You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
yeye mwenyewe, ao mtume wake, zaidi <strong>ya</strong> yote kristo ameelezwa viba<strong>ya</strong> kabisa na<br />
kusulubiwa ndani <strong>ya</strong>o.”<br />
Roma ikazidi kukasirishwa na mashambulio <strong>ya</strong> Luther. Wapinzani washupavu, hata<br />
waalimu (docteurs) katika vyuo vikuu v<strong>ya</strong> Kikatoliki, wakatangaza kwamba yule angeweza<br />
kumua mtawa yule angekuwa bila zambi. Lakini Mungu alikuwa mlinzi wake. Mafundisho<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kasikiwa po pote--“katika nyumba ndogo na nyumba za watawa (couvents), ... katika<br />
ngome za wenye cheo, katika vyuo vikubwa, katika majumba <strong>ya</strong> wafalme.”<br />
Kwa wakati huu Luther akaona <strong>ya</strong> kwamba ukweli mhimu juu <strong>ya</strong> kuhesabiwa haki kwa<br />
imani ilikuwa ikishikwa na Mtengenezaji, Huss, wa Bohemia. “Tumekuwa na vyote”<br />
akasema Luther, “Paul, Augustine, na mimi mwenyewe, Wafuasi wa Huss bila kujua!”<br />
“ukweli huu ulihubiriwa ... karne iliyopita na ikachomwa!”<br />
Luther akaandika basi mambo juu <strong>ya</strong> vyuo vikuu: “Ninaogopa sana kwamba vyuo vikuu<br />
vitaonekana kuwa milango mikubwa <strong>ya</strong> jehanumu, isipokuwa vikitumika kwa bidii kwa<br />
kueleza Maandiko matakatifu, na ku<strong>ya</strong>kaza ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> vijana. ... Kila chuo ambamo<br />
watu hawashunguliki daima na Neno la Mungu kinapaswa kuharibika.”<br />
Mwito huu ukaenea po pote katika Ujermani. Taifa lote likashituka. Wapinzani wa Luther<br />
wakamwomba Papa kuchukua mipango <strong>ya</strong> nguvu juu <strong>ya</strong>ke. Iliamriwa kwamba mafundisho<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>hukumiwe mara moja. Mtengenezaji na wafuasi wake, kama hawakutubu,<br />
wangepaswa wote kutengwa kwa Ushirika Mtakatifu.<br />
Shida <strong>ya</strong> Kutisha<br />
Hiyo ilikuwa shida <strong>ya</strong> kutisha sana kwa Matengenezo. Luther hakuwa kipofu kwa zoruba<br />
karibu kupasuka, lakini alitumaini Kristo kuwa egemeo lake na ngabo <strong>ya</strong>ke. “Kitu kinacho<br />
karibia kutokea sikijui, na sijali kujua. ... Hakuna hata sivile jani linawezakuanguka, bila<br />
mapenzi <strong>ya</strong> Baba yetu. Kiasi gani zaidi atatuchunga! Ni vyepesi kufa kwa ajili <strong>ya</strong> Neno, kwani<br />
Neno ambalo lilifanyika mwili lilikufa lenyewe.” Wakati barua <strong>ya</strong> Papa ilimufikia Luther,<br />
akasema: Ninaizarau, tena naishambulia, kwamba ni<strong>ya</strong> uovu, <strong>ya</strong> uongo.... Ni Kristo yeye<br />
mwenyewe anayelaumiwa ndani <strong>ya</strong>ke. Ta<strong>ya</strong>ri ninasikia uhuru kubwa moyoni mwangu; kwani<br />
mwishowe ninajua <strong>ya</strong> kwamba Papa ni mpinga kristo na kiti chake cha ufalme ni kile cha<br />
Shetani mwenyewe.”<br />
Lakini mjumbe wa Roma halikukosa kuwa na matokeo. Wazaifu na waabuduo ibada <strong>ya</strong><br />
sanamu wakatetemeka mbele <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> Papa, na wengi wakaona kwamba maisha <strong>ya</strong>likuwa<br />
<strong>ya</strong> damani sana kuhatarisha. Je, kazi <strong>ya</strong> Mtengenezaji ilikuwa karibu kwisha? Luther angali<br />
bila woga. Kwa uwezo wa kutisha akarudisha juu <strong>ya</strong> Roma yenyewe maneno <strong>ya</strong> hukumu.<br />
Mbele <strong>ya</strong> makutano <strong>ya</strong> wanainchi wa vyeo vyote Luther akachoma barua <strong>ya</strong> Papa. Akasema,<br />
“Mapigano makali <strong>ya</strong>meanza sasa. Hata sasa nilikuwa nikicheza tu na Papa. Nilianza kazi hii<br />
kwa jina la Mungu; si mimi atakaye imaliza, na kwa uwezo wangu.... Nani anayejua kama<br />
54