ya</strong> Mmoja mkuu kuliko<br />
Luther ikasikiwa katika mkutano ule.<br />
Baraza ikawekwa kwa kuta<strong>ya</strong>risha hesabu <strong>ya</strong> mambo yote <strong>ya</strong>liyo kuwa magandamizo<br />
ambayo <strong>ya</strong>likuwa mazito kwa watu wa Ujeremani. Oroza hii ikaonyeshwa kwa mfalme, na<br />
kumuomba achukue hatua kwa kusahihisha mambo maba<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>. Wakasema waombaji, “Ni<br />
wajibu wetu kuzuia maangamizi na aibu <strong>ya</strong> watu wetu. Kwa sababu hiyo sisi wote pamoja<br />
tunakuomba kwa unyenyekevu sana, lakini kwa namna <strong>ya</strong> haraka sana, kuagiza matengenezo<br />
<strong>ya</strong> mambo yote na kufan<strong>ya</strong> itimilike.”<br />
57