12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

na ugomvi; lakini kwa namna matisho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>lizidi, ndipo furaha <strong>ya</strong>ngu iliongezeka...<br />

Wamekwisha kuharibu heshima (sifa) <strong>ya</strong>ngu na mwenendo wangu. ... Kuhusu roho <strong>ya</strong>ngu,<br />

hawawezi kuikamata. Yeye anayetaka kutangaza neno la Kristo ulimwenguni, inampasa<br />

kutazamia kifo wakati wowote.”<br />

Akari <strong>ya</strong> kufika kwa Luther huko Augsburg kukaleta kushelewa kukubwa kwa mjumbe<br />

wa Papa. Mpinga mafundisho <strong>ya</strong> dini anayeamsha ulimwengu akaonekana sasa kuwa chini<br />

<strong>ya</strong> uwezo wa Roma; hakupaswa kuponyoka. Mjumbe alikusudia kulazimisha Luther kukana,<br />

ao isipowezekana alazimishe kwenda Roma kufuata n<strong>ya</strong>yo <strong>ya</strong> Huss na Jerome. Mjumbe wa<br />

Papa akatuma watu wake kumwambia Lutter afike bila ahadi <strong>ya</strong> ulinzi salama wa mfalme na<br />

matumaini <strong>ya</strong>ke mwenyewe wema wake. Kwa hiyo mtengenezaji akakataa. Hata wakati<br />

alipopata ahadi <strong>ya</strong> ulinzi wa mfalme mkuu ndipo akakubali kuonekana mbele <strong>ya</strong> mjumbe wa<br />

Papa. Kama mpango wa busara, watu wa Roma wakakusudia kumpata Luther kwa njia <strong>ya</strong><br />

kujioyesha kama wapole.<br />

Mjumbe akajionyesha kawa rafiki mkubwaa, lakini akaomba kwamba Luther ajitoe kabisa<br />

kwa kanisa na kukubali kila kitu bila mabishano wala swali. Luther, kwa kujibu, akaonyesha<br />

heshima <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> kanisa, mapenzi <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli, kuwa ta<strong>ya</strong>ri kwa kujibu<br />

makatazo yote kuhusu <strong>ya</strong>le aliyo<strong>ya</strong>fundishwa, na kuweka mafundisho <strong>ya</strong>ke chini <strong>ya</strong> uamuzi<br />

wa vyuo vikubwa (universites). Lakini alikataa juu <strong>ya</strong> mwendo wa askofu katika<br />

kummulazimisha kukana bila kuonyesha na kuhakikisha kosa lake.<br />

Jibu moja tu lilikuwa, “uKane, ukane”! Mtengenezaji akaonyesha kwamba msiimamo<br />

wake unakubaliwa na Maandiko. Hakuweza kukana ukweli. Mjumbe, aliposhindwa kujibu<br />

kwa mabishano <strong>ya</strong> Luther, akamulemeza na zoruba <strong>ya</strong> laumu, zarau, sifa <strong>ya</strong> uongo maneno<br />

kutoka kwa kiasili (traditions), na mezali (maneno) <strong>ya</strong> Wababa, akikatalia Mtengenezaji<br />

nafasi <strong>ya</strong> kusema. Luther mwishowe, bila kupenda, akamupa ruhusa <strong>ya</strong> kutoa jibu lake kwa<br />

maandiko.<br />

Akasema,akiandika kwa rafiki, “Mambo <strong>ya</strong>liyoandikwa ingeweza kutolewa kwa mawazo<br />

<strong>ya</strong> wengine; na jambo la pili, mtu anakuwa na bahati nzuri sana <strong>ya</strong> kutumika kwa hofu nyingi,<br />

kama si kwa zamiri, <strong>ya</strong> bwana wa kiburi na wa kusema ovyo ovyo ambaye njia ingine<br />

angeshinda kwa kutumia maneno <strong>ya</strong>ke makali.” Kwa mkutano uliofuata, Luther akaonyesha<br />

maelezo mafupi na <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>ke, <strong>ya</strong>nayoshuhudiwa na Maandiko. Kartasi hii,<br />

baada <strong>ya</strong> kusoma kwa sauti nguvu, akaitoa kwa askofu, naye akaitupa kando kwa zarau,<br />

kuitangaza kuwa mchanganyiko wa maneno <strong>ya</strong> bure na mateuzi <strong>ya</strong>siyofaa. Sasa Luther<br />

akakutana na askofu wa kiburi kwa uwanja wake mwenyewe--mambo <strong>ya</strong> asili na mafundisho<br />

<strong>ya</strong> kanisa--na kuangusha kabisa majivuno <strong>ya</strong>ke.<br />

Askofu akapoteza kujitawala kote na katika hasira akapandisha sauti, “ukane! ao<br />

nitakutuma Roma”. Na mwishowe akatangaza, katika sauti <strong>ya</strong> kiburi na hasira, “uKane, ao<br />

usirudi tena.” Mtengenezaji kwa upesi akaondoka pamoja na rafiki zake, hivyo kutangaza<br />

wazi kwamba asingoje kwake kwamba atakana. Hili si jambo ambalo askofu alilokusudia.<br />

52

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!