Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 8. Mbele <strong>ya</strong> Korti<br />
Mfalme mp<strong>ya</strong>, Charles V, akamiliki kwa kiti cha ufalme wa Ujeremani. Mchaguzi wa<br />
Saxony ambaye alisaidia Charles kupanda kwa kiti cha ufalme, akamwomba kutotendea<br />
Luther kitu chochote mpaka wakati atakapo ruhusu kumusikiliza. Kwa hiyo mfalme akawa<br />
katika hali <strong>ya</strong> mashaka na wasiwasi. Watu wa Papa hawangerizishwa na kitu chochote<br />
isipokuwa kifo cha Luther. Mchaguzi akatangaza “Mwalimu Luther anapashwa kutolewa<br />
haki (ruhusa <strong>ya</strong> usalama), ili apate kuonekana mbele <strong>ya</strong> baraza <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> waamzi wenye<br />
elimu, watawa, na wa haki wasio na upendeleo.”<br />
Makutano wakakusanyika huko Worms. Kwa mara <strong>ya</strong> kwanza watoto wa kifalme wa<br />
Ujeremani walipashwa kukutana na mfalme wao kijana katika mkusanyiko. Wakuu wa kanisa<br />
na wa serkali na mabalozi wa inchi za kigeni wote wakakusanyika kule Worms. Bali jambo<br />
ambalo lililoamusha usikivu mwingi lilikuwa la Mtengenezaji. Charles alimuamuru mchaguzi<br />
kumleta Luther pamoja naye, kumuhakikishia ulinzi na kuahidi mazungumzo huru juu <strong>ya</strong><br />
maswali katika mabishano. Luther akamwandikia mchaguzi: “Ikiwa kama mfalme ananiita,<br />
siwezi kuwa na mashaka huo ni mwito wa Mungu mwenyewe. Kama wakitaka kutumia nguvu<br />
juu <strong>ya</strong>ngu, ... Ninaweka jambo hili mikononi mwa Bwana. ... Kama hataniokoa, maisha <strong>ya</strong>ngu<br />
ni <strong>ya</strong> maana kidogo. ... Unaweza kutazamia lolote kutoka kwangu ... isipokuwa kukimbia na<br />
mimi kukana maneno <strong>ya</strong> kwanza. Kukimbia siwezi, na tena kukana ni zaidi.”<br />
Kwa namna habari ilienea kwamba Luther alipashwa kuonekana mbele <strong>ya</strong> baraza,<br />
msisimuko ukawa pahali pote. Aleander, mjumbe wa Papa, kwa kujulishwa hatari na<br />
akakasirika. Kuchunguza juu <strong>ya</strong> habari ambayo Papa alikwisha kutolea azabu <strong>ya</strong> hukumu<br />
ingekuwa kuzarau mamlaka <strong>ya</strong> askofu. Na tena, zaidi mabishano yenye uwezo <strong>ya</strong> mtu huyu<br />
<strong>ya</strong>naweza kugeuza watoto wa wafalme wengi kutoka kwa Papa. Akamuon<strong>ya</strong> Charles juu <strong>ya</strong><br />
kutoruhusu Luther kufika Worms na akashawishi mfalme kukubali.<br />
Bila kutulia juu <strong>ya</strong> ushindi huu, Aleander akaendelea kuhukumu Luther, kushitaki<br />
Mtengenezaji juu <strong>ya</strong> “fitina, uasi, ukosefu wa heshima, na matukano”. Lakini ukali wake<br />
ukafunua roho ambayo aliyokuwa ndani <strong>ya</strong>ke. “Anasukumwa na fitina na kulipisha kisasi.<br />
Kwa juhudi zaidi tena Aleander akasihi sana mfalme kutimiza amri za Papa.<br />
Aliposumbuliwa sana na maombi <strong>ya</strong> mjumbe Charles akamwomba kuleta kesi <strong>ya</strong>ke kwa<br />
baraza. Kwa wasiwasi mwingi wale waliopendelea Mtengenezaji wakaendelea ku<strong>ya</strong>tarajia<br />
maneno <strong>ya</strong>kasomewa na Aleander. Mchaguzi wa Saxony hakuwa pale, lakini baazi <strong>ya</strong><br />
washauri wake wakaandika <strong>ya</strong>liyosemwa na mjumbe wa Papa.<br />
Luther Anashitakiwa kuwa Mpinga Imani <strong>ya</strong> Dini<br />
Kwa kujifunza na usemaji unaokolea, Aleander akajitahidi mwenyewe kuangusha Luther<br />
kama adui wa kanisa na serekali. “Haki,, makosa <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>metosha”, akatangaza kwa<br />
kushuhudia kuchomwa kwa mamia elfu wapinga imani <strong>ya</strong> dini.”<br />
56