You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Mungu hakunichagua na kuniita na kama hawapashwe kuogopa hiyo, kwa kunizarau,<br />
wanazarau Mungu Mwenyewe? ...<br />
“Mungu hakuchagua kamwe kuhani aokuhani mkuu wala mtu mkubwa yeyote; bali kwa<br />
kawaida huchagua watu wa chini na wenye kuzarauliwa, hata mchungaji kama Amosi. Kwa<br />
kila kizazi, watakatifu walipaswa kukemea wakuu, wafalme, wana wa wafalme, wakuhani,<br />
na wenye hekima, kwa hatari <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o. ... Sisemi kwamba niko nabii; lakini nasema<br />
kwamba wanapashwa kuogopa kabisa kwa sababu niko peke <strong>ya</strong>ngu na wao ni wengi.<br />
Ninakuwa hakika <strong>ya</strong> jambo hili, kwamba neno la Mungu linakuwa pamoja nami, na kwamba<br />
haliko pamoja nao.”<br />
Kwani haikuwa bila vita <strong>ya</strong> kutisha kwamba yeye mwenyewe ambaye Luther aliamua juu<br />
<strong>ya</strong> kutengana kwa mwisho na kanisa: “Ee, uchungu wa namna gani iliniletea, ijapo nilikuwa<br />
na Maandiko kwa upande wangu, kuhakikisha mimi mwenyewe kwamba ningepaswa<br />
kusubutu kusimama pekee <strong>ya</strong>ngu kumpinga Papa, na kumutangaza kuwa kama mpinzani wa<br />
Kristo! Mara ngapi sikujiuliza mwenyewe kwa uchungu swali lile ambalo lilikuwa mara<br />
nyingi midomoni mwa watu wa Papa: ‘Ni wewe peke <strong>ya</strong>ko mwenye hekima? Je, watu wote<br />
wanadanganyika? Itakuwa namna gani, kama, mwishoni wewe mwenyewe ukionekana kuwa<br />
na kosa na ni wewe anayeshawishi katika makosa <strong>ya</strong>ko roho nyingi kama hizo. Ni nani basi<br />
atakayehukumiwa milele? Hivi ndivyo nilipigana na nafsi <strong>ya</strong>ngu na Shetani hata Kristo, kwa<br />
neno lake la hakika, akaimarisha moyo wangu juu <strong>ya</strong> mashaka ha<strong>ya</strong>.”<br />
Amri mp<strong>ya</strong> ikaonekana, kutangaza mtengano wa mwisho wa Mtengenezaji kutoka kwa<br />
kanisa la Roma, kumshitaki kama aliyelaaniwa na Mbingu, na kuweka ndani <strong>ya</strong> hukumu ilete<br />
wale watakaopokea mafundisho <strong>ya</strong>ke. Upinzani ni sehemu <strong>ya</strong> wote wale ambao Mungu<br />
hutumia kwa kuonyesha ukweli zinazofaa hasa kwa wakati wao. Kulikuwa na ukweli wa sasa<br />
katika siku za Luther; kuna ukweli wa sasa kwa ajili <strong>ya</strong> kanisa leo. Lakini ukweli hautakiwe<br />
na watu wengi leo kuliko ilivyokuwa na watu wa Papa waliompinga Luther. Wale<br />
wanaoonyesha ukweli kwa wakati huu hawapaswi kutazamia kupokewa na upendeleo mwingi<br />
zaidi kuliko watengenezaji wa zamani. Vita kuu kati <strong>ya</strong> kweli na uwongo, kati <strong>ya</strong> Kristo na<br />
Shetani, itaongezeka kwa mwisho wa historia <strong>ya</strong> ulimwengu huu. Tazama Yoane 15:19, 20;<br />
Luka 6:26.<br />
55